Aibu ya waandishi wa habari wa Tanzania wakikanyagana kufuata noti zilizokua zinarushwa na msanii

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Njaa na umaskini ni kitu kibaya sana maana husababisha mtu anasahau aibu na kufanya vitu vya ajabu, waandishi wa habari Tanzania wamejikuta wanakanyagana na kupigana makumbo kisa wananyan'ganyana vihela vilivyokua vinarushwa kwa dharau na msanii wa Bongo anayeitwa Irene Uwoya.
Sasa waandishi kama hawa ndio wanategemewa kuanika mafisadi kwenye nchi.....

 

HAO AMERICAS NA NYIE WAKENYA WAPI WANA UTAJIRI??
HELA HAIANGALII MASKINI WALA TAJIRI,HAKUNA ANAYETOSHEKA NA HELA.
SIKU ZINGINE CREATE THREAD ZA MAANA.ONA SASA MPAKA WACHANGIAJI UNAKOSA?!
 

HAO AMERICAS NA NYIE WAKENYA WAPI WANA UTAJIRI??
HELA HAIANGALII MASKINI WALA TAJIRI,HAKUNA ANAYETOSHEKA NA HELA.
SIKU ZINGINE CREATE THREAD ZA MAANA.ONA SASA MPAKA WACHANGIAJI UNAKOSA?!

Kurusha noti za dollar kwenye wapita njia, lazima watu wang'ang'anie, inaeleweka, lakini yenu ni aibu wanahabari kurushiwa pesa madafu na wao bila aibu kusukumana waking'ang'ania, ilhali ndio wana taaluma inayotegemewa kuwaanika mafisadi wa trilioni ambazo huwa tunaona mkisemwa na CAG.
Bora hata wale wa kupewa bahasha, lakini sio kwa aibu, umaskini na njaa ya kihivi.
 
Hakuna tofauti maana hakuna mantiki yoyote hapo.
Kwani wale waliotupiwa barabarani unajua vyeo vyao?!
Utajuaje kuna mpk madaktari pale wanaookota hela za lil pump ?!
Boda huna fact ya maana kuitetea hoja yako
 
Mbona unaongea kwa uchungu utafikiri pesa zako? Au unawaonea gere wenzio, na wewe hamia Tanzania uanze kumuwinda huyo dada sababu kutupa hela hivyo nasikia ni kawaida yake mpaka midolari, ukipiga round mbili tatu si haba unapata pesa ya kuweka viraka paa lako huko Kibera kujihami na vuli inayokuja.
 
Sikupenda alichokifanya Uwoya...Kutafuta kiki...Ila sito walaumu ndugu zangu...Vihela vikichezewa vichukueni !!!.. πŸ˜‰πŸ˜ŽπŸ˜‚
 
wewe ni miongoni mwa wakenya wengi wenye matatizo kichwani.

dollar ni kitu gani??
 

Jamani naombeni ile clip ya wale wanajeshi wa kdf waliokuwa wakiiba maboksi ya mikate badala ya kuokoa watu kule WestGate.

Naombeni tulinganishe IPI ni aibu ya millennium.
 
Leo hii unesahau ya westgate soldiers walikwapua mikate na blueban kwa ajili ya familia zaoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Leo hii unesahau ya westgate soldiers walikwapua mikate na blueban kwa ajili ya familia zaoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Leteni clip jamani tujikumbushe yaliyojili.
 
Jamani naombeni ile clip ya wale wanajeshi wa kdf waliokuwa wakiiba maboksi ya mikate badala ya kuokoa watu kule WestGate.

Naombeni tulinganishe IPI ni aibu ya millennium.

Baada ya post hiyo, mtoa mada hakurudi tena.

CC: Ummayed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…