Aibu: Ziara ya Waziri Mkuu Tunduma yageuka Mkutano wa Kampeni, Silinde na Mwambe wahutubia

Aibu: Ziara ya Waziri Mkuu Tunduma yageuka Mkutano wa Kampeni, Silinde na Mwambe wahutubia

Umepania kuwabambikia kesi au kuwapiga risasi? Ni kipi umewapania haswa?
Jipeni fake hopes tu tunawachora kwa hasira hapa, hii ndo Tz ukijitoa ufahamu tutakuonyesha kwa vitendo.
 
Tunaposema CCM imekufa huwa hatubahatishi, Mh Kasimu Majaliwa ambaye yuko Tunduma kwa kinachoitwa ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa hospitali ya Mji wa Tunduma, hatimaye ametimiza kile kilichompeleka hasa ambacho ni kutafuta uwanja wa Msaliti Silinde kuhutubia baada ya kubainika kwamba, kwa sasa Silinde hana uwezo wa kukusanya hata watu 50 kwenye mkutano wa hadhara.

Hii yaweza kuwa aibu kwa mtu mzito kama Waziri Mkuu kutengeneza ziara ya kinafiki ili kuwapa uwanja wa kuhutubia wasaliti waliohama vyama vyao baada ya kununuliwa. Kama Silinde aliwadanganya kwamba yeye ni maarufu hadi mkamlipa pesa ya uchakavu kuna haja gani tena ya kutumia ziara za kiserikali ili kumbeba?

Juzi Mwakajoka amehutubia mwenyewe bila mamluki yeyote, kwanini Silinde naye asifanye hivyo ?
NIMETOKEA KUICHUKIA CCM
 
Humphrey Polepole alikuwapo juzi Tunduma lakini aliona dhahiri mkoa wa Songwe mambo magumu akakimbia. Sera za Maendeleo ya Vitu ya Dar es Salaam aliyosema Polepole kusuhu flyover , madaraja ya baharini, ndege na meli haziuziki Tunduma. Tunduma wanataka Maendeleo ya Watu .


Polepole kaanza matusi na kejeli,sijui katumwa na Jiwe
 
Tunaposema CCM imekufa huwa hatubahatishi, Mh Kasimu Majaliwa ambaye yuko Tunduma kwa kinachoitwa ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa hospitali ya Mji wa Tunduma, hatimaye ametimiza kile kilichompeleka hasa ambacho ni kutafuta uwanja wa Msaliti Silinde kuhutubia baada ya kubainika kwamba, kwa sasa Silinde hana uwezo wa kukusanya hata watu 50 kwenye mkutano wa hadhara.

Hii yaweza kuwa aibu kwa mtu mzito kama Waziri Mkuu kutengeneza ziara ya kinafiki ili kuwapa uwanja wa kuhutubia wasaliti waliohama vyama vyao baada ya kununuliwa. Kama Silinde aliwadanganya kwamba yeye ni maarufu hadi mkamlipa pesa ya uchakavu kuna haja gani tena ya kutumia ziara za kiserikali ili kumbeba?

Juzi Mwakajoka amehutubia mwenyewe bila mamluki yeyote, kwanini Silinde naye asifanye hivyo ?
Chukueni hatua badala ya kufikiri kuandika ni njia ya kupinga. Wenzenu wameanza kampeni za wazi nyinyi mnajificha ndani mpaka lini? It is not too late start now! Ukibamizwa shavu la kulia wewe mbamize la kushoto pamoja na pua
 
Kampeni za chadema mwaka huu ni rahisi sana
1. Fly over iko dar haiko Mbeya
2. Salender bridge iko dar haiko Mbeya
3. Hospitali imejengwa chato haiko Tunduru
4. Ajira ni kwa wana ccm sio kwa watanzania
5. Kwetu mpaka leo hakuna maji masafi ya bomba toka tupate uhuru wa kiccm
6. Sukari bei juu
7. Watu wamepotezwa na kuuwawa hadharani

Hatutaipigia ccm hii ya kiuwaji

Wakitaka kura zetu watueleze waliko hawa
1. Ben Saanane
2. Azory Gwanda
3. na wengine wengi
4. waliomuua Mawazo
5. Waliompiga risasi Tundu lissu
6. Waliomteka Roma, Nondo, Mo, na watu kibao
 
Yaani katika wabunge waliounga juhudi kifala ni Lijualikali na Silinde,mbwembwe nyingi utafikiri wameahidiwa uzima wa milele,naamini wakiwa wametulia wanajuta sana kwa maamuzi waliyoyafanya ila hawana namna inabidi wakaze uzi tu.
 
Kampeni za chadema mwaka huu ni rahisi sana
1. Fly over iko dar haiko Mbeya
2. Salender bridge iko dar haiko Mbeya
3. Hospitali imejengwa chato haiko Tunduru
4. Ajira ni kwa wana ccm sio kwa watanzania
5. Kwetu mpaka leo hakuna maji masafi ya bomba toka tupate uhuru wa kiccm
6. Sukari bei juu
7. Watu wamepotezwa na kuuwawa hadharani

Hatutaipigia ccm hii ya kiuwaji

Wakitaka kura zetu watueleze waliko hawa
1. Ben Saanane
2. Azory Gwanda
3. na wengine wengi
4. waliomuua Mawazo
5. Waliompiga risasi Tundu lissu
6. Waliomteka Roma, Nondo, Mo, na watu kibao

Hapo ndipo CCM Mpya waelewe gharama za kuendekeza utashi wa mtu mmoja bila kuwashirikisha wananchi wanataka nini ktk maeneo yao yawe Maendeleo ya Vitu au Maendeleo ya Watu lazima kuwa msikivu kwa wabunge na wananchi hitaji lao lenye kipaumbele ni lipi badala ya kuwaburuza.
 
Back
Top Bottom