mmh
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,910
- 5,084
Hamtaamini ila tunasubiri kuchinja tu Kihalali kabisalabda kwa uchawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamtaamini ila tunasubiri kuchinja tu Kihalali kabisalabda kwa uchawi
Jipeni fake hopes tu tunawachora kwa hasira hapa, hii ndo Tz ukijitoa ufahamu tutakuonyesha kwa vitendo.Umepania kuwabambikia kesi au kuwapiga risasi? Ni kipi umewapania haswa?
Vitendo ni kuwabambikia kesi au kuwapiga risasi? Ni vitendo vipi zaidi ya hivyo?Jipeni fake hopes tu tunawachora kwa hasira hapa, hii ndo Tz ukijitoa ufahamu tutakuonyesha kwa vitendo.
NIMETOKEA KUICHUKIA CCMTunaposema CCM imekufa huwa hatubahatishi, Mh Kasimu Majaliwa ambaye yuko Tunduma kwa kinachoitwa ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa hospitali ya Mji wa Tunduma, hatimaye ametimiza kile kilichompeleka hasa ambacho ni kutafuta uwanja wa Msaliti Silinde kuhutubia baada ya kubainika kwamba, kwa sasa Silinde hana uwezo wa kukusanya hata watu 50 kwenye mkutano wa hadhara.
Hii yaweza kuwa aibu kwa mtu mzito kama Waziri Mkuu kutengeneza ziara ya kinafiki ili kuwapa uwanja wa kuhutubia wasaliti waliohama vyama vyao baada ya kununuliwa. Kama Silinde aliwadanganya kwamba yeye ni maarufu hadi mkamlipa pesa ya uchakavu kuna haja gani tena ya kutumia ziara za kiserikali ili kumbeba?
Juzi Mwakajoka amehutubia mwenyewe bila mamluki yeyote, kwanini Silinde naye asifanye hivyo ?
Kumbe we ni kijana wa Simon Siro, tegemeo kuu la CCM.Chadema kwa kulialia , subiri kiama chenu mwaka huu yani tulivyopania!
Humphrey Polepole alikuwapo juzi Tunduma lakini aliona dhahiri mkoa wa Songwe mambo magumu akakimbia. Sera za Maendeleo ya Vitu ya Dar es Salaam aliyosema Polepole kusuhu flyover , madaraja ya baharini, ndege na meli haziuziki Tunduma. Tunduma wanataka Maendeleo ya Watu .
Shetani hajawahi kuwa rafiki na mtu.Silinde dhambi ya usaliti itamwandama milele....
Hata siku mojaShetani hajawahi kuwa rafiki na mtu.
Chukueni hatua badala ya kufikiri kuandika ni njia ya kupinga. Wenzenu wameanza kampeni za wazi nyinyi mnajificha ndani mpaka lini? It is not too late start now! Ukibamizwa shavu la kulia wewe mbamize la kushoto pamoja na puaTunaposema CCM imekufa huwa hatubahatishi, Mh Kasimu Majaliwa ambaye yuko Tunduma kwa kinachoitwa ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa hospitali ya Mji wa Tunduma, hatimaye ametimiza kile kilichompeleka hasa ambacho ni kutafuta uwanja wa Msaliti Silinde kuhutubia baada ya kubainika kwamba, kwa sasa Silinde hana uwezo wa kukusanya hata watu 50 kwenye mkutano wa hadhara.
Hii yaweza kuwa aibu kwa mtu mzito kama Waziri Mkuu kutengeneza ziara ya kinafiki ili kuwapa uwanja wa kuhutubia wasaliti waliohama vyama vyao baada ya kununuliwa. Kama Silinde aliwadanganya kwamba yeye ni maarufu hadi mkamlipa pesa ya uchakavu kuna haja gani tena ya kutumia ziara za kiserikali ili kumbeba?
Juzi Mwakajoka amehutubia mwenyewe bila mamluki yeyote, kwanini Silinde naye asifanye hivyo ?
Msajili wa Vyama anatazama tu bila kuchukua hatua,sheria za vyama vya siasa haiwahusu CCM?Mbona hizi ni kampeni halisi za wazi wazi tena bila aibu.CCM wameanza kampeni kabla ya mda wake
Msajili kaufyata , na usije kushangaa kusikia katia nia kugombea ubunge ccmMsajili wa Vyama anatazama tu bila kuchukua hatua,sheria za vyama vya siasa haiwahusu CCM?Mbona hizi ni kampeni halisi za wazi wazi tena bila aibu.
Silinde na Mwambe yalikuwa mapandikizi, hawana uwezo wa kujitegemea mpaka wabebwe.Sasa Silinde ameshindwaje kufanya hivi ?
Nyie Policcm?Jipeni fake hopes tu tunawachora kwa hasira hapa, hii ndo Tz ukijitoa ufahamu tutakuonyesha kwa vitendo.
Hakika !CCM ni chama marehemu, na wanaojiunganacho nao wanageuka marehemu from day one.
Kampeni za chadema mwaka huu ni rahisi sana
1. Fly over iko dar haiko Mbeya
2. Salender bridge iko dar haiko Mbeya
3. Hospitali imejengwa chato haiko Tunduru
4. Ajira ni kwa wana ccm sio kwa watanzania
5. Kwetu mpaka leo hakuna maji masafi ya bomba toka tupate uhuru wa kiccm
6. Sukari bei juu
7. Watu wamepotezwa na kuuwawa hadharani
Hatutaipigia ccm hii ya kiuwaji
Wakitaka kura zetu watueleze waliko hawa
1. Ben Saanane
2. Azory Gwanda
3. na wengine wengi
4. waliomuua Mawazo
5. Waliompiga risasi Tundu lissu
6. Waliomteka Roma, Nondo, Mo, na watu kibao