Aibu: Ziara ya Waziri Mkuu Tunduma yageuka Mkutano wa Kampeni, Silinde na Mwambe wahutubia

Tegemeo la ccm ni polisi pekee
 
Yaani katika wabunge waliounga juhudi kifala ni Lijualikali na Silinde,mbwembwe nyingi utafikiri wameahidiwa uzima wa milele,naamini wakiwa wametulia wanajuta sana kwa maamuzi waliyoyafanya ila hawana namna inabidi wakaze uzi tu.
Aibu kubwa sana !
 
Muda utawashitaki yaani walivyo wepesi bila polisi hakuna CCM imara
 
Mmmh! sisi wengine tusio na mavyama vyama sijui tuwe tunajificha wapi! Huyo mtu mmemfukuza wenyewe kwenye chama chenu na mkatangaza wenyewe kwenye vyombo vya habari kwa majigambo. Sasa kaamua kujiunga na CCM kuendelea na taaluma yake ya siasa halafu wewe unatuletea story za ooh kanunuliwa! Kivipi?? Kama kwamba kila mtu atakayesoma uzi wako ni mjinga wa kufikiri kiasi hicho. I mean, seriously???
 
Chadema kwa kulialia , subiri kiama chenu mwaka huu yani tulivyopania!

Ni kweli nyinyi tume ya uchaguzi na vyombo vya dola mmepania sana, na mwenyekiti wenu kwa kofia ya urais ameshatoa maagizo kabisa mtangazwe washindi.
 
Kwa kwa watu wa Tunduma ndio nguzo ya taifa tunawafahamu hao hakuna mchezo safi sana fukuza polepole na ujinga wake
 
Ni kweli nyinyi tume ya uchaguzi na vyombo vya dola mmepania sana, na mwenyekiti wenu kwa kofia ya urais ameshatoa maagizo kabisa mtangazwe washindi.
Mkuu hicho kitu kitapasua hii nchi mwaka huu , polisi wamechoka sana kutumika
 
6 Julai 2020
Tunduma, Tanzania

Ziara ya Waziri Mkuu Majaliwa afika Tunduma
Waziri Shonza aelezea hali ya kisiasa ilivyo Momba ambapo upinzani wanashikilia hatamu za uongozi kwa ridhaa ya wananchi


Source : Jay TV
 
6 Julai 2020
Tunduma, Tanzania

Majaliwa: maendeleo yapo kwenye vidole vyenu
ashangazwa na umati wa watu katika mkutano wao na kuwaomba watumie vidole vyao vizuri. Maana katika ziara zake zote hajapata kuona umati mkubwa Tanzania ukijitokeza kama katika mkutano wa Tunduma.

Waziri Mkuu azungumzia hospitali kubwa inayojengwa kwa awamu kwa gharama ya bajeti ya Tshs. 15.0 bilioni


Source : Jay TV
 
5 Julai 2020

CCM NYANDA ZA JUU KUSINI : Tumechoka kuongozwa na upinzani


Source : MbeyaYetuOnlineTV
 
Tunduma na Mbeya mjini mtake msitake,Mtaongozwa na CCM
 
Hatimaye Majaliwa naye aanza siasa za kishamba
 
Tuseme tu ukweli, Tunduma watu wanajitambua sana. CCM na Silinde wana wakati mgumu sana!
 
L L

Hapo bavicha matimbo joto, wanapishana tu vichakani kwa mhaloπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Tuseme tu ukweli, Tunduma watu wanajitambua sana. CCM na Silinde wana wakati mgumu sana!

Umati huo wa wanaTunduma unawatizama tu hao viongozi makada wa CCM Mpya wa kuletwa na CCM kuongoza wilaya na mikoa RC , DC, RAS , DAS , DED wakiwasanifu lakini siku ya kupiga kura wanafanya kweli kwa kuchagua upinzani.

Pia Majaliwa ameonesha kutowaamini hata wanaCCM makundi ambao wanawapigia kura zao za siri kuchagua upinzani Oktoba 2020.
 
Majaliwa anajidhalilisha sana na michezo hii ya kishamba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…