Uchaguzi 2020 Aida Khenani (CHADEMA): Siwezi kuwasaliti wananchi wa Nkasi Kaskazini, mimi ni mbunge halali, ninasubiri kuapishwa tu

Atakwenda tu. CCM mmekwishaamua hivyo, kuna mwingine wa kukataa? Anayekataa atakuwa hajipendi (JW, NEC, Polisi, Mamlaka ya Anga, TCRA, Msajili, Mahakama, TISS..).
 
Wajua kuna mambo hupashwi kutumia nguvu. At some point Raila mwaka 1997, akajiunga na KANU, alijiunga na KANU kwa maksudi fulani. Kilichotekea KANU iko wapi?
 
Pamoja na kwamba naipenda namkubali sana Lisu, lakini sijauubaliana nae kweye hili la kusema kwamba huyo Mbunge binti asubiri kwanza hadi chama kitakapo toa tamko. Wakati yeye tayari amepata hifadhi Ujerumani na tayari anafanya taratibu za kuondoka na kurudi Ubelgiji.
Yaani nilivyo tafasiri kwa haraka ni kwamba Lisu anatoa msimamo wa chama, wakati tayari anapo pa kukimbilia ilhali anao watolea tamko chama kimewaacha watajisumbukia...
 
Kama Aida anatishiwa maisha naye aje Ubalozini haraka sana. Mlango wa Ubalozi uko wazi hapa...

Anaweza pia kuunga juhudi sasa hivi kama ubunge ni muhimu sana kuliko CHADEMA. Kwanza ni kwa nini aachiwe yeye jimbo na wala siyo mwingine yeyote? Ana uhusiano gani na CCM/TISS ambao hauko wazi? Ama mnataka tuamini kuwa mkurugenzi wa Nkasi haipendi kazi yake, hamwogopi Magufuli? Ama yeye halipwi mshahara na Magufuli?
 
aende tu

isije kuwa hawa wanaume wa chadema wana lao...hivyo wanamzuia kiaina

na kama hajaolewa wamtafutie na mume...huko kuna silinde,msukuma na yule jamaa anaependaga wanawake weupe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…