Uchaguzi 2020 Aidah Kenani (CHADEMA) wa Nkasi Kaskazini amuangusha bwana Ally Kessy (CCM)

Uchaguzi 2020 Aidah Kenani (CHADEMA) wa Nkasi Kaskazini amuangusha bwana Ally Kessy (CCM)

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
Hatimae chama pendwa cha CHADEMA kimepata mbunge mmoja mpaka sasa aitwae Aidah Kenani wa Nkasi kaskazini baada ya kumuangusha Bwana Ally Keissy, mbunge machachari kwa kutetea hata upuuzi wa chama. Hongera sana kwa mkurugenzi ambae hata amethubutu kumtamka mpinzani.

=====

Ally Mohamed Keissy(CCM) amepata kura 19,972, Aida Khenan wa CHADEMA kura 21,226 tofauti ni kura 1,254 mshindi ni Aida Khenan jimbo la Nkasi Kaskazini.

Missana Kwangula, msimamizi wa uchaguzi ambaye pia ni mkurugenzi mtendaji wa wilaya Nkasi mkoani Rukwa ndiye aliyetangaza matokeo haya usiku wa leo.
 
Namuombea huyu dada apewe ushirikiano na CHADEMA, la sivyo atakuwa na wakati mgumu sana bungeni. Kutimiza majukumu yake ya kibunge na kufuata matakwa/masharti ya Chama.
 
Maeneo mengine, wasimamizi aidha wamepewa maelekezo au wamekuwa na hofu ya kutumbuliwa, wameishia kudhulumu ushindi wa wagombea.

Yaliyotokea yanaenda kuleta chuki ya muda mrefu katika jamii.

Wananchi ngazi za majimbo na kata na vijiji wanajua ni mgombea gani anakubalika.

Viongozi wa Tume wapo Dar na Dodoma lakini wasimamizi ngazi za chini ni watumishi wa Serikali, wengi ni wateuliwa na ni makada wa chama na wasaidizi wa ngazi za kata na vijiji walikuwa wanapewa maelekezo bila viongozi wa Tume ya Uchaguzi(Taifa) kufahamu kuwa ngazi za chini wasimamizi hawapo huru katika kutekeleza jukumu la usimamizi wa uchaguzi.

Kinachofuata ni maisha ya kinafiki, chuki na visasi dhidi viongozi na wananchi.
 
Eti Kessy kadondoshwa[emoji15]!

Yaani yule Kessy aliyekuwa anapiga kelele bungeni meko aongezewe muda!?

Hayo ni maigizo na maagizo kutoka remote centre!

Hilo ni chenga la macho ili ionekane zoezi limekuwa fair! Utasikia meko anavuojua kunanga atasema "kama uchaguzi haukuwa huru na haki mbona huyu mpinzani alitangazwa?"

Huu ni mchezo umechezwa na tiaises kwa maelekezo maalum, then hakutakuwa na kitu cha kushangaza huyo Kessy akija akiteuliwa kuwa mbunge!

IMG_2196.jpg
 
Eti Kessy kadondoshwa[emoji15]!

Yaani yule Kessy aliyekuwa anapiga kelele bungeni meko aongezewe muda!?

Hayo ni maigizo na maagizo kutoka remote centre!

Hilo ni chenga la macho ili ionekane zoezi limekuwa fair! Utasikia meko anavuojua kunanga atasema "kama uchaguzi haukuwa huru na haki mbona huyu mpinzani alitangazwa?"

Huu ni mchezo umechezwa na tiaises kwa maelekezo maalum, then hakutakuwa na kitu cha kushangaza huyo Kessy akija akiteuliwa kuwa mbunge!
Tume Imeruka Kimanga. Haya Matokeo Ina Maana Wanahamisha Number
 
Eti Kessy kadondoshwa[emoji15]!

Yaani yule Kessy aliyekuwa anapiga kelele bungeni meko aongezewe muda!?

Hayo ni maigizo na maagizo kutoka remote centre!

Hilo ni chenga la macho ili ionekane zoezi limekuwa fair! Utasikia meko anavuojua kunanga atasema "kama uchaguzi haukuwa huru na haki mbona huyu mpinzani alitangazwa?"

Huu ni mchezo umechezwa na tiaises kwa maelekezo maalum, then hakutakuwa na kitu cha kushangaza huyo Kessy akija akiteuliwa kuwa mbunge!
Mbona n copy and paste.
 
Back
Top Bottom