Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Hatimae chama pendwa cha CHADEMA kimepata mbunge mmoja mpaka sasa aitwae Aidah Kenani wa Nkasi kaskazini baada ya kumuangusha Bwana Ally Keissy, mbunge machachari kwa kutetea hata upuuzi wa chama. Hongera sana kwa mkurugenzi ambae hata amethubutu kumtamka mpinzani.
=====
Ally Mohamed Keissy(CCM) amepata kura 19,972, Aida Khenan wa CHADEMA kura 21,226 tofauti ni kura 1,254 mshindi ni Aida Khenan jimbo la Nkasi Kaskazini.
Missana Kwangula, msimamizi wa uchaguzi ambaye pia ni mkurugenzi mtendaji wa wilaya Nkasi mkoani Rukwa ndiye aliyetangaza matokeo haya usiku wa leo.
=====
Ally Mohamed Keissy(CCM) amepata kura 19,972, Aida Khenan wa CHADEMA kura 21,226 tofauti ni kura 1,254 mshindi ni Aida Khenan jimbo la Nkasi Kaskazini.
Missana Kwangula, msimamizi wa uchaguzi ambaye pia ni mkurugenzi mtendaji wa wilaya Nkasi mkoani Rukwa ndiye aliyetangaza matokeo haya usiku wa leo.