Nchi yetu imejaaliwa miujiza kamanda! hasa kwenye issues za risasi.Kwa hiyo unataka kusema je labda?
Vipi kuhusu ile iliyopigwa juu ikakata kona na kupasua kioo cha daladala na kutoa roho ya aliyekuwa mwanafunzi!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi yetu imejaaliwa miujiza kamanda! hasa kwenye issues za risasi.Kwa hiyo unataka kusema je labda?
Vipi kuhusu ile iliyopigwa juu ikakata kona na kupasua kioo cha daladala na kutoa roho ya aliyekuwa mwanafunzi!?
Awashughulikie mara ya pili?Nyie sifieni ,shangilieni hiyo dhulma ya kuiba kura Ila yakikukuta hamna wa kukutetea au kukusemea...kamaliza upinzani Sasa ataanza kuwashughulikia nyie ccm ndani kwa ndani.