Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
- Thread starter
- #161
Unaelewa kweli kilichoko hapa?Inawezekana na wapinzani wamempigia rais
Kura za Ubunge CCM Ni 35,000+ na anaefuatia ni 11,000, jumla na wengine ni Kama 50,000+ hivi waliopiga kura za Ubunge.
Sasa kichekesho Magu ana kura 165,000+ za Urais, Ina maana Kuna watu 115,000+ wamepiga kura za Urais tu?