kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,539
Inawezekana na wapinzani wamempigia raisJimbo la kahama mjini kishimba kashinda kwa kura elfu 35. Lkn magufuli kapata kura 167,000.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana na wapinzani wamempigia raisJimbo la kahama mjini kishimba kashinda kwa kura elfu 35. Lkn magufuli kapata kura 167,000.
Haaaa haaaa Excel ilipoteza fomula
leteni ushahidi wa kuibiwa yani mtu kama lema angeibiwa si pangechimbika ila kapigwa kialali ndio mana katuliaAkili za hovyo hizi kwanini iwaadhiri upi zani tu, ccm wameiba Sana uchaguzi huu jiwe anataka USHINDI wa kishindo
Malalamiko ya kura feki ni kawe tu mbona mbowe na Lema hawajalalamikaHoja yako ingekuwa nzito zaidi kama pasingekuwa na kelele za kura feki kila kona ya nchi, lakini kwa mazingira yaliyokuwepo hoja yako siipi uzito.
Wee vipi?
Watu wanashangaa "MUUJIZA" wa mtu anapigwa risasi kutoka kushoto lakini risasi "ZOTE 16" zinakata kona na kupiga mguu wa kulia.
We unashangaa haka kamuujiza kaduchu hivi?
Watu wa CCM ni loyal so huwa always wanajitokeza kupiga kura wapinzani ni watu wa mihemuko tu kwenye kampeni kura hawapigiKama watu hawajajitokeza kwa nini iwaathiri wapinzani peke yao isiwaathiri na hao CCM?!
Laana iwe juu yako na ukoo wako...Mkiwa na kiongozi mkuu mnafiki na zao la shetani, waongozwa wote mtajuta. Sahizi kuna watu wanafurahia lakini waja wakati ambao wanaofurahia watajuta kuliko wanaoumia leo.
Nchi ipo katika laana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo kauli zenu za vitisho ndizo zilizowafanya watanzania waamue kutowachagua.Kabisa mkuu. ..watu wanafurahia Ila hakika tutakuja kulia na kusaga meno wote hapo baadae.
Kubalini tu hiki ni kichapo Cha shoga mwizi mlisema lazima awe rais Sasa mmekimbilia visababu vyenu vya kila siku, mwambieni huyo beberu wenu Amsterdam Kama mna ushahidi akawashughulikie mahakamani.Hawakusahau wameanza kujistukia.
Namuombea huyu dada apewe usirikiano na CHADEMA, la sivyo atakuwa na wakati mgumu sana bungeni. Kutimiza majukumu yake ya kibunge na kufuata matakwa/masharti ya Chama.
Nadhani idea yake hata wenzake hawako pamoja naye.Huyu Ally Kessy ana kiherehere, nafikiri ni mkakati wa Chama kumuondoa bungeni. Haiwezekani hata kidogo mbunge wa CCM kushindwa kwa namna mambo yalivyo majimboni mwaka huu. Kessy hatakiwi aingie bungeni mara hii ndio maana kapigwa chini.
Ungeuliza suali za kura za Upinzani ingekuwa bora Zaidi. Maana hata ukizijumlisha zilizoharibika,za Upinzani zote na za mmbunge wa ccm. Bado hazifii za raisi kwa jumla.Inawezekana na wapinzani wamempigia rais
Jimbo la kahama mjini kishimba kashinda kwa kura elfu 35. Lkn magufuli kapata kura 167,000.
Inawezekana na wapinzani wamempigia rais
mwambie mbunge akusanye ushahidi akienda mahakamani anashinda kiurahisi kabisa kama ni kweliUngeuliza suali za kura za Upinzani ingekuwa bora Zaidi. Maana hata ukizijumlisha zilizoharibika,za Upinzani zote na za mmbunge wa ccm. Bado hazifii za raisi kwa jumla.
Huyo muda si mrefu atajiunga na ccmHii geresha haiwezekani Tanzania nzima ashinde mbunge mmoja CHADEMA, shtukeni huu ni mtego utawanasa wote, humo bungeni atanyanyaswa mpaka ajute na hatakuwa na support, wajenga hoja wote wametolewa, kama vipi warudishieni kajimbo hako.
Sent using Jamii Forums mobile app