Uchaguzi 2020 Aidah Kenani (CHADEMA) wa Nkasi Kaskazini amuangusha bwana Ally Kessy (CCM)

Uchaguzi 2020 Aidah Kenani (CHADEMA) wa Nkasi Kaskazini amuangusha bwana Ally Kessy (CCM)

Huyu Ally Kessy ana kiherehere, nafkiri ni mkakati wa Chama kumuondoa bungeni. Haiwezekani hata kidogo mbunge wa CCM kushindwa kwa namna mambo yalivyo majimboni mwaka huu. Kessy hatakiwi aingie bungeni mara hii ndio maana kapigwa chini.
Huyu ni miongoni mwa wabunge waliokuwa wanatoa pendekezo kiongozi wa nchi aongezewe muhula wa kuendelea kutawala.
 
Afadhali maana huyu Kessy alishaanza kuongea mambo ya kubadili baadhi ya mambo bungeni.
 
Safi,maana alionyesha mahaba zaidi na kutaka kuvunja katiba yetu,akimwambia Spika kwa ushawishi aidha nampongeza Spika Dr Tulia Ackson
 
Ukweli watu wengi hawajajitokeza kupiga kura alafu wanalalamika ccm kushinda jamani kura moja ina impact
Akili za hovyo hizi kwanini iwaadhiri upi zani tu, ccm wameiba Sana uchaguzi huu jiwe anataka USHINDI wa kishindo
 
Hawa Ghasia naye ana gundu kushindwa mwaka huu hakukuwa na uchaguzi aisee. But I'm happy hao wamama wawili wameenda bungeni Ila sioni impact yao
Sio gundu ni yule shetani mkuu hamtaki kwa ajiki ya kutetea korosho.
 
Hii geresha haiwezekani Tanzania nzima ashinde mbunge mmoja CHADEMA, shtukeni huu ni mtego utawanasa wote, humo bungeni atanyanyaswa mpaka ajute na hatakuwa na support, wajenga hoja wote wametolewa, kama vipi warudishieni kajimbo hako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ujinga wewe, acha na yeye akale pesa. Unataka kina mbowe tu ndio wafaidi
 
[emoji44]
1601566817033.jpeg
 
Eti Kessy kadondoshwa[emoji15]!

Yaani yule Kessy aliyekuwa anapiga kelele bungeni meko aongezewe muda!?

Hayo ni maigizo na maagizo kutoka remote centre!

Hilo ni chenga la macho ili ionekane zoezi limekuwa fair! Utasikia meko anavuojua kunanga atasema "kama uchaguzi haukuwa huru na haki mbona huyu mpinzani alitangazwa?"

Huu ni mchezo umechezwa na tiaises kwa maelekezo maalum, then hakutakuwa na kitu cha kushangaza huyo Kessy akija akiteuliwa kuwa mbunge!
Ahahah
 
Mkiwa na kiongozi mkuu mnafiki na zao la shetani, waongozwa wote mtajuta. Sahizi kuna watu wanafurahia lakini waja wakati ambao wanaofurahia watajuta kuliko wanaoumia leo.

Nchi ipo katika laana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu siasa zisikufanye ukawaona watu mashetani na kuhisi laana juu yao, nafikiri endelea kupambania familia yako, kuna vitu huwa vinafanyika far worse than this.
 
Back
Top Bottom