cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Nimeshangaa Sana hiyo ya kesi ni maigizo tosha, hafu ushindi wamepewa kina mama tuEti Kessy kadondoshwa[emoji15]!
Yaani yule Kessy aliyekuwa anapiga kelele bungeni meko aongezewe muda!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshangaa Sana hiyo ya kesi ni maigizo tosha, hafu ushindi wamepewa kina mama tuEti Kessy kadondoshwa[emoji15]!
Yaani yule Kessy aliyekuwa anapiga kelele bungeni meko aongezewe muda!?
Naona madhulmat mnafurahia wizi wa kishindo[emoji23] [emoji23] [emoji23] Tulionya humu kwamba chadema ikipata wabunge 10 mwka huu mkatambike, ndio hao sasa
Duh!! Haya matokeo na watu wakashangilia kabisa!!! Hatari sana..Eti Kessy kadondoshwa[emoji15]!
Yaani yule Kessy aliyekuwa anapiga kelele bungeni meko aongezewe muda!??
Hayo ni maigizo na maagizo kutoka remote centre!
Hilo ni chenga la macho ili ionekane zoezi limekuwa fair! Utasikia meko anavuojua kunanga atasema "kama uchaguzi haukuwa huru na haki mbona huyu mpinzani alitangazwa?"
...huu ni mchezo umechezwa na tiaises kwa maelekezo maalum, then hakutakuwa na kitu cha kushangaza huyo Kessy akija akiteuliwa kuwa mbunge!View attachment 1615720
Huyu Dada bora awaachie CCM hilo Jimbo, akatae huo uteuziNamuombea huyu dada apewe usirikiano na CHADEMA, laa sivyo atakuwa na wakati mgumu sana bungeni. Kutimiza majukumu yake ya kibunge na kufuata matakwa/masharti ya Chama.
Kwanini asinge unga juhudi mapema kuliko kusubiri kupewa ushindi on condition?Huyo Dada lazima amepewa ushindi on condition .. Ndani ya mwaka ataunga juhudi.. Watch this....
Nadhani hoja ya korosho ndiyo imemuangusha! Alikuwa miongoni mwa wabunge wa kusini waliopinga serikali kuchukua fedha halali za wakulima.Hawa ghasia naye ana gundu kushindwa mwaka huu hakukuwa na uchaguzi aisee. But I'm happy hao wamama wawili wameenda bungeni Ila sioni impact yao
Huko Nkasi hakukuwa hata na mawakala baadhi ya vituo, CHADEMA itashindaje kama siyo MIPANGO YA KUFUNIKA KOMBE NI NINI? USHAONEA WAAPI
Hawa ghasia alisahau kuomba msamaha na hivi mwafundenge huweka vinyongo moyoni tena hajasahau loh. Nape alikubali kuomba msamaha huku anarekodiwa ikulu Ila kapata ubunge kapiga zake kimya, eeeh mwenye nguvu mpishe aisee.Nadhani hoja ya korosho ndiyo imemuangusha! Alikuwa miongoni mwa wabumnge wa kusini waliopinga serikali kuchukua fedha halali za wakulima.
Kilichotoka kule ni kile ambacho Waziri Mkuu aliamiwa,"Ningeanza kupiga hata shangazi zake'
Wee vipi?Eti Kessy kadondoshwa[emoji15]!
Yaani yule Kessy aliyekuwa anapiga kelele bungeni meko aongezewe muda!?
Hayo ni maigizo na maagizo kutoka remote centre!
Hilo ni chenga la macho ili ionekane zoezi limekuwa fair! Utasikia meko anavuojua kunanga atasema "kama uchaguzi haukuwa huru na haki mbona huyu mpinzani alitangazwa?"
Huu ni mchezo umechezwa na tiaises kwa maelekezo maalum, then hakutakuwa na kitu cha kushangaza huyo Kessy akija akiteuliwa kuwa mbunge!
Time will tell.Mkiwa na kiongozi mkuu mnafiki na zao la shetani, waongozwa wote mtajuta. Sahizi kuna watu wanafurahia lakini waja wakati ambao wanaofurahia watajuta kuliko wanaoumia leo.
Nchi ipo katika laana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa maagizo toka juu kuzuga.....halafu nikusikie umemtangaza mpinzani ameshinda! Huyu amejiingiza matatani.
Huku chuga diwani mmoja Wa chadema ameshinda. Ila kwa mbinde sana hawakulala akiweka mabaunsa mawakala hakuna kura feki iliyopenya.Wanaona aibu kwa uhuni waliofanya.
Washindi ni wanawake na wote wa mipakani!Itakuwa maagizo toka juu kuzuga.
Toka lini nyani akaona haya kula mahindi ya watu shambani. Hakuna kujishtukia, hii ni moja ya mikakati yao. Kessy katumiwa kama chambo tu.Hawakusahau wameanza kujistukia.