Wanampango wa kupitisha kama 3 hivi tena wanyonge na wasiokuwa na majina kama geresha ya kuhalalisha wizi wao.Hawakusahau wameanza kujistukia.
Ghiliba hizo.
Ilikuwa la kheri mno kuwasusia Mi-CCM bunge lao hili la wizi.
Aluta continua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanampango wa kupitisha kama 3 hivi tena wanyonge na wasiokuwa na majina kama geresha ya kuhalalisha wizi wao.Hawakusahau wameanza kujistukia.
Mawakala ndiyo wanapiga kura? Mkuu, vipi aisee!Huko Nkasi hakukuwa hata na mawakala baadhi ya vituo, CHADEMA itashindaje kama siyo MIPANGO YA KUFUNIKA KOMBE NI NINI? USHAONEA WAAPI
Akale bata tuNamuombea huyu dada apewe usirikiano na CHADEMA, laa sivyo atakuwa na wakati mgumu sana bungeni. Kutimiza majukumu yake ya kibunge na kufuata matakwa/masharti ya Chama.
Mkishinda tatizo mkakosa tatizo.Huko Nkasi hakukuwa hata na mawakala baadhi ya vituo, CHADEMA itashindaje kama siyo MIPANGO YA KUFUNIKA KOMBE NI NINI? USHAONEA WAAPI
Wanazuga ili tuseme uchaguzi ilikuwa Huru na wa haki.Ally kessy kafelishwa maksudi, anashindaje mtu wa CHADEMA?
Kuna hujuma hapo.
Atapewa ukuu wa mkoa.Eti Kessy kadondoshwa[emoji15]!
Yaani yule Kessy aliyekuwa anapiga kelele bungeni meko aongezewe muda!?
Hayo ni maigizo na maagizo kutoka remote centre!
Hilo ni chenga la macho ili ionekane zoezi limekuwa fair! Utasikia meko anavuojua kunanga atasema "kama uchaguzi haukuwa huru na haki mbona huyu mpinzani alitangazwa?"
Huu ni mchezo umechezwa na tiaises kwa maelekezo maalum, then hakutakuwa na kitu cha kushangaza huyo Kessy akija akiteuliwa kuwa mbunge!
Sababu yaweza kuwa hiiCdm watumie ile mbinu yao ya kufunga midomo kwa plasta za kugangia vidonda tuone kama itafanya kazi huku mtaani aka kitaa...
Unajua maana ya laana lakini ndugu?Mkiwa na kiongozi mkuu mnafiki na zao la shetani, waongozwa wote mtajuta. Sahizi kuna watu wanafurahia lakini waja wakati ambao wanaofurahia watajuta kuliko wanaoumia leo.
Nchi ipo katika laana.
Sent using Jamii Forums mobile app