Uchaguzi 2020 Aidah Kenani (CHADEMA) wa Nkasi Kaskazini amuangusha bwana Ally Kessy (CCM)

Uchaguzi 2020 Aidah Kenani (CHADEMA) wa Nkasi Kaskazini amuangusha bwana Ally Kessy (CCM)

Bosheni: ni yale malonya yanayojazwa kwenye kiatu au begi (machinga) ili litune vizuri kama vile limejaa vitu, ilimradi kuweka shepu!
😂😂😂😂😂😂😂😂 Dah si mchezo. Hili neno lazima litakua linatokea kwa ki ingereza sasa kiingereza chake sijui ni kipi.
 
Hatimae chama pendwa cha Chadema kimepata mbunge mmoja mpaka sasa aitwae AIDAH KENANI wa Nkasi kaskazini baada ya kumuangusha bwana Ally Keissy, mbunge machachari kwa kutetea hata upuuzi wa chama. Hongera sana kwa mkurugenzi ambae hata amethubutu kumtamka mpinzani

Huko si nasikia kuna ndumba kali sana?
 
Namuonea huruma huyo Mkurugenzi japo inaonesha ana hofu ya Mungu hajataka fahari za dunia.Ila huenda kibarua chake kikaota nyasi
 
Namuombea huyu dada apewe usirikiano na CHADEMA, laa sivyo atakuwa na wakati mgumu sana bungeni. Kutimiza majukumu yake ya kibunge na kufuata matakwa/masharti ya Chama.
Nashauri awe anaunga mkono juhudu za CCM isije ikafika 2025 wakaanza kumsingizia kuwa ndio alichelewesha maendeleo
 
Eti Kessy kadondoshwa[emoji15]!
Yaani yule Kessy aliyekuwa anapiga kelele bungeni meko aongezewe muda!??
Hayo ni maigizo na maagizo kutoka remote centre!
Hilo ni chenga la macho ili ionekane zoezi limekuwa fair! Utasikia meko anavuojua kunanga atasema "kama uchaguzi haukuwa huru na haki mbona huyu mpinzani alitangazwa?"
...huu ni mchezo umechezwa na tiaises kwa maelekezo maalum, then hakutakuwa na kitu cha kushangaza huyo Kessy akija akiteuliwa kuwa mbunge!View attachment 1615720
Aisee ila kuna ujinga tunafanyiwa
 
Ninachowaza Ally Kessy na Hawa Ghasia wameikosea nini CCM hata ikawatupa?

Ama watapewa nafasi maalum?

Narudia tena "hiki kinachofanywa ni kujaribu kuakisi na kuhalalisha uleee uchafuzi uliosuswa wa SM"
 
Eti Kessy kadondoshwa[emoji15]!
Yaani yule Kessy aliyekuwa anapiga kelele bungeni meko aongezewe muda!??
Hayo ni maigizo na maagizo kutoka remote centre!
Hilo ni chenga la macho ili ionekane zoezi limekuwa fair! Utasikia meko anavuojua kunanga atasema "kama uchaguzi haukuwa huru na haki mbona huyu mpinzani alitangazwa?"
...huu ni mchezo umechezwa na tiaises kwa maelekezo maalum, then hakutakuwa na kitu cha kushangaza huyo Kessy akija akiteuliwa kuwa mbunge!View attachment 1615720
Hivyo ndio vituko na mauzauza ya tume kibaya wametangaza wenyewe hiyo copy n paste baada ya kutazama saaaaaana!! 😀 😀
Akili za CCM na watwana wao huwa wanazijua wenyewe.
 
Hii geresha haiwezekani Tanzania nzima ashinde mbunge mmoja CHADEMA, shtukeni huu ni mtego utawanasa wote, humo bungeni atanyanyaswa mpaka ajute na hatakuwa na support, wajenga hoja wote wametolewa, kama vipi warudishieni kajimbo hako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wajinga wanajaribu kuchezea akili za watu, wapuuzi kweli.
 
TUNATAKA KUWASAIDIA NA VITI MAALUM KIDOGO WAWEPO
 
[emoji16][emoji16][emoji16].watakuwa walisahau kuzipeleka huko.
kichekesho hiki, yaani chadema wakose kwingine koote huko walipozoeleka waje kupata Nkasi?!.
mie naona hapa NEC CCM wamezd kuchemsha!
Mungu anapotaka kumuabisha mtu huwa hivyo na huko hao wabunge wa upinzani walikopitishwa ukute upinzani wamepata diwani mmoja au hakuna kabisa 😀 😀 😀
 
Back
Top Bottom