You know nothing about military operations with neither war in infront line nor in media. Kilichoripotiwa ni kitu kikubwa sana kinachojenga morale kwa wapambanao. Hapo wanajeshi wa Ukraine wanaongeza juhudi na wanajeshi wa Urusi ambao wako Kherson na Crimea bila supplies wanajua mwisho wetu umekaribia.Nonsense
Generali wa jeshi la Ukraine amewambia wa Ukraine wenzake kwamba wasianze kucheza ngoma za mdundiko kwa kushangilia kwamba wamekomboa jiji la KHERSON akasema ngoma bado mbichi kabisa tunakalia asili mia 20% ya mjini wakati asili mia 80% bado zipo chini ya jeshi la Urusi, na kibaya zaidi wanajeshi wa Urusi wameondoka kwenye sehemu hizo kwa hiari bila mapigano -hivyo akawa shauri kwamba wawe makini sana chochote kinaweza kutokea kuanzia sasa, hata baadhi ya majenerali wa jeshi la Merikani wali waonya jeshi la Ukraine kuhusu suala la mkoa na jiji la KHERSON kwamba wawe makini sana kuhusu sehemu ya mji huo wanao ukalia hivi sasa, Warusi wanaweza kuwageuzia kibao ikatokea balaa kubwa kwa jeshi la Ukraine.
kwann hajahama jf tuanzie hapo kwanzaNakumbuka wewe ulisema wakikomboa hata ekari 50 unaihama JF....
Binafsi nilitegemea msimike uongozi Kyev, nakumbuka nikiwatambia nyie makobaz humu namna wanajeshi wa Ukraine wataingia maporini na kuupa tabu uongozi mtakaosimika, watapigana kama waasi, wengi tuliamini siku tano na Ukraine inamilikiwa na Urusi, hata Zelensky alipewa ofa ya lift aondoke ndani ya nchi, ila akasema apewe silaha sio lift.
Leo jameni mpaka sasa bado nahisi kama ambaye naota, Ukraine walifanikiwa kufyeka upuzi wa Warusi na kufukuzia mpaka sasa Urusi wameambulia 15%, na zenyewe zinawapa tabu wanafyekwa kila siku, wamekusanya wafungwa na wanywa gongo ila wapi, wameomba msaada Iran ila wapi, hata Korea kwa Kim ila wapi.....piga mbwa
Kugeuza kibao kurudi walipopaachia?Generali wa jeshi la Ukraine amewambia wa Ukraine wenzake kwamba wasianze kucheza ngoma za mdundiko kwa kushangilia kwamba wamekomboa jiji la KHERSON akasema ngoma bado mbichi kabisa tunakalia asili mia 20% ya mjini wakati asili mia 80% bado zipo chini ya jeshi la Urusi, na kibaya zaidi wanajeshi wa Urusi wameondoka kwenye sehemu hizo kwa hiari bila mapigano -hivyo akawa shauri kwamba wawe makini sana chochote kinaweza kutokea kuanzia sasa, hata baadhi ya majenerali wa jeshi la Merikani wali waonya jeshi la Ukraine kuhusu suala la mkoa na jiji la KHERSON kwamba wawe makini sana kuhusu sehemu ya mji huo wanao ukalia hivi sasa, Warusi wanaweza kuwageuzia kibao ikatokea balaa kubwa kwa jeshi la Ukraine.