Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,051
- 5,104
WestPoint is the best.Habari zenu wana Jamvi, naombeni ushauri juu ya hizi fridge zilizopo madukani, ni aina gani ya fridge ni nzuri na inayodum mda mrefu, na ni kitu gani cha kuzingatia wakati wa kununua hizi fridge,
Maana nmeona kampuni nyingi sana kwa sasa zikiwa zinauza hizi bidhaa,
Mfano jana nmetaka kununu ka friji kadogo ka getoni kwangu kanaitwa MrUK, nikaona ngoja niulizie kwanza wazoefu, nawasilisha asanteni.
View attachment 1764796View attachment 1764797View attachment 1764796View attachment 1764797
hivi tofauti ya fridge na freezer ni nini?Go for LG utaja nishukuru, pamoja na kwamba ni ghali lkn hakika wana chombo, mi nlinunua langu size ya kati tokea 2016 mpaka leo na sijawahi kujuta, ni energy efficient, hakuna kuweka mabonge ya barafu kule juu, inagandisha chap pia, lkn kwa muonekano ni Urembo ndani
Nina von aisee ni nzrachana na takataka hii, tafuta Von au Hisense
Upo wapiMkuu nikuuzie Friji Kama hilo kampuni ya BOSS Kwa 330,000 inakuja may fridge guard
Au Hisense same size 430,000
Tafuta LG au Fresh TechHabari zenu wana Jamvi, naombeni ushauri juu ya hizi fridge zilizopo madukani, ni aina gani ya fridge ni nzuri na inayodum mda mrefu, na ni kitu gani cha kuzingatia wakati wa kununua hizi fridge, maana nmeona kampuni nyingi sana kwa sasa zikiwa zinauza hizi bidhaa.
Mfano, jana nmetaka kununua kafriji kadogo ka getoni kwangu kanaitwa MrUK, nikaona ngoja niulizie kwanza wazoefu, nawasilisha
Asanteni.
View attachment 1764796
View attachment 1764797View attachment 1764796View attachment 1764797
Bei yake unapata plot huku uswahilini
Utalitambuaje likiwa dukani?La kizamani ilo, ya sasa yana mfumo unaitwa no frost
Huwa yanaandikwa kabisa ,No frostUtalitambuaje likiwa dukani?
0714883861Upo wapi
What bei cheaper nakahitaji kiongozi kama hako katanifaa sana nina shida ya fridge sana snaTZS 350,000 /=