Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,051
- 5,104
Go for LG utaja nishukuru, pamoja na kwamba ni ghali lkn hakika wana chombo, mi nlinunua langu size ya kati tokea 2016 mpaka leo na sijawahi kujuta, ni energy efficient, hakuna kuweka mabonge ya barafu kule juu, inagandisha chap pia, lkn kwa muonekano ni Urembo ndani