Aina ya Bangi inayovutwa Tanzania imeachwa kuvutwa Marekani na ulaya tangu miaka ya 1970, watanzania wanaendelea kuvuta na kuyasifia makapi

Mbona husemi ugali wa mahindi unaokula ukihisi ni chakula wamarekani hawayali yakiwa hivo? Hauna ujanja wowote kutuelimisha habari za skanka mambo karibu yote ya mfumo wa maisha tunatofautiana na wamarekani
 
Sasa wewe wavuta ipi?🙂
 
Najikuta nataka kuandika sana, ila usijali najua changamoto yako ipo kwenye mbegu baadae nitakuja na namna bora ya kutreat mbegu na hutokaa ujute ukishajua jinsi ya kudeal na hizi mbanga.
 
Huyo katafuta tu kichaka cha kuficha aibu ya kupenda kulaliwa na wanaume wenzake, wamarekani weusi kibao wanavuta bange na wapo straight kama mshale.
Hushtuki wameanza kuruhusu bangi sasa hivi wakati kabla ya hapo walikataza, hizo kitu kwa sasa wamezichakachua.......hata wale watumiaji wa huko wa mda mrefu wanakwambia kitu cha sasa kipo tofauti na enzi zao na vitu vya GMO ni hatari
 
Najikuta nataka kuandika sana, ila usijali najua changamoto yako ipo kwenye mbegu baadae nitakuja na namna bora ya kutreat mbegu na hutokaa ujute ukishajua jinsi ya kudeal na hizi mbanga.
muhimu kuchambua mbegu na vijiti
 
Wewe kama bangi imekukataa basi kaa pembeni tuache sisi wazee wa skanka, cha arusha n.k tumoke tupate stimu za kuwalamba dada zako wazuri.
 
Upo sahihi wavuta bangi wa Tz wametofautiana na wavuta bangi wa marekani sehemu kubwa Sana.😲

Ila utofauti huo upo katika MAISHA na sio bangi Kama bangi.
 
Ila ndio bhangi kali kuliko zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…