Aina ya Bangi inayovutwa Tanzania imeachwa kuvutwa Marekani na ulaya tangu miaka ya 1970, watanzania wanaendelea kuvuta na kuyasifia makapi

Aina ya Bangi inayovutwa Tanzania imeachwa kuvutwa Marekani na ulaya tangu miaka ya 1970, watanzania wanaendelea kuvuta na kuyasifia makapi

Anyway hata kahawa bora ipo Africa na iliachwa kulimwa huko ng'ambo miaka ya 1900s.

Be organic bro.
Ila bangi acha.
 
Ni kwamba Kuanzia miaka ya 1970 bangi inayolimwa haina mbegu, ni huku Tanzania na nchi nyingi Africa bado tupo gizani, ukitaka kuniamini watanzania hawajui chchote kuhusu hili ukiwajuza watakwambia "huwezi kutuambia chochote kuhusu bangi, Cha Arusha ndio chenyewe na hakuna bangi isiyo na mbegu", ni wabishi vibaya mno.
Nimesikitika sana.

Kwa mantiki hiyo utamuambiaje Rastaman mvutabhangi kwamba aachane na mmea wa asili unaotoa mbegu na majani. Atafute uliochakachuliwa hauna hata mbegu ndio ajione amepata? Amepatia amepatikana?

In the midst of the street of it, and on either side of the river, was there the tree of life, which bare twelve manner of fruits, and yielded her fruit every month: and the leaves of the tree were for the healing of the nations.
 
Bangi ya siku hizi wanaichanganya na mavitu ili kuiongezea utamu matokeo yake wengi inawachukua mazima. Nahisi wanafanya hivyo kwa sababu haina nguvu au watumiaji wamekubuhu, vichwa vimeshakuwa vigumu.

Mimi siyo mtumiaji lakini.
 
Vichwa vimeshakubuhu, lakini pia bangi haina nguvu kihivyooo

Sasa hao unakuta wanakula ugoro, pombe na madude mengine lazima bangi aimix
Bangi ya siku hizi wanaichanganya na mavitu ili kuiongezea utamu matokeo yake wengi inawachukua mazima. Nahisi wanafanya hivyo kwa sababu haina nguvu au watumiaji wamekubuhu, vichwa vimeshakuwa vigumu.

Mimi siyo mtumiaji lakini.
 
kwa mtazamo wako, nimejaribu kupitia huu uzi, jinsi unavyotetea hoja yako kuna nilichogundua, mleta mada una chuki binafsi na wavutaji wa Tz lakini huna unachojua kuhusu Ganja..usivute si kwa kila mtu ule mmea.
 
Kwa hiyo unatushauri tukavute bhangi marekani hata ubalozini tunapata?
 
Back
Top Bottom