Aina ya magorofa kwa kila wizara katika mji wa serikali Dodoma ndio utaamua muonekano wa mji huo wa serikali

Aina ya magorofa kwa kila wizara katika mji wa serikali Dodoma ndio utaamua muonekano wa mji huo wa serikali

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Ujenzi wa mji wa serikali mkoani Dodoma unaendelea, na hivi sasa mtandao wa barabara za lami katika mji huu ni kama umekamilika na umebadilisha kabisa muonekano au mandhari ya huu mji.

Hata hivyo, aina ya magorofa kwa kila wizara ndio yataamua muonekano wa jumla wa huu mji..Yale majengo ya mwanzo ya kufanan kwa kila wizara, kwa hakika hayakuwa ya kuvutia, ila baada ya mtandao wa barabara za lami katika mji huu kufikia hatua ya kukamilika, taswira ya huu mji sasa imebadilka na umeanza kuvutia. Hofu yangu sasa ni aina ya magorofa kwa kila wizara kwani ndio yataamua huu mji uonekane vipi.

Sijui wamepanga kujenga magorofa ya aina gani kwa kila wizara, ila binafsi naona itakuwa bora/itapendeza kama kila wizara itakuwa na ramani yake kuliko kuwa na majengo uniform kama ilivyo sasa kwa yale majengo yaliyopo kwa kila wizara.

Eneo la mji wa serikali ni kubwa mno na nitakuwa wa mwisho kuamini kama uniformity katika ujenzi wa magorofa katika eneo hili utavutia.

Kama majengo yatakuwa ya kuvutia, basi hata yakifanana mji mzima, inaweza isiwe tatizo sana, ila ikitokea hayavuti, na mji mzima yakawa ndio hayo, basi mji huu utakuwa umeharibiwa.

Pia ikiwezekana, wizara moja iwe ni gorofa tatu, nyingine nne na nyingine tano,n.k mradi tu kuwe na tofauti na hapo ndio tutweza kuwa na mji katika eneo hili.

Najua mpaka sasa michoro kwa kila wizara iko teyari, hivyo hakuna kitachobadilika ila hii haituzui kusema.

Mji kwa sasa unapendeza, ila ujenzi wa hayo magorofa ndio utaamua kila kitu hapo baadae juu ya muonekano mzima wa huu mji.

Msije mkatujengea mji wa serikali ukawa kama yale ya magorofa ya Jeshi yaliyoko jirani pale Ihumwa.

Michoro kama hii inapendeza machoni, ila inaweza kuku-deceive na utakuja kugundua when it comes to reality baada ya ujenzi kukamilika.

Screenshot_20211014-195624_Chrome.jpg


Screenshot_20211014-195700_Chrome.jpg
 
Ujenzi wa mji wa serikali mkoani Dodoma unaendelea, na hivi sasa mtandao wa barabara za lami katika mji huu ni kama umekamilika na umebadilisha kabisa muonekano au mandhari ya huu mji.

Hata hivyo, aina ya magorofa kwa kila wizara ndio yataamua muonekano wa jumla wa huu mji..Yale majengo ya mwanzo ya kufanan kwa kila wizara, kwa hakika hayakuwa ya kuvutia, ila baada ya mtandao wa barabara za lami katika mji huu kufikia hatua ya kukamilika, taswira ya huu mji sasa imebadilka na umeanza kuvutia. Hofu yangu sasa ni aina ya magorofa kwa kila wizara kwani ndio yataamua huu mji uonekane vipi.

Sijui wamepanga kujenga magorofa ya aina gani kwa kila wizara, ila binafsi naona itakuwa bora/itapendeza kama kila wizara itakuwa na ramani yake kuliko kuwa na majengo uniform kama ilivyo sasa kwa yale majengo yaliyopo kwa kila wizara.

Eneo la mji wa serikali ni kubwa mno na nitakuwa wa mwisho kuamini kama uniformity katika ujenzi wa magorofa katika eneo hili utavutia.

Pia ikiwezekana, wizara moja iwe ni gorofa tatu, nyingine nne na nyingine tano,n.k mradi tu kuwe na tofauti na hapo ndio tutweza kuwa na mji katika eneo hili.

Najua mpaka sasa michoro kwa kila wizara iko teyari, hivyo hakuna kitachobadilika ila hii haituzui kusema.

Mji kwa sasa unapendeza, ila ujenzi wa hayo magorofa ndio utaamua kila kitu hapo baadae juu ya muonekano mzima wa huu mji.

Msije mkatujengea mji wa serikali ukawa kama yale ya magorofa ya Jeshi yaliyoko jirani pale Ihumwa.
Ni MAGUFULI CITY SASA

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Ujenzi wa mji wa serikali mkoani Dodoma unaendelea, na hivi sasa mtandao wa barabara za lami katika mji huu ni kama umekamilika na umebadilisha kabisa muonekano au mandhari ya huu mji.

Hata hivyo, aina ya magorofa kwa kila wizara ndio yataamua muonekano wa jumla wa huu mji..Yale majengo ya mwanzo ya kufanan kwa kila wizara, kwa hakika hayakuwa ya kuvutia, ila baada ya mtandao wa barabara za lami katika mji huu kufikia hatua ya kukamilika, taswira ya huu mji sasa imebadilka na umeanza kuvutia. Hofu yangu sasa ni aina ya magorofa kwa kila wizara kwani ndio yataamua huu mji uonekane vipi.

Sijui wamepanga kujenga magorofa ya aina gani kwa kila wizara, ila binafsi naona itakuwa bora/itapendeza kama kila wizara itakuwa na ramani yake kuliko kuwa na majengo uniform kama ilivyo sasa kwa yale majengo yaliyopo kwa kila wizara.

Eneo la mji wa serikali ni kubwa mno na nitakuwa wa mwisho kuamini kama uniformity katika ujenzi wa magorofa katika eneo hili utavutia.

Kama majengo yatakuwa ya kuvutia, basi hata yakifanana mji mzima, inaweza isiwe tatizo sana, ila ikitokea hayavuti, na mji mzima yakawa ndio hayo, basi mji huu utakuwa umeharibiwa.

Pia ikiwezekana, wizara moja iwe ni gorofa tatu, nyingine nne na nyingine tano,n.k mradi tu kuwe na tofauti na hapo ndio tutweza kuwa na mji katika eneo hili.

Najua mpaka sasa michoro kwa kila wizara iko teyari, hivyo hakuna kitachobadilika ila hii haituzui kusema.

Mji kwa sasa unapendeza, ila ujenzi wa hayo magorofa ndio utaamua kila kitu hapo baadae juu ya muonekano mzima wa huu mji.

Msije mkatujengea mji wa serikali ukawa kama yale ya magorofa ya Jeshi yaliyoko jirani pale Ihumwa.
Wewe ni msaliti unasifia barabara zilizotengenezwa na serikali ya chadema?
 
Ujenzi wa Tanzania siku zote unaishia kwenye kujenga boma, kuiweka milango na madirisha,sakafu,dari unaingizwa umeme.... Voila! Nyumba tayari.
Ujenzi wa barabara hivyo hivyo ... Kifusi, sambaza, shindiria weka lami mitaro isiyofunikwa ... Mji tayari.

Kisichoangaliwa ni mvuto wa jengo ..vis à vis mazingira na umaridadi yaani "estetique". Havizingatiwi kabisa. Rangi yoyote twende tu!. Jengo au mji utapendeza kama majengo yana unifomity fulani hivi, elevation inayozingatia tabianchi, Na zaidi sana kuwa na pavements zinazotenganisha jengo, barabara na bustani. ...Kwa kuwa mji unajengwa sasa wajenzi waachane na mazoea wajipange kujenga mji wa mfano.
 
Ungesubirisha hii comment yako, kwaakili za watu wetu wanaweza ahirisha haya kwkauogopa neno legacy[emoji2958]
ulichoongea ni ukweli aisee, kuna watu nchi hii ukitaja magufuli mioyo yao inaugua[emoji1787]
 
Ujenzi wa mji wa serikali mkoani Dodoma unaendelea, na hivi sasa mtandao wa barabara za lami katika mji huu ni kama umekamilika na umebadilisha kabisa muonekano au mandhari ya huu mji.

Hata hivyo, aina ya magorofa kwa kila wizara ndio yataamua muonekano wa jumla wa huu mji..Yale majengo ya mwanzo ya kufanan kwa kila wizara, kwa hakika hayakuwa ya kuvutia, ila baada ya mtandao wa barabara za lami katika mji huu kufikia hatua ya kukamilika, taswira ya huu mji sasa imebadilka na umeanza kuvutia. Hofu yangu sasa ni aina ya magorofa kwa kila wizara kwani ndio yataamua huu mji uonekane vipi.

Sijui wamepanga kujenga magorofa ya aina gani kwa kila wizara, ila binafsi naona itakuwa bora/itapendeza kama kila wizara itakuwa na ramani yake kuliko kuwa na majengo uniform kama ilivyo sasa kwa yale majengo yaliyopo kwa kila wizara.

Eneo la mji wa serikali ni kubwa mno na nitakuwa wa mwisho kuamini kama uniformity katika ujenzi wa magorofa katika eneo hili utavutia.

Kama majengo yatakuwa ya kuvutia, basi hata yakifanana mji mzima, inaweza isiwe tatizo sana, ila ikitokea hayavuti, na mji mzima yakawa ndio hayo, basi mji huu utakuwa umeharibiwa.

Pia ikiwezekana, wizara moja iwe ni gorofa tatu, nyingine nne na nyingine tano,n.k mradi tu kuwe na tofauti na hapo ndio tutweza kuwa na mji katika eneo hili.

Najua mpaka sasa michoro kwa kila wizara iko teyari, hivyo hakuna kitachobadilika ila hii haituzui kusema.

Mji kwa sasa unapendeza, ila ujenzi wa hayo magorofa ndio utaamua kila kitu hapo baadae juu ya muonekano mzima wa huu mji.

Msije mkatujengea mji wa serikali ukawa kama yale ya magorofa ya Jeshi yaliyoko jirani pale Ihumwa.

Michoro kama hii inapendeza machoni, ila inaweza kuku-deceive na utakuja kugundua when it comes to reality baada ya ujenzi kukamilika.

View attachment 1974440

View attachment 1974441
Wajenge majengo yenye architectural design ya kipekee sio mabweni,Tunataka Mji mkuu wenye hadhi ikiwemo barabara za maana .

Angalau kama Abuja
 
Ujenzi wa Tanzania siku zote unaishia kwenye kujenga boma, kuiweka milango na madirisha,sakafu,dari unaingizwa umeme.... Voila! Nyumba tayari.
Ujenzi wa barabara hivyo hivyo ... Kifusi, sambaza, shindiria weka lami mitaro isiyofunikwa ... Mji tayari.

Kisichoangaliwa ni mvuto wa jengo ..vis à vis mazingira na umaridadi yaani "estetique". Havizingatiwi kabisa. Rangi yoyote twende tu!. Jengo au mji utapendeza kama majengo yana unifomity fulani hivi, elevation inayozingatia tabianchi, Na zaidi sana kuwa na pavements zinazotenganisha jengo, barabara na bustani. ...Kwa kuwa mji unajengwa sasa wajenzi waachane na mazoea wajipange kujenga mji wa mfano.
Huo Mji bila kukazaniwa kuoteshwa miti na hayo majengo bila kuwa na landscape nzuri yenye maua na uoto zitakuwa hovyo kama ulivyosema.

Lazima kuwe na Publix garden za kutosha
 
Huo Mji bila kukazaniwa kuoteshwa miti na hayo majengo bila kuwa na landscape nzuri yenye maua na uoto zitakuwa hovyo kama ulivyosema.

Lazima kuwe na Publix garden za kutosha
Exactly!. Cha kushangaza hawa wanaopanga ujenzi wanapata fursa ya kutembelea nchi nyingine na kuona jinsi wengine walivyoipanga miji yao, lakini wakijenga huku utashangaa kilichojengwa kuwa cha hovyo kabisa.
 
Ni matumizi mabaya ya akili na fedha za umma kujenga mji wa serikali - makao makuu ya serikali na ofisi zote za Wizara na idara muhimu ukazilundika sehemu moja!
Huko tuendako tutakuja jutia haya maamuzi...
 
Back
Top Bottom