Aina ya mpira wanao cheza yanga hauvutii hata kidogo

Tulitolewa kwa kuwa River United walikuwa bora Zaidi uwanjani dhidi yetu. Simba hawakuwa bora Zaidi dhidi yetu.
 
unafahamu kuwa chelsea ni mabingwa wa ulaya? unafahamu pia mara ya mwsho kuchukua champions league walichukuaje? kila watu wana philosophy yao, Pepn alivyopeleka mpira wake bayern waliona anazingua tu ila baada ya kurudi kwe philosophy yao wametisha tena, usikariri kaka wala usijifariji pia mi km fan wa yanga nawashauri mfanyie kazi issue ya kiungo mshambuliaji pia washambuliaji waongeze juhudi maana ile balance iliokuwa inaletwa na konde boy haipo tena na kumlazimisha bwalya acheze km chama ni kazi bure mana chama c bwalya, kimsingi uwezo wenu wa kushambulia na kujilinda at the same ime umepungua sana mpeni mda coach atengeneze utaratibu mpya wa maisha mapema mfike tena robo fainali
 
Kwani team analysis inahitaji ucheze match ngapi,au wewe ndo yule kocha aliehitaji miezi 3 ili aweze kutengeneza chemistry ya team.
Utakuwa ni mpumbavu wa hali ya juu na usiyejua mpira kwa kuifanyia analysis timu kwa mechi tatu.tena kukiwa na rundo la wachezaji wapya Na kwanza nimeshakukosoa kuwa hizo analysis zako ni za uongo. Mechi ya Yanga vs river. Umiliki wa mpira umeongozwa na Yanga. Kwenye mechi ya simba vs Yanga umiliki wa mpira wamepishana kidogo tu kwa maana Yanga wamepiga pass 462 simba 467. Unasemaje hapo. Je unaweza kunipa ni mechi ipi ndani ya msimu Yanga walikuwa wamezidiwa kwa kiwango kikubwa. Njoo na takwimu. Sio una bwabwaja tu uharo hapa utafikiri mechi unaangalia peke yako
 
Yanga ilikuwa na ukata , hakuna pesa utalaumu Tu , wewe kama umetoa pesa nyingi na wachezaji wanalipwa vzr na makocha ndiyo uje kusema [emoji13]

Ungewekeza au umesahau wanachama walikuwa wanaichangia mikoani

Hebu Acha zako
 
wewe ni miongoni mwa mashabiki mnaotuchelewesha kwenda kwenye mfumo mpya.Mkipata matokeo match moja basi mnasahau shida zote mnazopitia shame on you,na wewe kama utakua sio shabiki wa arsenal sijui
Hoja yako haina mashiko. Kwa mawazo ya aina hii, haishangazi kuona miaka nenda hakuna hata timu ya ligi daraja la tatu huko Katavi kwenu.
 
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kocha wa Utopolo amesema baada ya miezi 3 ndio timu itakuwa imekamilika, kwani miezi 3 imetimia?

Sasa hivi wana kama mwezi 1 wanatisha, je ikifikisha miezi 3 si itakuwa hatari.

Nina wasiwasi uko baadae Boss Mo atatukimbia na mbaya zaidi sasa hivi Hans hayupo sijui tutaficha wapi sura zetu!
 
Pamoja na matokeo. Mchezo wa mpira wa miguu ni burudani. Kuna match moja nimeangalia, Mpaka nikaboreka.
 
Kwamba Yanga wabadili mfumo wao wa uchezaji ili wakufurahishe wewe? Huko kichwani kwako kuna akili kweli? Au umejaza sabuni za Mo?

Anyway, unateseka ukiwa wapi?
Kweli huyu jamaa kiazi.
 
Wenyewe wanakuambia wana timu nzuri sana na bora baada ya kuifunga simba
 
Kwamba Yanga wabadili mfumo wao wa uchezaji ili wakufurahishe wewe? Huko kichwani kwako kuna akili kweli? Au umejaza sabuni za Mo?

Anyway, unateseka ukiwa wapi?
tunataka wacheze vizuri wapate ushindi wapiye hata round ya kwanza CAF champion league
 
Yanga kelele nyingi sana
 
wasiwasi wako ulikuwa sahihi bosi kashakimbia.
 
Pamoja na matokeo. Mchezo wa mpira wa miguu ni burudani. Kuna match moja nimeangalia, Mpaka nikaboreka.
wanao nishambulia wote ni mashabiki maandazi na mpira wameanza kuufatilia juzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…