Aina ya mpira wanao cheza yanga hauvutii hata kidogo

Huyu nae sijui wa wapi huyu...!!! hawa ndo walokuja mjini na mbio za Mwenge
 
loading..
 
Una kamasi kichwani sio ubongo huo ...
 
Wote tuwape mda bado mapema sana tuiache mvua iendelee kunyesha ili tuweze kuona panapovuja aiseeeee ila yanga wakk slow sana second half wanakata upepo hawana kiungo mbunifu viungo wao wengi ni box to box mido ndo maana wakikutana na mido za team pinzani znazojua kucheza kwa kuacha shimo wanahangaika sana kama leo wameonekana wana viungo ambao ni box to box sana ambao hawawez kucheza widely
 
Watema mate mtakuwa wengi sana msimu huu
 
Watema mate mtakuwa wengi sana msimu huu
Kidogo saiv mpira tunaanza kuuona sio zile vurugu tulizokua tunashuhudia kwa msimu ulioisha,team hata kupiga pasi 2 haiwezi halafu eti inataka ubingwa hopeless kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…