Aina za Limbwata Wanawake wanazotumia kutushika, je we umepewa mojawapo hapa. Ni uchafu mtupu

Unaweza ukanawa na maji kila sehemu na ukajisugua na steel wire kumbe usiku umetoka kufirana ...sawa na bure.
Kuwa msafi wa roho si nje tu
 
Nimependa ushauri huu
 
Kwa sisi wanaume tunaorudi usiku wa manane tumepakia safari, balimi na konyagi hatujali hiyo limbwata. Chai iliyochujwa na chupi ni kama marudio tu. Nakusihi ndugu shinda baa, acha uoga
 
Wewe inaonesha tayari hujasikia waliowekewa huwa wabishi na huweza hata kurusha ngumi wakiambiwa😀😀😀😀😀😀😀
 
Kuna huyu mamantilie yaani supu yake hata nipikiwe nyumbani lazima nikaifuate tu. Yatakua Maji ya k jamani.
 
Mwisho wa siku ilikuwaje? Bado anateseka?
 
Naunga mkonyo hoja. Kuna jamaa anawanyoosha sana kupitia hizi mambo. Hasa mademu wenye tamaa za ukwasi.
 
Nimeipenda namba sita 6 , unakuwa kama wale wa mwezi mchanga vile. Upepo ukivuma wamejaa walete hao.
 
Kuna mama alienda akachukua limbwata la kuweka kwenye mboga ili amlishe mume wake.
Alipomaliza kuandaa akaweka chungu chake cha mboga vizuri.Sasa kule kijijini enzi zile maji tulichota mbali kidogo akakimbia kisimani kuteka maji nao mbwa wa bush wawindaji kaingia jikoni kafunua chungu kala nyama yote.Kabla hajarudi mbwa katoka zake.

Yule mama kila alikoenda alifuatwa na mbwa hata awe anaenda msibani kijiji jirani yupo na mbwa ikawa kero mpaka ilipokuja kugundulika kuwa limbwata la mme alikula mbwa.
Hizi dawa zinapendwa mno na wanawake ili kuwashika wanaume lakini ukibughi waweza kulia milele.
 
Zipo nyingi umeiacha ya jina la mama yako.
Mwanaume unanuizwa kwa jina la mama yako kwa kutumia dawa husika hakika huchomoki.
 
Siku hizi kuna kichupa 20,000 tu hakuna kwenda kwa mganga huu mwaka wenu wanaume.
 
Shuba
Shubamiti
 
Kilanga komoo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…