Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Wakina nani haoWajinga ndiyo waliwao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakina nani haoWajinga ndiyo waliwao.
Tofauti ni kwamba hao wanatumia Hicho kitabu kufanyia uchawi, na tofautisha kati ya wachawi na matapeliWapo wengi wanajiita wachungaji lakini kama ujuavyo, wanatumia "title" kudanganya na kuvutia wale "wajinga ndiyo waliwao".
Wee acha umbumbu..nina ushahid wa jamaa kafanywa zuzu na mcha mungu..unaongea nn wwKamwe nuru na giza havipatani, hayo malimbwata huwapata wasiotokana na Mungu kiimani lakini waliofunuliwa ukuu wa Mungu hata ujihangaishe vipi bado tu watasimama imara na kutoweweseka na limbwata zaidi ya kupoteza muda wako bure.
Mm nilishatengenezwa kitambooooo..hata afanye nn atakuwa atashangaa dume sibadiliki, lawama anazirudisha kwa mganga wake *****Wanaume tuna mitihani Sana, ila mimi limbwata haliwezi kushika
Mlete huyo Jamaa kwangu mimi nimkabidhi kwa Yesu ili uje ufungue ushahidi jinsi gani Mungu ana uwezo mkubwa kuliko Mwanadamu anayekufanyia mazingaombwe [emoji28]Wee acha umbumbu..nina ushahid wa jamaa kafanywa zuzu na mcha mungu..unaongea nn ww
Mwanaume aliyewekewa lipwata anapooza sana. Akitoka kazini anawahi nyumbani anajaa sitting room
Unaijuwa Qur'an? Umeshawahi kuisoma?Tofauti ni kwamba hao wanatumia Hicho kitabu kufanyia uchawi, na tofautisha kati ya wachawi na matapeli
Hawa wanatumia bible kufanya utapeli na wale wanatunia quran kufanya uchawi
Si kama wewe. Hujioni hoja zako humu.Wakina nani hao
Kwamba umejinyea wewe mbibi au?Si kama wewe. Hujioni hoja zako humu.
Umejinyia, unasikia harufu halafu unauliza kajamba nani?
Nimeisoma na ninayoUnaijuwa Qur'an? Umeshawahi kuisoma?
Au umedanganywa ukadanganyika?
Kumbe mapunguani mpo wengi.
Tatizo mnadanganyana sijui kama huna hudhu sijui au sio muislam basi ukishika quran unaungua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaijuwa Qur'an? Umeshawahi kuisoma?
Au umedanganywa ukadanganyika?
Kumbe mapunguani mpo wengi.
Wajinga ndiyo waliwao. Kwani udhu ni shida? N8 usafi tu wa mwili wako.Tatizo mnadanganyana sijui kama huna hudhu sijui au sio muislam basi ukishika quran unaungua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Upuuzi mtupu
asiihushe kabsa imeandikwa na mama akoHilo namba 4 la kisomo, hujasema ni kisomo kipi.
Ole wako uihusishe Qur'an na huo uchawi wa kishenzi.
Yote Tisa limbwata mauno yako tu.
Hilo namba 4 la kisomo, hujasema ni kisomo kipi.
Ole wako uihusishe Qur'an na huo uchawi wa kishenzi.
Mwanaume aliyewekewa lipwata anapooza sana. Akitoka kazini anawahi nyumbani anajaa sitting room