Aina za Limbwata Wanawake wanazotumia kutushika, je we umepewa mojawapo hapa. Ni uchafu mtupu

Aina za Limbwata Wanawake wanazotumia kutushika, je we umepewa mojawapo hapa. Ni uchafu mtupu

Kamwe nuru na giza havipatani, hayo malimbwata huwapata wasiotokana na Mungu kiimani lakini waliofunuliwa ukuu wa Mungu hata ujihangaishe vipi bado tu watasimama imara na kutoweweseka na limbwata zaidi ya kupoteza muda wako bure.
Wee acha umbumbu..nina ushahid wa jamaa kafanywa zuzu na mcha mungu..unaongea nn ww
 
Tofauti ni kwamba hao wanatumia Hicho kitabu kufanyia uchawi, na tofautisha kati ya wachawi na matapeli
Hawa wanatumia bible kufanya utapeli na wale wanatunia quran kufanya uchawi
Unaijuwa Qur'an? Umeshawahi kuisoma?

Au umedanganywa ukadanganyika?

Kumbe mapunguani mpo wengi.
 
Tatizo mnadanganyana sijui kama huna hudhu sijui au sio muislam basi ukishika quran unaungua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Upuuzi mtupu
Wajinga ndiyo waliwao. Kwani udhu ni shida? N8 usafi tu wa mwili wako.

Usiwe umekunya bila kuchamba, uwe umekoga msafi na usijambe.

Qur'an ni mafundisho ya Allah lazima uyaheshimu.

Vitabu vya kichawi na visivyo na hadhi ndivyo unashika bila kuwa msafi.
 
Back
Top Bottom