Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,395
- 25,049
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haha ! Umeua aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haha ! Umeua aisee
Ndio maana bashite ametumwa misriHao waganga kwa nini wasitusaidie kwenye mambo ya msingi kama taifa, Madini tunapigwa , Starz inapigwa nao wapo tu wanatufanya mazezeta kwa wake zetu. Manina
Hii ni hatari sana. Acha kabisaYote Tisa limbwata mauno yako tu.
Sijui kwa nini hawalioni hili.Wanaume wa cku hizi ukitaka utumie Limbwata la bei rahis kututeka ni kuacha kutuomba hela tu.
Nguvu ikiisha wanaenda ku boost upya. Inakuwa mfumo wa maisha.Kila kitu kina mwanzo na mwisho, mtu kama hakupendi ni hakupendi tuu!
Limbwata likiisha mwanaume ananza vituko!
Tujikubali na kujiamini!
Tanzania hakuna waganga wala uchawi, ungekuwepo taifa stars yetu ingebaki kileleni, mawinguni juu kabisa.
Hizi mbinu zote zikielekezwa misri lazima turudi na kombe.
Hayo mambo yapo...mi nilishafanyiwa ya shahawa na maji,walifeli..mnyamwezi mie sipatikani kwa limbwataAnayekuwekea hilo limbwata ni mkeo au mchepuko?kama ni mke ni vigumu kufanikiwa kwani ndoa imebarikiwa na Mungu mwenyewe labda uaminifu usiwepo.
Upo uchawi wa kuendeleza Umaskini na mafanikio feki.Tanzania hakuna waganga wala uchawi, ungekuwepo taifa stars yetu ingebaki kileleni, mawinguni juu kabisa.
Hizi mbinu zote zikielekezwa misri lazima turudi na kombe.
HahahahahaHayo mambo yapo...mi nilishafanyiwa ya shahawa na maji,walifeli..mnyamwezi mie sipatikani kwa limbwata
Haaa bado bwana. Ukiwekewa hujui kma umewekewa. Ukiona bado unafikiria Jambo Hilo badoDah. Mimi nilivyo sasa.
Sasa sijui nimewekewa hilo limbwata
Fu..cknMwanaume aliyewekewa lipwata anapooza sana. Akitoka kazini anawahi nyumbani anajaa sitting room
Wapo wengi wanajiita wachungaji lakini kama ujuavyo, wanatumia "title" kudanganya na kuvutia wale "wajinga ndiyo waliwao".Bado kuna mwingine anajiita Shekhe Majini pale Mabibo ni mchawi balaa na yeye anasema anamiliki majini kama 100
Wajinga ndiyo waliwao.Shekhe Yahaya alikuwa mchawi mkubwa tu na bado anaongoza swala pale Magomeni
Wajinga ndiyo waliwao.Mbona huku wanatumia Quran kufanya kisomo