Aina za Limbwata Wanawake wanazotumia kutushika, je we umepewa mojawapo hapa. Ni uchafu mtupu

Aina za Limbwata Wanawake wanazotumia kutushika, je we umepewa mojawapo hapa. Ni uchafu mtupu

Mambo ya mwanaume anakaa tu home kazi ya kusema ndio mke wangu mie siyataki... Raha ya mwanaume anishughulishe, achelewe kurudi home tugombane kidogo tuombane msamaha... Nigundue walau ana ka mchepuko ka kunikasirisha tuvurugane weee sio jitu lina kazi ya kusema I love you my wife kajaa sebuleni mapemaaaa... Hapana mie limbwata simwekei mtu sitaki
Hiki ulichokiandika ni aina nyingine ya Limbwata!
 
Si kila kisomo kinatokana na Qur'an. Kuna vitabu nje ya Qur'an, vingi sana, vimeandikwa kwa Kiarabu. Ndiyo maana nikasema msihusishe Qur'an na uchawi wenu wa kishenzi.

Qur'an ni shifaa.
"Si kila kisomo kinatokana na Qur'an"

Unamaanisha kuna baadhi vinatokana na Qur'an?
 
Wanaume tumeumbwa mateso, mateso kuhangaika.

Hatari sana, sijui tutaponea wapi?

Mapadri hapa ndiyo wako salama tu.
 
Hilo namba 4 la kisomo, hujasema ni kisomo kipi.

Ole wako uihusishe Qur'an na huo uchawi wa kishenzi.
Kama unavyosema hakitajwa kisomo lakin ww ushakimbilia kujishuku kama UNAOGA NJE.au ni kwel???
 
Kwa mama ntilie ni vile tu wanakuwa wanashindana wao kuvutia wateja... Ila uchafu tunatafunaaa hasa.

Kuna mseng mmoja mfanyabiashara wa nyama ya ngombe... Kabla ya kuichinja anaiingilia...anakojoaa humohumo...

Ikifika buchani saa sita hamna kitu mamaee...
Hahahaaaa. Mkuu hii balaaa
 
Ahhh mtu anakuwa kama Zezeta, kuna ambaye aliwahi kunifanyia ili kila akiniomba pesa kwa msisitozo eti nimpe halafu sasa anakuwa sio mke ni demu tu. kila akipiga yeye ni hela tu hana lingine nikasema hapa sio bure kuna kitu sikuwahi kumpa hadi leo, nikabaini kuwa huwa wanafanya vitu kwa kujiamini mganga atakuwa alimwaminisha kuwa tayari we nenda ukamwambie chochote unachotaka atakupa ahah, nikiwa kwangu napokea simu naambiwa mambo ya hela napuuzia tu

Mwingine akinambia hela ya matumizi imeisha au kodi ya nyumba imeisha au anahitaji pesa kwa ya kitu flan yani najisikia nakosa amani sina raha hata ukinipa chakula sili mpaka niwe nimetuma iyo hela, nakosa raha kabisa duh, badae nikajitambua alivyorudia kuomba hela nikasema huyu basi anajua lazima zitoke leo namkomalia ahaha, livyo sisitiza nikamwambia dawa imechuja alitukana matusi yoooooooooooote
Hahahaaaa mkuu kama namuona alivyokuwa amefura kwa hasira baada ya kuambiwa dawa imechuja.
 
Natamani huu uzi ufutwe kabisa maana ni kama tunatoa siri za kambi.

Enewei potelea mbali uchawi hauendi kwa mentali.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Kuna mseng mmoja mfanyabiashara wa nyama ya ngombe... Kabla ya kuichinja anaiingilia...anakojoaa humohumo...

Ikifika buchani saa sita hamna kitu mamaee...
[/QUOTE] balaaa jomba!!!
 
Sijui nitumie ipi kati ya hizo!!au sijui nitumie zote
 
Dalili za aliyelishwa limbwata huonwa na ndugu au marafiki lakini mhusika hata ukimwambia hakuelewi.

Utasikia eti baby "wanasema umenipa limbwata!!!. Mimi naona wananionea wivu tu, mapenzi kusaidiana au sio mke wangu? Mimi nakusaidia kupika, kufua, kufagia na kudeki, kuosha vyombo n.k kwani wao kinawauma nini?.

Ndugu zangu na marafiki sitaki kuwasikia kabisa wao ndio wanataka kunitenganisha na mtu nikupendae, wanafiki wakubwa".
Uko sahihi kabisa..

Mimi bro wangu alifanyiwa hiyo ya nyama, aliteseka sana. Kwanza aliichukia kazi akawa hataki kwenda kazini anataka abaki na mkewe nyumbani. Akiwa nyumbani anazima simu kabisa hapatikani hata siku tatu. Kazini haendi kazi yake kukaa nyumbani.

Mke sasa ndo anakuwa mume, yeye kutwa kiguu na njia na asiulizwe unaenda wapi. Bro anabaki kuhudumia watoto, awapikie, awaogeshe afue nguo, asafishe nyumba...

Siku akienda kazini akirudi msosi hakuna anaambiwa "nimechoka kupika kama vp kapike mwenyewe" hapo hela ameacha asbh. Bas bro anakuwa mpole tu anaenda kununua viepe alalie. Sina hakika kama unyumba alikuwa anapewa aisee.

Na siku zote ukimwambia umelogwa wewe basi atakufukuza kwake kama mbwa. Usiombe ndg yako afanyiwe hii kitu aisee
 
Back
Top Bottom