FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Si kila kisomo kinatokana na Qur'an. Kuna vitabu nje ya Qur'an, vingi sana, vimeandikwa kwa Kiarabu. Ndiyo maana nikasema msihusishe Qur'an na uchawi wenu wa kishenzi.Kwani kisomo kinatokana na biblia siyo??
Hujaona yale matangazo ya kumrudisha mme,mvuto nk yanayobandikwa na Sheikh Sharrifa wa Zanzibar??..
Qur'an ni shifaa.