britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
- Thread starter
- #81
ndo ma
ndo maana waha wakichinja ng'ombe zinakuwa na mafuta meupe meupe nyumaKwa mama ntilie ni vile tu wanakuwa wanashindana wao kuvutia wateja... Ila uchafu tunatafunaaa hasa.
Kuna mseng mmoja mfanyabiashara wa nyama ya ngombe... Kabla ya kuichinja anaiingilia...anakojoaa humohumo...
Ikifika buchani saa sita hamna kitu mamaee...