Aina za Limbwata Wanawake wanazotumia kutushika, je we umepewa mojawapo hapa. Ni uchafu mtupu

Aina za Limbwata Wanawake wanazotumia kutushika, je we umepewa mojawapo hapa. Ni uchafu mtupu

ndo ma
Kwa mama ntilie ni vile tu wanakuwa wanashindana wao kuvutia wateja... Ila uchafu tunatafunaaa hasa.

Kuna mseng mmoja mfanyabiashara wa nyama ya ngombe... Kabla ya kuichinja anaiingilia...anakojoaa humohumo...

Ikifika buchani saa sita hamna kitu mamaee...
ndo maana waha wakichinja ng'ombe zinakuwa na mafuta meupe meupe nyuma
 
Mwanaume aliyewekewa lipwata anapooza sana. Akitoka kazini anawahi nyumbani anajaa sitting room
Maswala ya limbwata ni uzushi tu! Kama ingekuwa ni sahihi mbona wanaonyonya k wanachepuka kwa wengine? Basi wa galikuwa mazezeta
 
Siku amabayo siendi kazini huwa ni kujifungia ndani, nahisi nimeshatengenezwa
 
Mwanaume aliyewekewa lipwata anapooza sana. Akitoka kazini anawahi nyumbani anajaa sitting room
Ahhh mtu anakuwa kama Zezeta, kuna ambaye aliwahi kunifanyia ili kila akiniomba pesa kwa msisitozo eti nimpe halafu sasa anakuwa sio mke ni demu tu. kila akipiga yeye ni hela tu hana lingine nikasema hapa sio bure kuna kitu sikuwahi kumpa hadi leo, nikabaini kuwa huwa wanafanya vitu kwa kujiamini mganga atakuwa alimwaminisha kuwa tayari we nenda ukamwambie chochote unachotaka atakupa ahah, nikiwa kwangu napokea simu naambiwa mambo ya hela napuuzia tu

Mwingine akinambia hela ya matumizi imeisha au kodi ya nyumba imeisha au anahitaji pesa kwa ya kitu flan yani najisikia nakosa amani sina raha hata ukinipa chakula sili mpaka niwe nimetuma iyo hela, nakosa raha kabisa duh, badae nikajitambua alivyorudia kuomba hela nikasema huyu basi anajua lazima zitoke leo namkomalia ahaha, livyo sisitiza nikamwambia dawa imechuja alitukana matusi yoooooooooooote
 
Kwa staili hii maombi muhimu duuuh
tapatalk_1561637377472.jpeg
 
Bado kuna mwingine anajiita Shekhe Majini pale Mabibo ni mchawi balaa na yeye anasema anamiliki majini kama 100
Kama uliwangiwa basi hao ni washenzi wenzio walio kuwangia. Muislam kujihusisha na mambo ya kichawi ni haram.
 
Back
Top Bottom