Aina za Limbwata Wanawake wanazotumia kutushika, je we umepewa mojawapo hapa. Ni uchafu mtupu

Aina za Limbwata Wanawake wanazotumia kutushika, je we umepewa mojawapo hapa. Ni uchafu mtupu

kinga yake iko vp dhidi ya kinyama"kimshkaki" na iyo ya shahawa???.

Aliyewekewa limbwata hata ukimwambia kuhusu limbwata alilowekewa anakuwa mbish mno,anakataa katakata na tena anaweza rusha ata ngumi...je, ni kweli ktk hili???
Haha
 
Kamwe nuru na giza havipatani, hayo malimbwata huwapata wasiotokana na Mungu kiimani lakini waliofunuliwa ukuu wa Mungu hata ujihangaishe vipi bado tu watasimama imara na kutoweweseka na limbwata zaidi ya kupoteza muda wako bure.
Mbaya zaidi hata wao uomba Mungu. Jaribu kuangalia wanaumeume wengi waliookoka hapo kuna vingi utajiuliza bila majibu. Siyo wote lakini vitu vinafanyanyika kwenye makanisa ya kilokole sijawahi kuwa na imani nayo.
 
Mbaya zaidi hata wao uomba Mungu. Jaribu kuangalia wanaumeume wengi waliookoka hapo kuna vingi utajiuliza bila majibu. Siyo wote lakini vitu vinafanyanyika kwenye makanisa ya kilokole sijawahi kuwa na imani nayo.
Hivyo vitu hucheza na fikra na hofu juu ya wajinga wanoamini amini uchawi una nguvu kuliko Mungu Muumba wa viumbe vyote.

Ukiwa na hofu ktk jatibu/changamoto yoyote ile na ukakosa uvumilivu ni lazima uangukie ktk mitego ya shetani.

Kikubwa hasa ni kutohusisha fikra zako kabisa na habari za kishirikina hata urogwe vipi we amini tu huko kurogwa kwako kutakuwa na mwisho wake na aliyekupatia pumzi ndiye mwenye mamlaka ya kuruhusu uondokwe na uhai lakini vinginevyo utadhoofika kipindi cha majaribu tu na utarudi ktk hali ya kawaida kiafya, kiakili, kimwili na kiroho/kiimani.

NB: HAKUNA KISICHOWEZEKANA KWA MUNGU LAKINI JARIBU HUWA CHACHU KWETU BINADAMU KUTUWEKA IMARA KIIMANI.
 
Hivyo vitu hucheza na fikra na hofu juu ya wajinga wanoamini amini uchawi una nguvu kuliko Mungu Muumba wa viumbe vyote.

Ukiwa na hofu ktk jatibu/changamoto yoyote ile na ukakosa uvumilivu ni lazima uangukie ktk mitego ya shetani.

Kikubwa hasa ni kutohusisha fikra zako kabisa na habari za kishirikina hata urogwe vipi we amini tu huko kurogwa kwako kutakuwa na mwisho wake na aliyekupatia pumzi ndiye mwenye mamlaka ya kuruhusu uondokwe na uhai lakini vinginevyo utadhoofika kipindi cha majaribu tu na utarudi ktk hali ya kawaida kiafya, kiakili, kimwili na kiroho/kiimani.

NB: HAKUNA KISICHOWEZEKANA KWA MUNGU LAKINI JARIBU HUWA CHACHU KWETU BINADAMU KUTUWEKA IMARA KIIMANI.
Nakubaliana na wewe mkuu
 
Daah nakula kwa mama ntilie
Michepuko kama yote sijui nitakuwa nimelishwa madawa kiasi gani.
Naamini peponi tutakuwa wanaume peke yetu sio kwa huu unyama wanaotufanyia
"" 🎶 wanaume tumeumbwa mateso ,mateso kuhangaika"" 🎶
 
Back
Top Bottom