Aina za ma Ex

Duh pole mkuu. Ulimsomesha na ameshasogea sema mda mwengine wanawake ndo hivyo tena tunaonaga ni kama vile mnatunyima tu. Sijawahi ku experience u single mother wala siutamani ila mwenzio anadhani unazo na unamnyima. Hasa kama umeoa na una watoto anaona mbona wa kwako hawakwami. Mtayamaliza tu
 
Afu nimegundua kitu. Maex ambao hamjapeana wala haiumi jamani. Mi ndo maana sina maumivu..najionea fresh tu. Aliyeniacha abarikiwe, niliyemuacha pole sana. (Najua msomaji utajiuliza kichwani..eeh ivo ivo ulichoelewa)
 
Huyu ni mimi kabisa, good enough sometimes hata tunaweza piga story kidogo kiroho safi kabisa.

Sijawahi achana na mtoto kwa kugombana ila wote hujikuta tu time imeamua kutupa utofauti then we break.
 
Afu nimegundua kitu. Maex ambao hamjapeana wala haiumi jamani. Mi ndo maana sina maumivu..najionea fresh tu. Aliyeniacha abarikiwe, niliyemuacha pole sana. (Najua msomaji utajiuliza kichwani..eeh ivo ivo ulichoelewa)
Eeh haviumi. Ila kama alikunyanduaaa ndo unatamani hata ukamkabe kwanza ndo muachane. Si ndo maana na jeuri ya kuruka unakua nayo.
 
Dah ndo nn kubania hivo na hela umekulaa? umetukosea sana mabaharia.. ungemuonjesha pengine ungekua na apartment palm village sahii 😀
 
Ma eksi ninaokumbuka ni wale niliowapanshow nzr tu.

Wa show dhaifu wote si
Afu nimegundua kitu. Maex ambao hamjapeana wala haiumi jamani. Mi ndo maana sina maumivu..najionea fresh tu. Aliyeniacha abarikiwe, niliyemuacha pole sana. (Najua msomaji utajiuliza kichwani..eeh ivo ivo ulichoelewa)
Kama niliosha rungu kwenye mshono wako Wala siumii, tatizo nikikukosa nitateseka. Nitaumwa
 
Kuna maEx wazazi wenza wengine ni wa kuwapiga tuu block haina namna. Kila mtu kaendelea na maisha yake sijui anataka ubaki pale pale kimaisha usisonge mbele.

Roho mbaya na wivu ndio vinatawala, unakuta alishamove on na maisha yake tena kabla yako mambo yake hayajaenda vizuri huko.

Wewe kumove on anahisi unafaidi sana hela yake anayoituma kutunzia mtoto wake mwenyewe wakati ni ya kawaida sana haitoshi hata kununua mchele. Ni kupiga block tuu na kuendelea na maisha bila kutaka hata cent yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sometimes naona ili mtoto asome au mwanaume aweze kusomesha vizuri..labda amchukue... akimuona karibu moyo utajaa huruma, ama pia kama vipi ampeleke kwa wazazi wake. Mwanaume kama ulishazaa na mtu na umeoa mwanamke mwingine lazima huku kunakua na majukumu mengi sana.

Sasa ili kurahisisha ndugu, ongea na mkeo mapema sana kwamba bwana mi nitakuja kumchukua mtoto nimlee mwenyewe na naomba uridhie hili. Yaani hii ni ili kurahisisha malezi ya huyu mtoto. Na itabidi mama yake mzazi akubali hasa kama kafika miaka 6. Maana kuna muda wanaume mnakwama sasa kupeleka hela sehemu mbili si rahisi, ni heri mkae na mtoto...hapa ndo pa kusali upate mwanamke anaeweza kulibeba hili suala kwa uzito yani kwa moyo mmoja kabisa.

Na mwanamke huyu itakua nzuri kama nae akiwa single mother(sipend hili jina). Maana ndie atakaeelewa your point. Lakin hata akiwepo ambae sio..kama Mungu kakuchagulia atakuelewa tu. Kuna kizungumkuti dunia ya sasa jamani doh...
 
Na mtoto kwenda kulelewa na bibi inauma. Yani hadi saizi dunia haijajua jinsi ya ku deal na hili swala la wazazi kuachana. Labda siku waandae kipindi wakutane sample za single parents wa kike na kiume waseme kwa waliofanikiwa waliwezaje ku sort. Naonaga kama ndo chanzo hata cha watoto kuharibikiwa. Mtoto anakua na msongo wa mawazo anayobebeshwa na mzazi mmoja
 
Utaunguzane picha nasubiri siku hiyo ya kubeba, mafuta lotion, condom, camera man, kituo kimoja Cha TV, siku hizi tv za YouTube pia zipo. Na begi la kubebea Dola. Atachagua ajaze pesa kwenye begi niondoke au apigwe miti ya nyuma mamamae zake yule
Akinaswa atakoma mineno tu kama bastola je akidakwa. Akishindwa kujaza midolari wakati mkimlotion mwekeeni wimbo wa defao ili akatikege vizuri.

SALANOKI
 
Dada sikujui my dear lakin am sorry kama nitakukwaza. Hii sio hekima kabisa. Nikwambie kitu...wewe ni mzazi. Haibadiliki. Kama mlishakosana wewe na aliekuwa mwenzi wako ni nyinyi wawili..lakin kuna kiumbe cha Mungu mnatakiwa mkilee.

Kupigana block haibadilishi kuwa kuna DNA ya baba wa mtoto kwa mtoto. Ukiona mwenzio kapungukiwa unaloweza kufanya ni kumuombea na wewe kufanya mambo yako kama mama wa mtoto. Sijajua wewe ni dini gani.. lakini katika dini yangu msingi wa dini ni upendo and too bad wengi wetu hatunao.

Upendo haujivuni, hauhesabu mabaya, haukosi kuwa na adabu, hauwazi yaliyo ya kwake. Ukiwa na huu upendo hata mtu akukosee vipi, hutamuwazia mabaya. It doesn't change..he is your kid's father mamy.

Naongea ivi from experience..ya ndani..personal kabisa. Nimeishi na mtu aliekuwa amebeba resentment for years juu ya baby daddy wake, tangia abebe hiyo resentment alipatwa na ugonjwa flani. Na mpaka alipokuja kumsamehe yule mwanaume ndipo na ule ugonjwa umepona.

Fanya kazi, sali sijui swali sana, tafuta maarifa, ufahamu, hekima katika vitabu vya dini kwa namna ya co-parenting, na pia kuwa na mipaka baina yenu. But dont bear grudge...kama nitakuwa nimekukwaza please am sorry madam.
 
Unaendelea kuwasiliana na ex ili ugundue nini? mkiachana kila mtu ashike njia yake,ex anaweza kua adui kwako na akakufanyia kitu kibaya sana katika maisha yako,kwangu mimi ex hua hana thamani wala hana nafasi tena kwangu.
 
Kweli dada..point hii. Kuna bomu linatengenezwa hapa ahemmm.
 
Ni ushamba na roho ya kutu, kwan si anahudumia damu yake au anahudumia paka?
 
Sometimes baby mama anamtumia mtoto kukunyanyasa tu me naipitia hii pia kakataa kunipa nikae nae alaf cha ajabu amemuweka kwa ndugu zake na tuko mikoa tofauti, nataman leo kesho nikuze watoto wasitofautishe mama ila ndo hivo huyo wa kwanza wamemng'ang'ania kwa kisirani mzazi bado hajakubali tushamalizana
 
Akinaswa atakoma mineno tu kama bastola je akidakwa.Akishindwa kujaza midolari wakati mkimlotion mwekeeni wimbo wa defao ili akatikege vizuri.SALANOKI
Huo ukatili 😂.. ila ndo dawa yao wanaokula wake za watu nyambaff!
 
Inahitaji imani ya kipekee kuna wazaz wenza vichomi aisee... but i like the way u make yo resolutions
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…