Livingson1
Member
- Jul 13, 2021
- 30
- 26
- Thread starter
- #21
Thanks for understandingJamaa ametoa ushauro mzuri. Cha muhimu hapa ni mhusika kujiongeza baada ya kupata mtaji kupitia ufugaji, auweke kwenye more liquid assets.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks for understandingJamaa ametoa ushauro mzuri. Cha muhimu hapa ni mhusika kujiongeza baada ya kupata mtaji kupitia ufugaji, auweke kwenye more liquid assets.
Yah kwasababu watakuwa wanauza ujuzi wao kujipatia kipatoSamahani mkuu nje ya mada kidogo naomba kuuliza, hivi mtu alie Fundi mfano welding, Carpenter, mechanical, Mason, nk. Wanaweza kufanya ufundi wao Kama biashara?
Sent using Jamii Forums mobile app
ASANTE kwa kuongezeaHapana nakupinga mkuu CONTROLA.
Kuna binti anafuga kuku wa nyama lakini ilifika wakati akakata tamaa kwawababu ya bei ndogo sokoni(kwa walanguzi).akapata wazo la kununua freezer kubwa ya kugandisha,kuku wakikua anachinja wote anatunza kwenye freezer anatoa kuku kwenye freezer anakaanga na anauza mwenyewe kidogo kidogo,wakati huo bandani anavifaranga wapya wanakua,mpaka akawa maarufu kiasi mpaka akawa anapokea oder kubwa ya nyama za kuku kwenye sherehe n,k.
Kumbuka kunamsemo usemao safari moja huanzisha nyingine,kikubwa kuwa mbunifu mambo mengine yanajiseti yenyewe kama ukiwa mbinifu kama ulivyo wewe CONTROLA
Mfano wanaweza kuchora ramani na kuziuza, kutengeneza thamani na kuziuza na wanaweza kutumia ujuzi wao kufanya kazi na kupata pesa piaYah kwasababu watakuwa wanauza ujuzi wao kujipatia kipato
Umewasahau na watutsi, Wa tigray wa Ethiopia Mana hao ndo mfalme yule alimtembelea Suleiman akatiwa mimba ndo kizazi Chao,wapo wakikuyu, Wahausa ,Wa Igbo, wamashona kabila la Mugabe,.Ukiona biashara hafanyi mo,bakharesa, au wahindi,au waarabu au wachaga, au wakinga.......achana nazo hazina faida.....wapi umeona wachaga wanafuga sungura au kuku,wapi umeona wahindi wanauza mkojo WA sungura.....mwenye akili amenielewaaaa
Kuna sehemu ya kuongeza hapo kwenye comment kwa faida ya watu wengineWewe ulichoandika ni faida ya hizo bidhaa kwa matumizi ya binadamu na sio namna hizo bidhaa zinavyoweza kumpatia faida kifedha mjasiriamali
Kijiji nimesahau hichoUmewasahau na watutsi, Wa tigray wa Ethiopia Mana hao ndo mfalme yule alimtembelea Suleiman akatiwa mimba ndo kizazi Chao,wapo wakikuyu, Wahausa ,Wa Igbo, wamashona kabila la Mugabe,.
Usilete sampo ndogo mkuu.
Pia Ile Koo ya jamaa wa magari ya Tata ya wahindi,
Kuna wa welish ama wa Scottish pia Kuna wale waroma wa Italy sijui wanatokea jiji gani ivi.
Hebu nikumbushe
Dili no kufuga kobra Mana sumu yake Bei kubwa Sana kwa Lita moja ama 100ml wewe ni bilioneaHahaha hapo kwenye mkojo wa sungura tumepigwaaaa!
Hiyo unaiuza wapi mkuu na unawapata wapi hao cobra man!?Dili no kufuga kobra Mana sumu yake Bei kubwa Sana kwa Lita moja ama 100ml wewe ni bilionea
Futa andika tena comment yako mkuu uajiriwe wapi upate pesa ya kila siku au ulimaanisha kila mwezi? Mtu anayelipwa kila siku hajaajiliwa ni part time kwa lugha ya kizaramo ni kibaruaSasa kama unataka pesa za kila siku inabidi uajirwe
"Biashara zote ni nzuri na zinalipa ukiwa unasimliwa"....MwanaFA-Mhezanian1. ufugaji wa kuku. Ufugaji wa kuku wa kienyeji ama kuku wa kisasa. Faida zake zinatokana na uuzaji wa mayai, nyama ya kuku, kuku wenyewe, vifaranga, mbolea n.k
_ Ndege wengine wenye faida kama za kuku ni kanga, bata wa aina tofauti, njiwa, kware n.k
2. Ufugaji wa mbuzi. Mbuzi faida zake zinakuja kwenye nyama, maziwa, mbolea,pembe na kwato huzalisha gundi,
_pia unaweza fuga kondoo ama ngombe
3. Ufugaji wa sungura. Faida za sungura hazitofautiani na faida za mbuzi lakini sungura huzaa watoto wengi na ni rahisi kumfuga kwenye eneo dogo
_Mkojo wa sungura ni mzuri sana kwa mbolea
4. Ufugaji wa ngurue. Hii ndio biashara inayochipukia kwa sasa. Pia ngurue huzaa watoto wengi kwa mpigo, faida zake nyingine ni kama zile za mbuzi
5. Ufugaji wa nyuki. Ufugaji wa nyuki ni mrahisi tu ukiwa na eneo la kutosha faida za nyuki ni asali hii hutumika kama kiungo kwenye vyakula lakini pia hutumika kama dawa na hata kuoshea vidonda kwa watu wenye ugonjwa wa sukari, uchavushaji ni faida nyingine kubwa ya nyuki, masega ya nyuki hutumika kutengenezea mishumaa
6. Ufugaji wa samaki. Samaki wana source kubwa ya protein ambayo hutumika kwa ukuaji, mafuta ya samaki pia watu wanasema ni dawa, lakini pia kipato kutokana na samaki, kuna samaki wa mapambo pia
7 ufugaji wa mbwa. Kufuga mbwa kama biashara tutajipatia kipato lakini pia mbwa hutumika kwa ulinzi nyumbani
8.kilimo cha mazao tofauti kwaajili ya chakula na biashara hii ni njia nyingine ya kujipatia kipato
Siyo kweli Mkuu... Sema tu umewekwa utaratibu wa kulipwa mwisho wa mwezi.... Lakini hiyohiyo unayopewa mwisho wa mwezi ukiigawa kwa siku 30 unapata kiasi au bei gani unalipwa kwa siku .. Ukichanganua zaidi unaweza kupata hadi kwa sasa 1, dk 1 au sikunde 1 unalipwa bei gani.Futa andika tena comment yako mkuu uajiriwe wapi upate pesa ya kila siku au ulimaanisha kila mwezi? Mtu anayelipwa kila siku hajaajiliwa ni part time kwa lugha ya kizaramo ni kibarua
Asante kwa kunielewesha nimejifunza nafuatiliaSiyo kweli Mkuu... Sema tu umewekwa utaratibu wa kulipwa mwisho wa mwezi.... Lakini hiyohiyo unayopewa mwisho wa mwezi ukiigawa kwa siku 30 unapata kiasi au bei gani unalipwa kwa siku .. Ukichanganua zaidi unaweza kupata hadi kwa sasa 1, dk 1 au sikunde 1 unalipwa bei gani.
Pa12po MkuuAsante kwa kunielewesha nimejifunza nafuatilia
SijakuelewaFuta andika tena comment yako mkuu uajiriwe wapi upate pesa ya kila siku au ulimaanisha kila mwezi? Mtu anayelipwa kila siku hajaajiliwa ni part time kwa lugha ya kizaramo ni kibarua
hahahahaha uwiiiii jf bwana kuna watu wanakuwaga ka wanakusubili nn unacomentUkiona biashara hafanyi mo,bakharesa, au wahindi,au waarabu au wachaga, au wakinga.......achana nazo hazina faida.....wapi umeona wachaga wanafuga sungura au kuku,wapi umeona wahindi wanauza mkojo WA sungura.....mwenye akili amenielewaaaa
Shule nzuri fupiLkn pia kitu kingine ambacho kinaweza kukutoa kwa haraka ni kilimo cha mboga mboga na matunda , kama ,tikiti,nyanya maji, vitunguu, mchicha, chainiz , spinach, pili pili hoho, nyanya chungu, kunde , kumbuka hapo unaweza kuvuna kuanzia wiki 2 mpka cku 90,