Aina za ujasiriamali zinazoweza kumtoa kijana kimaisha

Aina za ujasiriamali zinazoweza kumtoa kijana kimaisha

Hapana nakupinga mkuu CONTROLA.
Kuna binti anafuga kuku wa nyama lakini ilifika wakati akakata tamaa kwawababu ya bei ndogo sokoni(kwa walanguzi).akapata wazo la kununua freezer kubwa ya kugandisha,kuku wakikua anachinja wote anatunza kwenye freezer anatoa kuku kwenye freezer anakaanga na anauza mwenyewe kidogo kidogo,wakati huo bandani anavifaranga wapya wanakua,mpaka akawa maarufu kiasi mpaka akawa anapokea oder kubwa ya nyama za kuku kwenye sherehe n,k.
Kumbuka kunamsemo usemao safari moja huanzisha nyingine,kikubwa kuwa mbunifu mambo mengine yanajiseti yenyewe kama ukiwa mbinifu kama ulivyo wewe CONTROLA
ASANTE kwa kuongezea
 
Yah kwasababu watakuwa wanauza ujuzi wao kujipatia kipato
Mfano wanaweza kuchora ramani na kuziuza, kutengeneza thamani na kuziuza na wanaweza kutumia ujuzi wao kufanya kazi na kupata pesa pia
Hiyo ni biashara, ubunifu ndo kila kitu
 
Ukiona biashara hafanyi mo,bakharesa, au wahindi,au waarabu au wachaga, au wakinga.......achana nazo hazina faida.....wapi umeona wachaga wanafuga sungura au kuku,wapi umeona wahindi wanauza mkojo WA sungura.....mwenye akili amenielewaaaa
Umewasahau na watutsi, Wa tigray wa Ethiopia Mana hao ndo mfalme yule alimtembelea Suleiman akatiwa mimba ndo kizazi Chao,wapo wakikuyu, Wahausa ,Wa Igbo, wamashona kabila la Mugabe,.
Usilete sampo ndogo mkuu.
Pia Ile Koo ya jamaa wa magari ya Tata ya wahindi,
Kuna wa welish ama wa Scottish pia Kuna wale waroma wa Italy sijui wanatokea jiji gani ivi.
Hebu nikumbushe
 
Wewe ulichoandika ni faida ya hizo bidhaa kwa matumizi ya binadamu na sio namna hizo bidhaa zinavyoweza kumpatia faida kifedha mjasiriamali
 
Wewe ulichoandika ni faida ya hizo bidhaa kwa matumizi ya binadamu na sio namna hizo bidhaa zinavyoweza kumpatia faida kifedha mjasiriamali
Kuna sehemu ya kuongeza hapo kwenye comment kwa faida ya watu wengine
 
Umewasahau na watutsi, Wa tigray wa Ethiopia Mana hao ndo mfalme yule alimtembelea Suleiman akatiwa mimba ndo kizazi Chao,wapo wakikuyu, Wahausa ,Wa Igbo, wamashona kabila la Mugabe,.
Usilete sampo ndogo mkuu.
Pia Ile Koo ya jamaa wa magari ya Tata ya wahindi,
Kuna wa welish ama wa Scottish pia Kuna wale waroma wa Italy sijui wanatokea jiji gani ivi.
Hebu nikumbushe
Kijiji nimesahau hicho
 
1. ufugaji wa kuku. Ufugaji wa kuku wa kienyeji ama kuku wa kisasa. Faida zake zinatokana na uuzaji wa mayai, nyama ya kuku, kuku wenyewe, vifaranga, mbolea n.k

_ Ndege wengine wenye faida kama za kuku ni kanga, bata wa aina tofauti, njiwa, kware n.k

2. Ufugaji wa mbuzi. Mbuzi faida zake zinakuja kwenye nyama, maziwa, mbolea,pembe na kwato huzalisha gundi,
_pia unaweza fuga kondoo ama ngombe

3. Ufugaji wa sungura. Faida za sungura hazitofautiani na faida za mbuzi lakini sungura huzaa watoto wengi na ni rahisi kumfuga kwenye eneo dogo

_Mkojo wa sungura ni mzuri sana kwa mbolea

4. Ufugaji wa ngurue. Hii ndio biashara inayochipukia kwa sasa. Pia ngurue huzaa watoto wengi kwa mpigo, faida zake nyingine ni kama zile za mbuzi

5. Ufugaji wa nyuki. Ufugaji wa nyuki ni mrahisi tu ukiwa na eneo la kutosha faida za nyuki ni asali hii hutumika kama kiungo kwenye vyakula lakini pia hutumika kama dawa na hata kuoshea vidonda kwa watu wenye ugonjwa wa sukari, uchavushaji ni faida nyingine kubwa ya nyuki, masega ya nyuki hutumika kutengenezea mishumaa

6. Ufugaji wa samaki. Samaki wana source kubwa ya protein ambayo hutumika kwa ukuaji, mafuta ya samaki pia watu wanasema ni dawa, lakini pia kipato kutokana na samaki, kuna samaki wa mapambo pia
7 ufugaji wa mbwa. Kufuga mbwa kama biashara tutajipatia kipato lakini pia mbwa hutumika kwa ulinzi nyumbani
8.kilimo cha mazao tofauti kwaajili ya chakula na biashara hii ni njia nyingine ya kujipatia kipato
"Biashara zote ni nzuri na zinalipa ukiwa unasimliwa"....MwanaFA-Mhezanian
 
Futa andika tena comment yako mkuu uajiriwe wapi upate pesa ya kila siku au ulimaanisha kila mwezi? Mtu anayelipwa kila siku hajaajiliwa ni part time kwa lugha ya kizaramo ni kibarua
Siyo kweli Mkuu... Sema tu umewekwa utaratibu wa kulipwa mwisho wa mwezi.... Lakini hiyohiyo unayopewa mwisho wa mwezi ukiigawa kwa siku 30 unapata kiasi au bei gani unalipwa kwa siku .. Ukichanganua zaidi unaweza kupata hadi kwa sasa 1, dk 1 au sikunde 1 unalipwa bei gani.
 
Mbona zote zipo kundi moja? Vp kuhusu kupaka rangi kucha, kusuka yeboyebo, kuuza chupi za kike, kuuza vyombo mabezeni, etc. Karanga, popcorn, ice cream, uji, kahawa chungu na kashata, mahindi ya kuchoma, viazi vitamu, mihogo,
Mishkaki, chipsi,
Kukodisha taa za wajasiriamali,
Uwakala? Hii imekufa. Labda
Kuchemsha magimbi, mihogo ya kukaanga, etc.
Upambaji wa magaji, pikipiki na bajaji.
Kupiga ribiti- angalia usinywe gongo.
Kusafisha taa za magari
Ufundi gereji
Kuuza putururu au vumbi- sina hakika nayo.
Kuonesha mpira, kuuza marosti, njegere, nyanya, karoti
Biashara ya mkaa,
Kuosha magari,
Kuuza maua na miti.
Kuingiza nyimbo
Kutengeneza simu.
Ufundi mafriji na ac za majumbani na magari

Zingine zitakuja
 
Siyo kweli Mkuu... Sema tu umewekwa utaratibu wa kulipwa mwisho wa mwezi.... Lakini hiyohiyo unayopewa mwisho wa mwezi ukiigawa kwa siku 30 unapata kiasi au bei gani unalipwa kwa siku .. Ukichanganua zaidi unaweza kupata hadi kwa sasa 1, dk 1 au sikunde 1 unalipwa bei gani.
Asante kwa kunielewesha nimejifunza nafuatilia
 
Futa andika tena comment yako mkuu uajiriwe wapi upate pesa ya kila siku au ulimaanisha kila mwezi? Mtu anayelipwa kila siku hajaajiliwa ni part time kwa lugha ya kizaramo ni kibarua
Sijakuelewa
 
Ukiona biashara hafanyi mo,bakharesa, au wahindi,au waarabu au wachaga, au wakinga.......achana nazo hazina faida.....wapi umeona wachaga wanafuga sungura au kuku,wapi umeona wahindi wanauza mkojo WA sungura.....mwenye akili amenielewaaaa
hahahahaha uwiiiii jf bwana kuna watu wanakuwaga ka wanakusubili nn unacoment
 
Lkn pia kitu kingine ambacho kinaweza kukutoa kwa haraka ni kilimo cha mboga mboga na matunda , kama ,tikiti,nyanya maji, vitunguu, mchicha, chainiz , spinach, pili pili hoho, nyanya chungu, kunde , kumbuka hapo unaweza kuvuna kuanzia wiki 2 mpka cku 90,
Shule nzuri fupi
 
Back
Top Bottom