Aina za ujasiriamali zinazoweza kumtoa kijana kimaisha

Unakosea boss kitu kimoja...kuna kitu kinaitwa batch...ukianza mwanzo utasubiri kwanza wakue au wazaliane baadae utaanza kuwa na batch tofauti ambayo itakuruhusu ww kuuza kila siku...hili litakuwa sawa pale tu unapoweka effort zako zote huko na sio bra bra ....kwaiyo utakuwa na watoto...wakatikati na wakiotayr kuuzwa...ww umeangalia pale unapoanza
 
Wewe jamaa inahitajika uwe Consultant officer wa business, mkuu tafuta mtaji uwe unatoa elimu kwa wajasiriamali na vikundi mbalimbali hii itasaidia wengi na itakuongezea kipato na kujulikana.
Mtaji naozungumzia ni wa kujitangaza na kugather watu wanaohitaji ushauri.
 
mkuu ni frash kidogo kwenye ufugaji wa samaki.
 
Mkuu huyo binti sidhani kama tunamuweka ktk kundi la wenye shida hapa town.

Jiulize Bei ya hilo freezer alilonunua ni sh ngapi, usifkiri n kale ka freezer kadogo...

Jiulize hela ya kulisha hao kuku mpaka anawatoa anawachinja anawatunza ni amekua ametumia kiasi gani?

Jiulize gharama anazokua anatumia kuwasha freezer ON 24hrs ili kuku wasiharibike anakua ametumia UMEME wa UNIT ngapi?

Tunaongelea freezer ulaji wake waumeme tunaufananisha na gari kama Premio/Alphard na wenzao kwenye mafuta.

freezer linabugia UNIT halionji onji kama Fridge, sasa mwenzako analiwasha 24hrs halizimwi.

Hizo ni cost za juu juu tunazoziona sisi wapga story hapa,kuna zile hidden cost ambazo hatuzijui Mkuuu mtu anaefuga kuku usimchukulie kisport sport sio mwenzako kbsa.

Ni mjasiriamali ndio hatukatai Hata MO dewj nae ni mjasiriamali ila huwezi nifananisha mimi controla na Mo au bakhressa never...

Huyo dada ana ligi zake ila sio ligi za wajasiriamali wauza mahindi/mishkaki/wamama ntilie wanaouza wali wao kwenye ndooo,nk nk

Huyo ana backup ya pesa somewhere sio eti ndio anataftia hapo Maisha atoke,no way.
 
Summary ya maelezo yako ni kwamba biashara hizo zinahitaji pesa ya kutumia wakati zikisubiriwa. Huo ndio mtaji, japo benki hazina nafasi ya kutoa mitaji kwa biashara zinazo anza, kwao ni risky. Wanatoa mitaji kuendeleza biashara.
 
Samahani mkuu nje ya mada kidogo naomba kuuliza, hivi mtu alie Fundi mfano welding, Carpenter, mechanical, Mason, nk. Wanaweza kufanya ufundi wao Kama biashara?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ngazi ya chini huwa ni mafundi na si wafanya biashara. Wanasubiri oda za wateja. Wakipata mtaji mkubwa huwa wafanya biashara, wanatengeneza bidhaa na kusubiri wateja. Workshop zao zinaweza kuwa eneo moja na show room, au vinaweza kuwa maeneo tofauti.
 
Nimekupata vema mkuu CONTROLA
 
Ukiona biashara hafanyi mo,bakharesa, au wahindi,au waarabu au wachaga, au wakinga.......achana nazo hazina faida.....wapi umeona wachaga wanafuga sungura au kuku,wapi umeona wahindi wanauza mkojo WA sungura.....mwenye akili amenielewaaaa
_[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…