Kaka yangu hana shida ya pesa ndogondogo ya kuhonga π€£Ila sio kwa kumkausha blood namnahiyo duuh!
Sasa kama ikiachwa hela kubwa unaibalance upate ya kupeleka kwenye upatu afu home tunakula mchicha, huoni ni busara ukapewa pesa inayotosha kununua mchicha?πsoda unayokunywa Aaliyah naomba iwe tamu na ya baridi kabisa, ππ
Eti afu tatu..? afu tatu inanunua nini sahii Mac Alpho haitoshi hata fungu la mchicha tajiri wangu..!!π
πππSasa kama ikiachwa hela kubwa unaibalance upate ya kupeleka kwenye upatu afu home tunakula mchicha, huoni ni busara ukapewa pesa inayotosha kununua mchicha?π
AaΓ aaaa Usituseme bwana kazi zetu Zina tulipaOngezea
VICHECHE hawa hua wako tayari kutoa tunda hata kwa muuza Sumu za Panya na viroboto,ili mradi tu awe ameonja kila aina ya Ndizi.