Aina za wake (Type of wives)

Wangu ni namba 1 ila hapigani hadharani bali chumbani.
Pia ni no.3 na no.8.
 
Baby sitted wives;Hawa wadekaji hatari,hadi kufuliwa chupi wanataka wafuliwe,wamekaa kujitegeza tegeza kama watoto na wanalia lia hovyo hata kwa jambo dogo ili tu uwabembeleze.
Na hawawezi kufanya kitu wenyewe hadi wewe uwepo.
Mkewangu wa kwanza alikua hivi,nilikoma alipokua mjamzito udekaji ulipitiliza tu infinity,hadi kuchamba anadai hawezi "love si unajua mie mama kijacho?Unichambishe sitakiwi kujipinda nitaumia".
Lamamayeee!
 
Siwezi kuolewa na mwanaume asiyejua kubembeleza
Tutashindwana wiki ya kwanza ya uchumba
Kuna kudeka na kuna kisirani.
Ununaji wa hovyo wa kiholela holela wa kimwantumu hakuna mwanaume anaupenda,pia utakomaa sura mapema na kuzeeka bure msichana.
 
Kuna kudeka na kuna kisirani.
Ununaji wa hovyo wa kiholela holela wa kimwantumu hakuna mwanaume anaupenda,pia utakomaa sura mapema na kuzeeka bure msichana.
Mimi nina vyote kisirani na kudeka
MWANAUME ASIYEJUA KUBEMBELEZA❌
 
Mimi nina vyote kisirani na kudeka
MWANAUME ASIYEJUA KUBEMBELEZA❌
Hapo kwa kisirani ushaharibu.
Mie ukinuna nuna hovyo nakusema mpaka unakoma,tena nakushushia mineno ya tani 100.
Mwanamke deka sio kisirani kama mwantumu aiiiii!
 
Nitaweka kwenye list yangu ya maombi maana ombi lako ni gumu sana.
MUmeo apambane na maisha na akubembeleze na wewe na kubembeleza mtu mzima lazima uwe na hela!!! Doohh!.

Tuzidi kuomba Mungu, anajibu maombi😂
Hili ombi lipeleke kwa Mungu kadri ya uwezo wako☺️🤸
 
Nitaweka kwenye list yangu ya maombi maana ombi lako ni gumu sana.
MUmeo apambane na maisha na akubembeleze na wewe na kubembeleza mtu mzima lazima uwe na hela!!! Doohh!.

Tuzidi kuomba Mungu, anajibu maombi😂
Wengi dushee tu linatosha mkuu.
Maneno matam na mashairi huku ukimtekenya papuchi lazima abembelezeke.
 
Hapo kwa kisirani ushaharibu.
Mie ukinuna nuna hovyo nakusema mpaka unakoma,tena nakushushia mineno ya tani 100.
Mwanamke deka sio kisirani kama mwantumu aiiiii!
Hakuna mwanamke asiye na kisirani kila mwezi kazima tunune
Mwanaume asiyejua kubembeleza❌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…