The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Dah! Nimecheka bila breki aisee.Mchumba unapata hukuhuku jukwaani sio lazima ufungue uzi
Wewe mwenyewe unajikwamisha sijui unafeli wapi,🤸
😀 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Nimecheka bila breki aisee.Mchumba unapata hukuhuku jukwaani sio lazima ufungue uzi
Wewe mwenyewe unajikwamisha sijui unafeli wapi,🤸
Wangu ni namba 1 ila hapigani hadharani bali chumbani.Hii inachekesha kidogo 😂😂😂
Je wewe ni aina gani ya Mke au upo katika aina gani ya mke? Hata kama hajaolewa lakini unatumaini kuwa Mke wa mtu.
1. BOXING WIVES : Hawa ni aina ya wake wanaopigana na waume zao kwa makusudi ili tu kumtia hasira. Wanawake wa aina hii wako tayari kupigana na mume zaidi katika eneo la umma ili kuunda tukio.
2. HEADMASTER WIVES : Hawa ni wake ambao wanalipwa vizuri katika kazi zao au biashara zao lakini wanawadharau na kuwaweka waume zao chini kwa sababu WANA kipato kikubwa cha fedha kuliko waume zao.
3. POLICE WIVES : Aina hii ni ya kawaida sana. Hawa ni wake wanaokagua au kuwafuatilia waume zao kila waendako. Mume akienda chooni huchukua simu yake kuangalia meseji zake haraka. Mume akipiga simu hujificha nyuma ya mlango kusikiliza kila mazungumzo...Mume akitoka huhakikisha anafuatwa na ana marafiki wanaoweka jicho la ziada kwenye shughuli za mume.
4. DICTIONARY WIVES : Hawa ni wake ambao hawasikii ushauri wa waume zao bali wanapendelea zaidi kumsikiliza mama au dada au rafiki yao. Wakati wowote mume wao anaposema jambo, wao huenda haraka ili kuthibitisha kutoka kwa mama, dada, rafiki n.k kama kamusi ili kujua kama anapaswa kuendelea na yale ambayo mume wao aliwaagiza au la.
5. PARTY WIVES :Wanapendelea kununua KILA aina ya nguo,mikoba na viatu vinavyopatikana ili kuhudhuria shughuli yoyote inayopatikana ingawa familia yake haina uwezo wa kifedha wa kulipia gharama kama hizo...Zinapatikana kwa urahisi katika kila sherehe na vinywaji na hivyo kuwapuuza watoto wao, mume na nyumba.
6. PAMPERED WIVES: Hawa pia wanajulikana kama daddy's little girl 🧒 ...Hupiga simu na kumshitaki mume wao kwa baba zao kwa mabishano au mazungumzo yoyote hata kama ni jambo dogo. Ni watoto wa Matajiri ni hatari sana hasa kama mume anafanya kazi moja kwa moja kwa baba zao.
7. DUSTIBIN WIVES ; Huenda jina likaonekana ni baya lakini wapo wake wa aina hii...Wake hawa ni wazururaji na wachafu sana, huwawanakimbilia kufanya usafi wa nyumba pale tu wakiwa wanatembelewa na mgeni .
8. GOD FEARING WIVES: Wanajali NA wana upendo. Hutoa mahitaji ya kihisia na hutengeneza muda wa ziada kwa ajili ya familia. Huongoza nyumba kiroho, huwajibika na humtendea mume na familia kwa heshima.
9.SOCIAL MEDIA WIVES: Siku zote wapo mitandaoni, instagram,Tiktok, Jamiiforums, Facebook n. k wanapost picha wakiwa wamekunja miguu, wanachati na hata kusahau kufanya mambo ya msingi kwa sababu wanataka kujua kila kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii .
10. Wake Wasiothaminiwa: Hawa ni wake ambao hukaa nyumbani kuhudumia na kutunza kila kitu na kila mtu lakini wanachukuliwa kama watoto.
Ahahah..nahis huyu atakua sio yule hata mimi nimeliona hilo 😂Umekuja kuwaje kijana
Dawa yenu kupotezewa tu nyie, kuja kushtuka mke wa aina hii ushagongewa nje tayariOngezea
11. Wake wanaopenda kununa na kubembelezwa kila saa
Nipo hapa
😂😂😂Na mm nilikuwa natafuta hii ya kubembelezwa aiseeOngezea
11. Wake wanaopenda kununa na kubembelezwa kila saa
Nipo hapa
Baby sitted wives;Hawa wadekaji hatari,hadi kufuliwa chupi wanataka wafuliwe,wamekaa kujitegeza tegeza kama watoto na wanalia lia hovyo hata kwa jambo dogo ili tu uwabembeleze.Hii inachekesha kidogo 😂😂😂
Je wewe ni aina gani ya Mke au upo katika aina gani ya mke? Hata kama hajaolewa lakini unatumaini kuwa Mke wa mtu.
1. BOXING WIVES : Hawa ni aina ya wake wanaopigana na waume zao kwa makusudi ili tu kumtia hasira. Wanawake wa aina hii wako tayari kupigana na mume zaidi katika eneo la umma ili kuunda tukio.
2. HEADMASTER WIVES : Hawa ni wake ambao wanalipwa vizuri katika kazi zao au biashara zao lakini wanawadharau na kuwaweka waume zao chini kwa sababu WANA kipato kikubwa cha fedha kuliko waume zao.
3. POLICE WIVES : Aina hii ni ya kawaida sana. Hawa ni wake wanaokagua au kuwafuatilia waume zao kila waendako. Mume akienda chooni huchukua simu yake kuangalia meseji zake haraka. Mume akipiga simu hujificha nyuma ya mlango kusikiliza kila mazungumzo...Mume akitoka huhakikisha anafuatwa na ana marafiki wanaoweka jicho la ziada kwenye shughuli za mume.
4. DICTIONARY WIVES : Hawa ni wake ambao hawasikii ushauri wa waume zao bali wanapendelea zaidi kumsikiliza mama au dada au rafiki yao. Wakati wowote mume wao anaposema jambo, wao huenda haraka ili kuthibitisha kutoka kwa mama, dada, rafiki n.k kama kamusi ili kujua kama anapaswa kuendelea na yale ambayo mume wao aliwaagiza au la.
5. PARTY WIVES :Wanapendelea kununua KILA aina ya nguo,mikoba na viatu vinavyopatikana ili kuhudhuria shughuli yoyote inayopatikana ingawa familia yake haina uwezo wa kifedha wa kulipia gharama kama hizo...Zinapatikana kwa urahisi katika kila sherehe na vinywaji na hivyo kuwapuuza watoto wao, mume na nyumba.
6. PAMPERED WIVES: Hawa pia wanajulikana kama daddy's little girl 🧒 ...Hupiga simu na kumshitaki mume wao kwa baba zao kwa mabishano au mazungumzo yoyote hata kama ni jambo dogo. Ni watoto wa Matajiri ni hatari sana hasa kama mume anafanya kazi moja kwa moja kwa baba zao.
7. DUSTIBIN WIVES ; Huenda jina likaonekana ni baya lakini wapo wake wa aina hii...Wake hawa ni wazururaji na wachafu sana, huwawanakimbilia kufanya usafi wa nyumba pale tu wakiwa wanatembelewa na mgeni .
8. GOD FEARING WIVES: Wanajali NA wana upendo. Hutoa mahitaji ya kihisia na hutengeneza muda wa ziada kwa ajili ya familia. Huongoza nyumba kiroho, huwajibika na humtendea mume na familia kwa heshima.
9.SOCIAL MEDIA WIVES: Siku zote wapo mitandaoni, instagram,Tiktok, Jamiiforums, Facebook n. k wanapost picha wakiwa wamekunja miguu, wanachati na hata kusahau kufanya mambo ya msingi kwa sababu wanataka kujua kila kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii .
10. Wake Wasiothaminiwa: Hawa ni wake ambao hukaa nyumbani kuhudumia na kutunza kila kitu na kila mtu lakini wanachukuliwa kama watoto.
Siwezi kuolewa na mwanaume asiyejua kubembelezaDawa yenu kupotezewa tu nyie, kuja kushtuka mke wa aina hii ushagongewa nje tayari
Karibu kwetu kesho saa 4 tuna ibada ya kuukaribisha mwez wa 6😂😂😂😂Nikipata no 8 naweka ndani
Kuna kudeka na kuna kisirani.Siwezi kuolewa na mwanaume asiyejua kubembeleza
Tutashindwana wiki ya kwanza ya uchumba
Ili apigwe ndoa ya mkeka!?Karibu kwetu kesho saa 4 tuna ibada ya kuukaribisha mwez wa 6😂😂😂😂
Nitaweka kwenye list yangu ya maombi maana ombi lako ni gumu sana.Siwezi kuolewa na mwanaume asiyejua kubembeleza
Tutashindwana wiki ya kwanza ya uchumba
Mimi nina vyote kisirani na kudekaKuna kudeka na kuna kisirani.
Ununaji wa hovyo wa kiholela holela wa kimwantumu hakuna mwanaume anaupenda,pia utakomaa sura mapema na kuzeeka bure msichana.
Hapo kwa kisirani ushaharibu.Mimi nina vyote kisirani na kudeka
MWANAUME ASIYEJUA KUBEMBELEZA❌
Hili ombi lipeleke kwa Mungu kadri ya uwezo wako☺️🤸Nitaweka kwenye list yangu ya maombi maana ombi lako ni gumu sana.
MUmeo apambane na maisha na akubembeleze na wewe na kubembeleza mtu mzima lazima uwe na hela!!! Doohh!.
Tuzidi kuomba Mungu, anajibu maombi😂
Asipoitikia wito wako,naomba unicheki pm ili mimi nihudhurie hiyo ibada.Karibu kwetu kesho saa 4 tuna ibada ya kuukaribisha mwez wa 6😂😂😂😂
Wengi dushee tu linatosha mkuu.Nitaweka kwenye list yangu ya maombi maana ombi lako ni gumu sana.
MUmeo apambane na maisha na akubembeleze na wewe na kubembeleza mtu mzima lazima uwe na hela!!! Doohh!.
Tuzidi kuomba Mungu, anajibu maombi😂
Hakuna mwanamke asiye na kisirani kila mwezi kazima tununeHapo kwa kisirani ushaharibu.
Mie ukinuna nuna hovyo nakusema mpaka unakoma,tena nakushushia mineno ya tani 100.
Mwanamke deka sio kisirani kama mwantumu aiiiii!
Ndio hiki unachokizungumzia ephen_ mdogo angu?Wengi dushee tu linatosha mkuu.
Maneno matam na mashairi huku ukimtekenya papuchi lazima abembelezeke.
aka Chupi mkononiUmesahau PORNSTAR WIVES wanaotembeza vidude vyao mitaani.