Aina za wake (Type of wives)

Aina za wake (Type of wives)

Yeah kaka ila ongezea na hela za kununua urojo, soseji na nyama☺️
Basi acha niendelee na ishu zangu tu, maombi haya sifanyi. Sasa kupigwa miti na kutekenywa papuchi ndio kubembelezwa?.
Haya yote yako ndani ya uwezo wako hakuna haja ya kumsumbua Mungu ana mambo mengi
 
Kunyooshana viungo ile ni vita hakunaga mambo mengi pale, unamkunja mtu kama unataka kumvunja na yeye anafurahia ndio kubembeleza huko unaita??
Inategemea!
Unamsoma mtu kwamba huyu sasa hivi anahitaji maneno mazuri nijishushe
Huyu sasa hivi nimpe misosi mizuri
Huyu hiki kisirani bila kupigwa miti hakiishi hivyo inabidi nimnyooshe

Unatakiwa umsome ili usichanganye mambo, kubembeleza ni kipaji sio kila mtu anacho
Na hao wenye vipaji mimi ndio nawataka🤸
 
Ni maombi tu 😀 ondoeni shaka kabisa
Kwani sie hatuwajui nyie!?
Naijua hiyooo!
Unasema ni duah kumbe kadhwi na mahrim wameshaandaliwa na ubani makkah umekwishawekwa.
Ukijichanganya kitu kizito hikoo na mke unabeba.
Niliiona Bububu skuli hii kitu😂😂😂🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️
 
Back
Top Bottom