Aina za wanawake ambao lazima utumie condom pindi unapofanya nao mapenzi

Aina za wanawake ambao lazima utumie condom pindi unapofanya nao mapenzi

Daydream

Member
Joined
Oct 26, 2023
Posts
58
Reaction score
335
Wafuatao ni aina ya wanawake ambao ni lazima uvae condom pindi unapofanya nao mapenzi.

1. Ikiwa ana Tattoo vaa hata Condom tatu kwa pamoja utakuja kunishukuru

2. Kama anakunywa bia hakikisha unavaa Condom

3. Kama anafanya kazi kwenye saluni za kiume/zakike ndugu yangu vaa Condom

4. Kama ni mwanafunzi wa chuo vaa Condom

5. Kama anavaa G-string ndugu yangu vaa Condom acha kucheza na uhai wako

6. Kama ana marafiki wengi wa kiume kuliko wakike nakusihi ndugu yangu vaa Condom

7. Kama ana pete puani na vikuku mguuni ndugu vaa Condom hata kumi kwa pamoja.

8. Kama anaishi peke yake tafadhali ndugu yangu kumbuka Condom.

9. Kama anazima simu yake anapokua na wewe aiseee tumia Condom.

10. Kama yeye ndo wa kwanza kukuvua shati tafadhali jitahidi usisahau Condom.

11. Kama ana nywele fupi zilizopakwa rangi aiseee vaa Condom hata 20

12. Kama anavaa shanga kiunoni aisee Condom lazima


Nadhani tumeelewana
 
Wafuatao ni aina ya wanawake ambao ni lazima uvae condom pindi unapofanya nao mapenzi.

1. Ikiwa ana Tattoo vaa hata Condom tatu kwa pamoja utakuja kunishukuru

2. Kama anakunywa bia hakikisha unavaa Condom

3. Kama anafanya kazi kwenye saluni za kiume/zakike ndugu yangu vaa Condom

4. Kama ni mwanafunzi wa chuo vaa Condom

5. Kama anavaa G-string ndugu yangu vaa Condom acha kucheza na uhai wako

6. Kama ana marafiki wengi wa kiume kuliko wakike nakusihi ndugu yangu vaa Condom

7. Kama ana pete puani na vikuku mguuni ndugu vaa Condom hata kumi kwa pamoja.

8. Kama anaishi peke yake tafadhali ndugu yangu kumbuka Condom.

9. Kama anazima simu yake anapokua na wewe aiseee tumia Condom.

10. Kama yeye ndo wa kwanza kukuvua shati tafadhali jitahidi usisahau Condom.

11. Kama ana nywele fupi zilizopakwa rangi aiseee vaa Condom hata 20

12. Kama anavaa shanga kiunoni aisee Condom lazima


Nadhani tumeelewana
Nenda na mke popote uendako! Usisahau kufungasha chakula, maji, na mahitaji yako yoote sababu utaki kuhudumiwa nje na watu wako
 
No 11 ilinitesa sanaa aisee yule demu alikubali nimle rafiki yakee na rafiki yake alinipa naye nimpige mbupuuu...na wote walikuwa na vinywele hivo ila wanakuwaga wazuriii kwa muonekano
 
Mkuu kuna pisi nimeielewa barbershop moja hivi,nimeshaweka miadi nae. Kwa hiyo ile pisi niile kwa ndom? Aisee ile pisi ni viwango kinoma mkuu.
 
Mkuu kuna pisi nimeielewa barbershop moja hivi,nimeshaweka miadi nae. Kwa hiyo ile pisi niile kwa ndom? Aisee ile pisi ni viwango kinoma mkuu.
Hapo kwa barbershop nami nawaza Sana pia, condom tena!! Ila any ways nitavaaa tu maana nategemewa sana
 
Back
Top Bottom