Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Condom ni lazima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mmekutana jf badoo tinder au tagged aisee vaa rough ryder kabisaaaWafuatao ni aina ya wanawake ambao ni lazima uvae condom pindi unapofanya nao mapenzi.
1. Ikiwa ana Tattoo vaa hata Condom tatu kwa pamoja utakuja kunishukuru
2. Kama anakunywa bia hakikisha unavaa Condom
3. Kama anafanya kazi kwenye saluni za kiume/zakike ndugu yangu vaa Condom
4. Kama ni mwanafunzi wa chuo vaa Condom
5. Kama anavaa G-string ndugu yangu vaa Condom acha kucheza na uhai wako
6. Kama ana marafiki wengi wa kiume kuliko wakike nakusihi ndugu yangu vaa Condom
7. Kama ana pete puani na vikuku mguuni ndugu vaa Condom hata kumi kwa pamoja.
8. Kama anaishi peke yake tafadhali ndugu yangu kumbuka Condom.
9. Kama anazima simu yake anapokua na wewe aiseee tumia Condom.
10. Kama yeye ndo wa kwanza kukuvua shati tafadhali jitahidi usisahau Condom.
11. Kama ana nywele fupi zilizopakwa rangi aiseee vaa Condom hata 20
12. Kama anavaa shanga kiunoni aisee Condom lazima
Nadhani tumeelewana
Oyaaaa hyo kitu ni ngumu sanaaa kubeba tu nnaweza na nnazingatia sana kuwa nazo kimbembe ni kwny kuzitumia aiseee sjui nakwamaga wapi.[emoji25]Kutumia kondomu ni kipaji aisee, siyo kila mwanaume anaweza[emoji28][emoji28][emoji28], wengi humu mtaungana na Mimi!
Noma sana, akishavua Pichu tu mashine inasoman 5G😅😅 unamuandaa kisha unampachikia shaftOyaaaa hyo kitu ni ngumu sanaaa kubeba tu nnaweza na nnazingatia sana kuwa nazo kimbembe ni kwny kuzitumia aiseee sjui nakwamaga wapi.[emoji25]
Oyaaa ni hatarii hapo ni kupaka mate meeeengiiiiiiiiiiNoma sana, akishavua Pichu tu mashine inasoman 5G[emoji28][emoji28] unamuandaa kisha unampachikia shaft
Ni Mungu tuu, mengine ni historian😂😂Oyaaa ni hatarii hapo ni kupaka mate meeeengiiiiiiiiii
Mie hayo makitu yanilishindaga toka day one....ni mwendo wa nyama kwa nyama tuu...utamu orijinoKutumia kondomu ni kipaji aisee, siyo kila mwanaume anaweza😅😅😅, wengi humu mtaungana na Mimi!
ukipiga kavu hapo wahi azuma na PEP fastaKa mkubwa inaonekana una ushahidi kabisa😂😂😂
13: Kama ni Mwanachuo hasa vyuo vinavyopatikana Dodoma, Dar, Arusha na Mbeya. Tumia Rough RiderWafuatao ni aina ya wanawake ambao ni lazima uvae condom pindi unapofanya nao mapenzi.
1. Ikiwa ana Tattoo vaa hata Condom tatu kwa pamoja utakuja kunishukuru
2. Kama anakunywa bia hakikisha unavaa Condom
3. Kama anafanya kazi kwenye saluni za kiume/zakike ndugu yangu vaa Condom
4. Kama ni mwanafunzi wa chuo vaa Condom
5. Kama anavaa G-string ndugu yangu vaa Condom acha kucheza na uhai wako
6. Kama ana marafiki wengi wa kiume kuliko wakike nakusihi ndugu yangu vaa Condom
7. Kama ana pete puani na vikuku mguuni ndugu vaa Condom hata kumi kwa pamoja.
8. Kama anaishi peke yake tafadhali ndugu yangu kumbuka Condom.
9. Kama anazima simu yake anapokua na wewe aiseee tumia Condom.
10. Kama yeye ndo wa kwanza kukuvua shati tafadhali jitahidi usisahau Condom.
11. Kama ana nywele fupi zilizopakwa rangi aiseee vaa Condom hata 20
12. Kama anavaa shanga kiunoni aisee Condom lazima
Nadhani tumeelewana
Hahahahahahahhah Dodoma colleges sasa ndio zinashika namba.....KE wanaosoma UD, CBE, IFM
vaa ndomu ya bati
nimesahau UDOM, epicenter ya UTI Sugu13: Kama ni Mwanachuo hasa vyuo vinavyopatikana Dodoma, Dar, Arusha na Mbeya. Tumia Rough Rider
Upate fungus sasa na yale maji ya chumvi, dadeeekinimesahau UDOM, epicenter ya UTI Sugu
hahahahaUpate fungus sasa na yale maji ya chumvi, dadeeeki
NAKAZIA japo nakula chuo kimojawapo hapoKE wanaosoma UD, CBE, IFM
vaa ndomu ya bati
kula mtoto wa chuo unafaidi sana, wengi wana mnatoNAKAZIA japo nakula chuo kimojawapo hapo
Mtoto ninae kula mkali kinoma na nimsafi sio wale wa Kigamboni wa mikoani wenye maisha hoi nop, huyu nimempangishia chumba safi Kinondoni na hana njaa kivilekula mtoto wa chuo unafaidi sana, wengi wana mnato