ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Hata Sammata tulikua jidanganya hivi hivi kilocho tokea kila mtu anajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili linahitaji muitishe press.Huyo ni kipa au kipapa?
sasa unapanda ndege halafu unaenda kuchezea timu km Yanga, au ili mradi unacheza nje ya nchi. Unatoka kote Mali unakuja kuchezea Utopolo.!!Kama Manura ni kipa Bora kwasasa asingekua anacheza apa Tanzania.
Utakua unaeongela EPL ya EthiopiaView attachment 2125643
View attachment 2125644
Heshima kubwa sana kwa Air Manula moja kati ya golikipa bora Afrika.
Mechi ya jana bila Manula tulikuwa tufe nyingi sana. Tazama shots on target.
Aish Salum Manula Goli Kipa Namba Moja Wa Klabu ya Simba na Timu ya Taifa ya Tanzania
.
[emoji871]Aliyecheza Kwa mafanikio Makubwa na klabu hiyo Kipa bora Wa Ligi kuu Tanzania kwa Misimu Mitano Mfululizo
.
[emoji871]Amecheza Mashindano Mengi Na makubwa Amecheza Robo final Ligi ya mabigwa Kacheza,Afcon na Timu ya Taifa ya Tanzania na Sasa yupo Anakiwasha Huko Shirikisho CAF Kwenye Makundi Na Timu yake Ya Simba
.
Ameshinda vikombe vyote Vya ndani kwa Ngazi ya klabu kama mchezaji Ameashinda Kombe la Ligi,Ameshinda kombe la Shirikisho "ASFC" na makombe mwngine kama Kombe la Mapinduzi
.
[emoji871]Alijiunga na Simba akitokea Azam fc ambako piah Alicheza kwa mafanikio Baada ya kuisaidia timu hiyo Kutwaa kikombe cha Ligi Kuu bila Kupoteza mchezo Wowote yaani "UNBEATEN"
.
[emoji871]Napo Sema Aish ni Mchezaji Ghali Zaidi Kwa sasa wa Ndani Kwa wachezaji Wa Tanzania Namaanisha hiki
.
[emoji871]Mkataba Wa Manula Unamalizika Mwishoni mwa Msimu huu Hii ni baada ya Ule mkataba wa Miaka mitatu Alio saini 2019 Kumalizika mwaka huu 2022.
.
[emoji871]Naamini Kama simba itafanikiwa kumbakiza mchezaji Huyu basi Atasaini mkataba Ghali na Wenye mshahara Mkubwa Sana kwa Sababu Kwa Sasa yupo Katika kiwango Bora kabisa akiwa Golini.
.
[emoji871]Timu nyingi Afrika na Nje zimekuwa Zikimfatilia na Kumwangalia kwa Ukaribu Zaidi. Amini Usiamini Kama Simba itaweza Kumbakiza MANULA basi Wanahitaji Kutoa kiasi Kikubwa cha Pesa
.
[emoji871]Na kuwahi mapema kabla mkataba wake Kufika tamati na Kuruhusiwa kuanza kufanya mazungumzo na timu yoyote ile.
.
[emoji871]Kwa upande wangu Namshauri Aish kama atapata Ofa Nzuri Nje Basi bora Aende tu akacheze huko ili akatafute Changamoto mpya maana Bado namuona Mbali sana kwa Ubora Alio nao hivi Sasa
.
Itachukua Miaka Mingi Sana kumpata Goli kipa Wa aina hii Tanzania.
.
[emoji871]Kama Tutakubaliana Lakini Kwangu Mimi Kwa Baadhi ya Magoli kipa Niliyowahi kuwashuhudia Akitoka JUMA KASEJA basi Nyuma yake Anafata AISHI SALUM MANULA "TANZANIA ONE" jina Alilorithi toka kwa Juma Kaseja
Ulimuona Mendy jana? angekua Manura ubao ungesoma mkonoView attachment 2125643
View attachment 2125644
Heshima kubwa sana kwa Air Manula moja kati ya golikipa bora Afrika.
Mechi ya jana bila Manula tulikuwa tufe nyingi sana. Tazama shots on target.
Aish Salum Manula Goli Kipa Namba Moja Wa Klabu ya Simba na Timu ya Taifa ya Tanzania
.
[emoji871]Aliyecheza Kwa mafanikio Makubwa na klabu hiyo Kipa bora Wa Ligi kuu Tanzania kwa Misimu Mitano Mfululizo
.
[emoji871]Amecheza Mashindano Mengi Na makubwa Amecheza Robo final Ligi ya mabigwa Kacheza,Afcon na Timu ya Taifa ya Tanzania na Sasa yupo Anakiwasha Huko Shirikisho CAF Kwenye Makundi Na Timu yake Ya Simba
.
Ameshinda vikombe vyote Vya ndani kwa Ngazi ya klabu kama mchezaji Ameashinda Kombe la Ligi,Ameshinda kombe la Shirikisho "ASFC" na makombe mwngine kama Kombe la Mapinduzi
.
[emoji871]Alijiunga na Simba akitokea Azam fc ambako piah Alicheza kwa mafanikio Baada ya kuisaidia timu hiyo Kutwaa kikombe cha Ligi Kuu bila Kupoteza mchezo Wowote yaani "UNBEATEN"
.
[emoji871]Napo Sema Aish ni Mchezaji Ghali Zaidi Kwa sasa wa Ndani Kwa wachezaji Wa Tanzania Namaanisha hiki
.
[emoji871]Mkataba Wa Manula Unamalizika Mwishoni mwa Msimu huu Hii ni baada ya Ule mkataba wa Miaka mitatu Alio saini 2019 Kumalizika mwaka huu 2022.
.
[emoji871]Naamini Kama simba itafanikiwa kumbakiza mchezaji Huyu basi Atasaini mkataba Ghali na Wenye mshahara Mkubwa Sana kwa Sababu Kwa Sasa yupo Katika kiwango Bora kabisa akiwa Golini.
.
[emoji871]Timu nyingi Afrika na Nje zimekuwa Zikimfatilia na Kumwangalia kwa Ukaribu Zaidi. Amini Usiamini Kama Simba itaweza Kumbakiza MANULA basi Wanahitaji Kutoa kiasi Kikubwa cha Pesa
.
[emoji871]Na kuwahi mapema kabla mkataba wake Kufika tamati na Kuruhusiwa kuanza kufanya mazungumzo na timu yoyote ile.
.
[emoji871]Kwa upande wangu Namshauri Aish kama atapata Ofa Nzuri Nje Basi bora Aende tu akacheze huko ili akatafute Changamoto mpya maana Bado namuona Mbali sana kwa Ubora Alio nao hivi Sasa
.
Itachukua Miaka Mingi Sana kumpata Goli kipa Wa aina hii Tanzania.
.
[emoji871]Kama Tutakubaliana Lakini Kwangu Mimi Kwa Baadhi ya Magoli kipa Niliyowahi kuwashuhudia Akitoka JUMA KASEJA basi Nyuma yake Anafata AISHI SALUM MANULA "TANZANIA ONE" jina Alilorithi toka kwa Juma Kaseja
Kwa Manura amefanya save ngapi kali toka games za kimataifa zianze? Jana je, kula Niger je?Ulimuona Mendy jana? angekua Manura ubao ungesoma mkono
Haya maneno ungeandika kwa herufi kubwa.Kama Manura ni kipa Bora kwasasa asingekua anacheza apa Tanzania.
Anafanya nini hapa bongo si aende EPLKwa Manura amefanya save ngapi kali toka games za kimataifa zianze? Jana je, kula Niger je?