Air Tanzania - hii ndio kupanga biashara ???

Air Tanzania - hii ndio kupanga biashara ???

I always ask myself whether you are a human being or jellyfish. Between and you and your children who is advising the other? Now tell me, nani aliwafukuza?. I know this is a fightback for claiming that TPDF poor, but kusema tu ukweli it's a poor army.
Alshababu tu wamewatoa vinyeo halafu unasema mna jeshi?

Serikali yenyewe imejaa waizi, ngoja na bado ilo saga la UAE halitaacha jiwe juu ya jiwe
 
Sijakataa kwamba tayari iko hivyo,ila najiandaa Kisaikolojia kwamba tunaenda kupata wazungumzaji wa Kiswahili wabaya kwa sababu wanaenda kufundishwa na watu wasiojua Kiswahili
SADC naona haiwwtambui ila ni nyinyi mnajolazimisha kwao kwa like "tuliwakomboa" .
 
Dreamliner za Kenya zimekua zikienda Paris, London, goanzou, Joburg,Lagos,Dubai, e.t.c kutoka zinunuliwe. They have been very busy, NY was just the latest new route
Kuna zile zilikuwa idle mpaka zikaazimishwa Omanair!
 
Its ATCL(Any Time Cancelation Limited) for crying out loud. What do you expect? Mkurugenzi na rubani mkuu yupo ikulu. Akisema ni wakati wakusafirisha wabangua korosho, ndio hivyo.
 
Lakini ukisema uongo hadharani hivi sio nzuri. Hata wewe unajua ukweli ni kwamba KQ wanafly NY 5 times a week because oct to May is low season in the airline industry.
Mbona hamja tumia hiyo Bombadier wacha Drimulaina kuja Nairobi au Kampala? Hamna leseni.
ss tuna fly to kampala kwa A220 achana na bombadier ...au unajizungumzia without research ? Nairobi hatuna plan kabisaaaa ya kwenda huko
 
Ukurupukaji mbele kwa mbele. Kukimbilia kununua ndege bila ya kuwa na concrete strategy on how to run them or what should be done in order to run their operation smoothly. POOR PLANNING or LACK OF PLANNING
Kwaiyo una uhakika concrete strategy hawana?
 
Uwez amini wakenya wanateseka sana na mambo ya Tanzania kana kwamba ni yao
Tuachen na nchi yetu fanyen yenu shobo zanini
Sisia Africa ni wamoja kwenda huko na ubaguzi wako wa kichaga huo.SEMA KENYA SEMA KENYA SEMA
 
Alshababu tu wamewatoa vinyeo halafu unasema mna jeshi?

Serikali yenyewe imejaa waizi, ngoja na bado ilo saga la UAE halitaacha jiwe juu ya jiwe
Asante kwa kuongea Mefi
 
Back
Top Bottom