pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huna porojo ipo wapi order ya ndege 10 za KQ? Ama unasherehekea mawazo ya KQ Wala sio uhalisia? Basi wacha wa Tz pia wa sherehekee mawazo ya Jiwe😁😁😁Endeleeni komalia kwenye umbea na porojo. Mimi nawapa tawkimu na uhalisia wa mambo kama yalivyo. ATCL haijafikia hata 1/32 ya 'destination' ambazo KQ ilikuwa inatua kote duniani miaka minane iliyopita.![]()
.......mnatangaza ajira ya walimu 4,500 wkt kuna uhitaji wa walimu 234,000 nchi nzima nyie mnaakili kweli au mmerogwa. Waalimu zaidi ya 2mil wapo mitaani hawana ajira. Je baado mna uhalali wa kuuliza kwa nn Tz no masikini kwa uwezo wenu mdogo wa kufikiri na kushanhilia vitu vya hovyo namna hiiKabla ya kusema hivyo hebu tafakari yafuatayo
1.Average utilization-11 hours kwa siku
2.Q400 tatu hadi sasa zimeshabeba abiria zaidi ya laki tano
3. ATC sasa hivi inakimbilia kama haijavuka kubeba 50% ya abiria nchini.
Kwa hesabu hizi kwa nini isiongezwe nyingine [kwani zinajinunua wenyewe]
HONGERA SANA ATC. Kwa wale pessimist ninajua wataendelea kuponda lakini ukweli unabaki kuwa ATC imeanza vizuri
Hivi uchawi unawasaidia nini? Kwani ukitoa a positive comment utaumwa kichwa?Kama kila kazi anafanya jpm huoni kama akiondoka ataondoka na ndege zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mngenunua Ata kama ni airbus ndogo kuliko hizi ndege cheap cheapTuliza mshono wewe.
Kuna Dreamliner nyingine inakuja this December
You are thinking up side down. Unasahau serikali inategemea kodi kwa maendeleo. Kwa ATC kuanzia zilivyoletwa ndege mpya tayari imeshatengeneza kiasi cha bilioni 5 kwa mwezi. Jee huoni hata mchango wake kwenye kodi, kuongeza ajira kwa travel agents, shirika lenyewe kuweza kuajiri wafanyakazi wake wenyewe, kulipa madeni yote ya nyuma kwa kiasi cha asilimia 85 unataka uelezwe nini zaidi???Praise timu tumechoka jamani.....kwa hiyo uchumi unakua sio
.......mnatangaza ajira ya walimu 4,500 wkt kuna uhitaji wa walimu 234,000 nchi nzima nyie mnaakili kweli au mmerogwa. Waalimu zaidi ya 2mil wapo mitaani hawana ajira. Je baado mna uhalali wa kuuliza kwa nn Tz no masikini kwa uwezo wenu mdogo wa kufikiri na kushanhilia vitu vya hovyo namna hii
Hivi uchawi faida yake nini? Kwani waliponunua dreamliner nayo ilikuwa ya propeller, si ni kwamba kila aina ya ndege ina matumizi yake kulingana na umbali wa safari na gharama za uendeshaji? Back to tje question, uchawi unakusaidia nini?
Huu uzi unahusu ATCL, KQ anzishia uzi waoKila kufuli na ufunguo wake. Kuna ng'ombe sehemu fulani ambao msiba wao tayari umeandikwa kwa wino ambao haufutiki. Maanake kwa mwendo huu hiyo siku ndege itakapowasili lazima watu watachafua nyuso zao wakipambana na minofu. Upande wa pili nao KQ imeingia kwenye mkataba wa order ya ndege kumi kwa mpigo, na sio mapanga boi. Wala usitegemee kusikia vifijo na nderemo vimeshamiri hewani. Its okay, such is life.
Ulitaka tununue max 8??
Penye jitihada tupongeze. ATC wanajitahidi
Acha kukurupuka, uzi huu ulikuwa kule kwenye jukwaa la habari na siasa za Kenya. Alafu uzi ni wako au hata na wewe pia umedandia? Ila haina presha, hutaniona hapa tena, napita tu.Huu uzi unahusu ATCL, KQ anzishia uzi wao
Hivi uchawi faida yake nini, Unafaidika vipi kwa kuwa mchawi? Wewe una matoy mangapi?bombadier nayo ni ndege ama toy!
Anyway, KQ haijaagiza hata ndege moja so you know, acha propaganda, chairman michael wa KQ ameshakanusha huo uzushi.Acha kukurupuka, uzi huu ulikuwa kule kwenye jukwaa la habari na siasa za Kenya. Alafu uzi ni wako au hata na wewe pia umedandia? Ila haina presha, hutaniona hapa tena, napita tu.
Hiyo press statement ni kituko, yaani unakodisha ndege 20 toka wa mashirika mengine, halafu tena unawakodishia wengine ndege 3, sasa kwanini usikodishe to 17 badala ya 20 kama hizo 3 huzihitaji? HahahaWanaume, hebu tuweke umbea na porojo kando kwa dakika moja.![]()
Hii hapa ni chart ya umiliki wa ndege za KQ. KQ inamiliki ndege 40 kwa sasa, 20 zinamilikiwa moja kwa moja na KQ, 20 kwa mikataba ya lease. Ndege zingine 10 zinatarajiwa baada ya KQ kusaini mkataba wa order na Boeing. KQ ipo kwenye ligi nyingine bana. Wewe unayeongea kuhusu hasara tuambie kuhusu faida ambayo shirika lenu limepata na ndege zake saba tu.
Watumishi wa umma ni mizigo kwa taifa, wafanye kazi na sio kusubiri kubebwa kwa mbeleko.Praise timu tumechoka jamani.....kwa hiyo uchumi unakua sio
.......mnatangaza ajira ya walimu 4,500 wkt kuna uhitaji wa walimu 234,000 nchi nzima nyie mnaakili kweli au mmerogwa. Waalimu zaidi ya 2mil wapo mitaani hawana ajira. Je baado mna uhalali wa kuuliza kwa nn Tz no masikini kwa uwezo wenu mdogo wa kufikiri na kushanhilia vitu vya hovyo namna hii
Uchawi unakusaidia nini? Uwezo wa viwanja vyetu, idadi ya abiria, na gharama za uendeshaji ndio vimesababisha tununue hiyo. By the way, uchawi unakusaidia nini?
Uchawi faida yake nini? Shirika lilipokuwa na lilipo sasa ni vitu viwili tofauti, faida itakuja baadae, kwa sasa wacha tuendelee kubeba watalii, watafidia hasara unayodai tunapata.A for effort, F for results.
Reckless effort.
Serikali inachoma hela kuibeba ATC.
Hivi ile route ya moja kwa moja John F Kennedy US kila siku inaendeleaje?KQ mna ndege tatu tu na mnaringa.
Ya kuazima haisitiri makalio!