wenzetu wa wanapurchase maboeing na maairbus sie tunakomaa na vindege ambavyo havieleweki afu tuingie kwenye ushindani nao! ofcoz sie watu wa vibovu mv daressalaam, mabehewa ya treni,nk
SomaliaNdege za wapi hazidondoki mkuu...
Kwa preview hii nimuikubali MC 21.Anagalia kitu hiko
Russia's MC-21: Boeing to Face Potential Challenger in the Skies
Read more: Russia's MC-21: Boeing to Face Potential Challenger in the Skies
wenzetu wa wanapurchase maboeing na maairbus sie tunakomaa na vindege ambavyo havieleweki afu tuingie kwenye ushindani nao! ofcoz sie watu wa vibovu mv daressalaam, mabehewa ya treni,nk
Leta ushahidi!Prof Mbarawa ajipange vizuri, ndege za Urusi ni shida, zinadondoka sana.
Somalia
Leta ushahidi!Kiruuu! Mindege ya urusi inavyodondok kila kukicha
Kaka usisahau kongoNdege za North Korea ndio wa kwanza. Somalia wanafuata
Google,Leta ushahidi!
Kaka hii ndege sio ya mrusi, ni ndege ya m Ukraine. Ni ya mizigo tu.. Ndio ndege kubwa kuliko zote dunia i so far... Naifuatilia sana kila inapoenda.. Just very interesting.. Nimeshawahi kuiona live KIEV.. Ningeweka picha hapa ila picha ina sura yangu.Kitu ingine ya Mrusi hii
Imetua Perth Australia mwezi huu
Spasiba nalmanaKwa preview hii nimuikubali MC 21.
spasiba putinka .
wew acha mchezo kbisa,hii mc-21 utafananish na zile secreper za fastjet.iyo ndeg sio mchezo ndug
Kaka usisahau kongo