Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wenzetu wa wanapurchase maboeing na maairbus sie tunakomaa na vindege ambavyo havieleweki afu tuingie kwenye ushindani nao! ofcoz sie watu wa vibovu mv daressalaam, mabehewa ya treni,nk
Mkuu Sexer ni vizuri kabla ya kuponda jambo / kitu ukatumia muda kufanya utafiti kiduchu.MC 21 ni toleo jipya la ndege za kirusi.Ukitembelea mitandao inayojihusisha na sekta ya anga hii ndege imesifiwa sana kiasi wataalam wanasema itatoa ushindani mkubwa sana kwa Boeing na Airbus hasa upande wa bei na matengenezo.Kuna baadhi ya watanzania wana kasumba ya USA na Ulaya kwa maana ya UK ,Germany,France ......Ukiwaleta Russia wanaponda lakini wanashindwa kujua Ulaya yote inamwogopa sana Mrusi sasa kama anaogopwa ni kwanini hujiulizi sababu za kuogopwa.Boeing zimeanguka sana ikiwa utakuwa unakimbilia kutazama CNN au BBC usitegemee wataiponda lakini habari mbaya za Russia wanazikuza sana.
umeanza vizuri ukamaliza vibaya sana, kama hupendi kutaza cnn kwa kuhisi labda inatangaza vibaya russia huku unapenda kuangalia RT ukiamini inatangaza mazuri dhidi ya US utakuwa na matatizo.
Mkuu Sexer MC 21 ni nyepesi kuliko Airbus & Boeing,gharama za kuiendesha ni 20% chini zaidi ukilinganisha na Boeing / Airbus pia inatumia mafuta kidogo zaidi ya 15% ukilinganisha na Airbus.
wale wa congo maintenance ya ndege zao nadhani ndo kinachowasumbua pia mindege yao pia mingi ya zamani sanaCongo wanatumia sana ndege kwa sababu hawana mtandao reliable wa mtandao....ndege zaanguka sana
Kaka hii ndege sio ya mrusi, ni ndege ya m Ukraine. Ni ya mizigo tu.. Ndio ndege kubwa kuliko zote dunia i so far... Naifuatilia sana kila inapoenda.. Just very interesting.. Nimeshawahi kuiona live KIEV.. Ningeweka picha hapa ila picha ina sura yangu.
wale wa congo maintenance ya ndege zao nadhani ndo kinachowasumbua pia mindege yao pia mingi ya zamani sana
mi uwa nachek san kuhusu nyie wapenz wa usa,yani mnaonyesh mahaba kupitiliz.juzi mlikuja na mada kuwa marekani alinunua ndege za urusi ili akope technology,leo mnasema kuw ndeg za urusi ni saw na simu ya kichina.kwa iyo marekani alikopi mchinacheap is expensive, hiyo ndege kwa kufananisha na simu itabaki kama tecno, itel, huawei dhidi ya samsung, iphone. kwenye bus itakuwa kama yutong dhidi ya scania, huo ni
mfano
ndo yale yale tunayoyasem,iyo antonov sas ivi imebaki historia maan ipo ukraine watalaamu wote walirudi urusi kw iyo antonov haipo tena kweny ushindan sasa izo ndeg zinazodondok ni za mwak ganNdege za kirusi kusema ukweli zina historia ya kudondoka hovyo mfano, hizi zinazoitwa ANTONOV" haipiti miezi miwili lazima utasikia imeanguka tens Mara nyingi wakati Wa kupaa au inapokuwa inatuwa.