Air Tanzania wanatuchukulia sisi abiria wao kama takataka zisizo na thamani

Air Tanzania wanatuchukulia sisi abiria wao kama takataka zisizo na thamani

Kuna bus siku hizi zinawashinda hao,kwa hiyo usilinganishe na bus zote na hao,Kuna bus Kama ni saa 12 ,zinaamsha ata Kama yupo abiriaa mmoja ndani
Kama Ulaya vile
Safi sana na hongera kwao
Ila haya majizi sijui yanafaidi nini

Kuna siku eti tuliambia tunatua kujaza mafuta, hawa wanacheza na roho zetu

Yaani rubani kawasha kama anapeleka watoto wake shule na wale wanaojiita engineers na waangalizi wa ndege sijui walikuwa wanaangalia tu viti kama vimejaa

Kweli hata mafuta ni ya kushindwa kuona au na geji imekufa kwa hiyo wanakadidiria tu kila siku 2 waweke wese
 
Shirika la Ndege Tanzania ATCL ni moja ya mashirika ambayo kwa kipindi cha nyuma walikua na nidhamu ya muda wa kusafirisha abiria kuliko wengine Hususan kipindi cha mwendazake JPM Magufuli, Usiku wa kuamkia jana Aprili 16 nilipaswa kusafiri kutoka Mwanza kwenda Dar majira ya saa 8:30 usiku, lakini ndeg iliondoka Saa tatu asubuhi, watu tumekesha Uwanja wa Ndege Mwanza, na Mbaya ni kwamba ATCL walikua wanajua wazi kwamba ndege yao itakuja Asubuhi lakini wakatupambapamba kwamba ndege inakuja mpaka kukacha.

Na hii sio mara ya kwanza kwa ndege hizi kutokwenda na wakati ambao wanakua wamepanga na ukiona safari ni saa mbili Usiku badi ujue kuondoka ni saa nne au saa sita Usiku.

kinachoniumiza ni kwamba tumezoea mashirika mengine ya Ndege Kote duniani kunapokua na dharula mashirika yanaingia gharama ya chakula na malazi kwa wateja wao lakini Air Tanzania wako radhi wakutelekeze VIP Mpaka kuche hata maji ya kunywa hawatoi.. nadhani wanatukosea sisi wateja wao na natamani ndege ikipata dharula watuhudumie sisi Abiria ila sio kututelekeza kama Mizigo.
Kama ni kweli, walichofanya ni very Unprofessional; wanaendesha biashara kihuni kama baadhi ya mabasi wanavyo fanya halafu baada ya muda walalamike kukosa abiria kumbe wamewafukuza wenyewe...
Nakumbuka zamani nilisoma ile Course ya Aviation ambapo nilifundishwa kuwa, Ndege ikichelewa masaa mawili abiria wanatakiwa wapewe taarifa rasmi na yakifika masaa matatu; abiria wanapewa option ya kusubiri ndege nyingine au kurudishiwa hela zao zote.
Hao wakipata mshindani kama fast jet miaka miwili tu, wanatoka sokoni....sijui kwa nini Serikali inawasomi wengi ila hawawezi kufanya Biashara.... Inatia hasira/ wabinafsishe tu kwanza nauli zingeshuka na faida ingeonekana....
 
Ni hujuma za wazi kabisa uwa zinafanyika kwenye mashirika ya umma ATCL,TTCL,RAILWAY n,k.

Minachoona shirika kama la ndege linahujumiwa kwa uwazi namna hii na iyo SGR itakuaje?
 
Hapa Leo wamehairisha ndege Toka saa Tano asbh mpaka saa Tisa usiku hili shirika halina muda litakuwa limekufa
Mkuu kuna abiria nampokea na kwenye simu hapatikani ina maana hamjatoka Mwanza mpaka saa 9?
 
Shirika la Ndege Tanzania ATCL ni moja ya mashirika ambayo kwa kipindi cha nyuma walikua na nidhamu ya muda wa kusafirisha abiria kuliko wengine Hususan kipindi cha mwendazake JPM Magufuli, Usiku wa kuamkia jana Aprili 16 nilipaswa kusafiri kutoka Mwanza kwenda Dar majira ya saa 8:30 usiku, lakini ndeg iliondoka Saa tatu asubuhi, watu tumekesha Uwanja wa Ndege Mwanza, na Mbaya ni kwamba ATCL walikua wanajua wazi kwamba ndege yao itakuja Asubuhi lakini wakatupambapamba kwamba ndege inakuja mpaka kukacha.

Na hii sio mara ya kwanza kwa ndege hizi kutokwenda na wakati ambao wanakua wamepanga na ukiona safari ni saa mbili Usiku badi ujue kuondoka ni saa nne au saa sita Usiku.

kinachoniumiza ni kwamba tumezoea mashirika mengine ya Ndege Kote duniani kunapokua na dharula mashirika yanaingia gharama ya chakula na malazi kwa wateja wao lakini Air Tanzania wako radhi wakutelekeze VIP Mpaka kuche hata maji ya kunywa hawatoi.. nadhani wanatukosea sisi wateja wao na natamani ndege ikipata dharula watuhudumie sisi Abiria ila sio kututelekeza kama Mizigo.
Halafu mtu akisema tubinafsishe ATCL kwa DP WORLD tunaanza matusi tena kuwa nchi inauzwa!! Watanzania kubalini kuwa Serikali haiwezi biashara
 
Shirika la Ndege Tanzania ATCL ni moja ya mashirika ambayo kwa kipindi cha nyuma walikua na nidhamu ya muda wa kusafirisha abiria kuliko wengine Hususan kipindi cha mwendazake JPM Magufuli, Usiku wa kuamkia jana Aprili 16 nilipaswa kusafiri kutoka Mwanza kwenda Dar majira ya saa 8:30 usiku, lakini ndeg iliondoka Saa tatu asubuhi, watu tumekesha Uwanja wa Ndege Mwanza, na Mbaya ni kwamba ATCL walikua wanajua wazi kwamba ndege yao itakuja Asubuhi lakini wakatupambapamba kwamba ndege inakuja mpaka kukacha.

Na hii sio mara ya kwanza kwa ndege hizi kutokwenda na wakati ambao wanakua wamepanga na ukiona safari ni saa mbili Usiku badi ujue kuondoka ni saa nne au saa sita Usiku.

kinachoniumiza ni kwamba tumezoea mashirika mengine ya Ndege Kote duniani kunapokua na dharula mashirika yanaingia gharama ya chakula na malazi kwa wateja wao lakini Air Tanzania wako radhi wakutelekeze VIP Mpaka kuche hata maji ya kunywa hawatoi.. nadhani wanatukosea sisi wateja wao na natamani ndege ikipata dharula watuhudumie sisi Abiria ila sio kututelekeza kama Mizigo.
Mlikutana wajinga watupu, mnalazwaje lounge na mnakenua?
Mlitakiwa kuwagomea asubuhi hadi kieleweke.

Hawa wapumbavu hawajaanza leo.

Enzi za mwrndazake ilinitokea mara 2.

Lakini walisogeza masaa 6 tu
 
Hapa kuna watu wengine wamekuja kusimulia story ambayo nayo walisimuliwa... Wakijifanya ndo wahusika. Mleta mada nimekuelewa. Sisi tunaopanda air shengena haya mambo hata hatuyafahamu TURUDIE Usafiri wetu tu tuache kamba. Kwa wapanda Ungo huwa hatuna malalamiko kabisa. Sekunde tu upo Tanga, nyingine Zanzibar.... Burdan kabisa.
 
Mlikutana wajinga watupu, mnalazwaje lounge na mnakenua?
Mlitakiwa kuwagomea asubuhi hadi kieleweke.

Hawa wapumbavu hawajaanza leo.

Enzi za mwrndazake ilinitokea mara 2.

Lakini walisogeza masaa 6 tu
Yaani nakwambia
 
Tena wana customer care mbaya sana, kuna kipindi nilikuwa natoka Mwanza to Dar halafu baada ya masaa mawili naunganisha Dar to Mbeya. Mwanza ilitakiwa tuondoke saa 2 asubuhi tukakalishwa mpaka saa 4 tena taarifa tunapewa hapo hapo uwanjani.

Ndege ya kwenda mbeya ilikuwa inaondoka saa 7 kasoro. Nafika Dar saa 6 tayari chek in ya Mbeya ishaisha, mkononi nina mtoto wa miezi 2 na mabegi 2 kubwa na dogo wahudumu hata kunisaidia wananiacha nahangaika wananihimiza wahi wahi utaachwa na ndege kuzunguka mle ndani ni parefu.

Kwanza nilisimama nikawawashia moto kwamba nikiachwa watanilisha na kunipa sehemu ya kulala koz ni fault yao. Pia kazi yao ni nini kama wanashindwa kumsaidia mteja wao hata mabegi wanaona nina mtoto. Ndio kujifanya wananisaidia. Inshort Air Tanzania wapo hovyo kabisa tofauti na Fastjet walikuwa poa.
KUMbe hujui hata kubeba mtoto mgongoni?
 
nilipiga simu customer care nikaulizwa umewahi panda ndege? nikajibu hapana wakaniambia waulize kwanza wenzako waliowahi kupanda ndege.
 
Back
Top Bottom