Air Tanzania wanatuchukulia sisi abiria wao kama takataka zisizo na thamani

Air Tanzania wanatuchukulia sisi abiria wao kama takataka zisizo na thamani

Hapa Leo wamehairisha ndege Toka saa Tano asbh mpaka saa Tisa usiku hili shirika halina muda litakuwa limekufa

Na hapo wataahirisha mpaka saa tano asubuhi…shirika la kiwaki sana
 
Back
Top Bottom