trudie JF-Expert Member Joined Jan 15, 2014 Posts 3,668 Reaction score 8,745 Jun 20, 2023 #41 REV KISOLO said: KUMbe hujui hata kubeba mtoto mgongoni? Click to expand... Alikuwa mdogo ana miezi miwili nisingeweza kumbeba mgongoni, nilikuwa na baby carrier lakini muda haukuwa rafiki kuanza kumbeba wakati naenda kuchek in tena na nimechelewa Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
REV KISOLO said: KUMbe hujui hata kubeba mtoto mgongoni? Click to expand... Alikuwa mdogo ana miezi miwili nisingeweza kumbeba mgongoni, nilikuwa na baby carrier lakini muda haukuwa rafiki kuanza kumbeba wakati naenda kuchek in tena na nimechelewa Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Kingfisher JF-Expert Member Joined May 22, 2015 Posts 4,740 Reaction score 7,679 Jun 21, 2023 #42 payton said: Hapa Leo wamehairisha ndege Toka saa Tano asbh mpaka saa Tisa usiku hili shirika halina muda litakuwa limekufa Click to expand... Na hapo wataahirisha mpaka saa tano asubuhi…shirika la kiwaki sana
payton said: Hapa Leo wamehairisha ndege Toka saa Tano asbh mpaka saa Tisa usiku hili shirika halina muda litakuwa limekufa Click to expand... Na hapo wataahirisha mpaka saa tano asubuhi…shirika la kiwaki sana
Kingfisher JF-Expert Member Joined May 22, 2015 Posts 4,740 Reaction score 7,679 Jun 21, 2023 #43 option said: nilipiga simu customer care nikaulizwa umewahi panda ndege? nikajibu hapana wakaniambia waulize kwanza wenzako waliowahi kupanda ndege. Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
option said: nilipiga simu customer care nikaulizwa umewahi panda ndege? nikajibu hapana wakaniambia waulize kwanza wenzako waliowahi kupanda ndege. Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]