Hili la kuleta wahindi sikubaliani nalo, yuliwaleta trc walituliza hujawahi ona, walichukua behewa na kuzipiga chenjikota kwako, nimefanyakazi na wahindo no kabisa, wakifanyakazi kwa makampuni yao yes they do best wanaogopa kurogwa, wakifanyakazi arabuni yes wanaogopa kuchinjwa, hii nchi ya wala rushwa watauza hadi majengi ya atcl, wapo watu wazuri tu yule mama aliyekuwa ceo wa Rwanda air ni mzuri sana tena mzaliwa wa ngara, pili ceo sio lazima awe rubani, tunaweza mpa huyu mama ceo wa nmb atatufanyia kazi nzuri.