Air Tanzania yadai uhaba wa Injini umesababisha Ndege kukaa muda mrefu Karakana Malaysia

Air Tanzania yadai uhaba wa Injini umesababisha Ndege kukaa muda mrefu Karakana Malaysia

Me natamani Siku Moja tupate CEO Mhindi tumpe kazi hata Kwa miaka miwili hivi tuone Uendeshaji wake

Kifupi sisi Wabongo tunaangalia zaidi kula badala ya kutanguliza uzalendo
Wahindi walipewa TRC na wakafeli vibaya sana
Air india ilifeli na wakawa wanatafuta watu wa kuwauzia sijajua wamefika wapi
Hakuna cha kumpa muhindi biashara ya ndege ni ngumu sana sio sawa na biashara nyingine
 
kuna service ya engine ambazo zina require engine za ndege husika kutolewa, kufanyiwa service pembeni.

Now why ndege haijaruka, ni kwamba engine ambazo zingewekwa ili ndege isisimame (wataki service inaendelea), while engine zake original zikifanyiwa service. Zilizokosena ni engine za ziada ambazo zingetumika kwa muda wkt engine og zinafanyiwa matemgenezo.

Last time boeing ime receive 787-8 ya kwanza in july 2018, na model inayozungumziwa hapa ni ile ya kwanza.
So ime undergo service ngapi since then? How many service ziko required kwa 787-8?

Nikirudi kwenye mada yako C-check ya mwisho ilifanyika lini?
Kwa maelezo ya ATCL wenyewe wanasema C-check ilifanyika 2021/22. Lakini ndege iliyokwama ni mpya wakati iliyoitangulia ndio inayofanya kazi ya punda....Haikushangazi hiyo mkuu?
 
Me nadhani tuangalie zaidi merits kuliko hicho kingine

Iwapo mtu tunampa malengo na anayatimiza hata kama atakuwa Msafwa ama Msukuma wa Misungwi tumpe hiyo kazi
I agree. Nimetumia tu kebehi kuonyesha kuwa hata hiyo process ya kumpata. kwa hawa viongozi wetu wa sasa, itafanyika bila kuzingatia merits. Yaani watachukuwa mtu wanayemtaka na siyo mtu mtaalam. I wish mngeelewa sasa hivi tunaongozwa na kikundi cha wapigaji wenye ubinafsi wa hali ya juu na siyo viongozi.
 
Kuna vitu watanzania tuwe tunajiuliza kama vivuko na mabasi ya mwendo kasi yametushinda achana na reli ya kati iliyojifia ni kipi sisi tunaweza kusimamia???Hapo ndo utajua hata mapato yetu yanapigwa sana yaan ila sana na bado na mikopo inapigwa ganji🥶Kila unapopagusa ni uozo tupu sijue uende tanesco sijui uende kwenye wasimamizi wa mbuga zetu yaan kila sehem ni hatari na wanainchi kila mara kodi zinapandishwa ila kila ukisikia mradi niwa mkopo... tumekopa sehem. Sisi mapato yetu sijui yanafanya nn 😴
 
I agree. Nimetumia tu kebehi kuonyesha kuwa hata hiyo process ya kumpata. kwa hawa viongozi wetu wa sasa, itafanyika bila kuzingatia merits. Yaani watachukuwa mtu wanayemtaka na siyo mtu mtaalam. I wish mngeelewa sasa hivi tunaongozwa na kikundi cha wapigaji wenye ubinafsi wa hali ya juu na siyo viongozi.
Umesema sahihi Mkuu

Japo binafsi nalaumu mifumo kuendelea kulea kizazi cha hivi

Unajua ukifatilia Kwa umakini unajua ufisadi mwingi kwenye hii Nchi umeanza baada ya Nyerere kung'atuka 1985

Japo baada ya Kifo chake Mwaka 1999 ndiyo kikafanya hawa Viongozi wezi waendelee kutuibia 🙌
 
Wahindi walipewa TRC na wakafeli vibaya sana
Air india ilifeli na wakawa wanatafuta watu wa kuwauzia sijajua wamefika wapi
Hakuna cha kumpa muhindi biashara ya ndege ni ngumu sana sio sawa na biashara nyingine
Basi tuajiri maCEO Kwa kuangalia merits

Kuna baadhi ya Wabongo wenzetu/Wazungu wanaongoza Kampuni zao vizuri tuwape hao kazi
 
Ndo nauliza hiyo kampuni uliyofanyakazi ikiongozwa na wahindi mmiliki wa hiyo kampuni alikuwa nani?
Mmiliki alikuwa Mzungu wa Netherlands na hiyo ya pili mmiliki alikuwa huyo Rostam Aziz
 
Daah nadhani Air Tanzania wajifunze kwetu tukitaka kununua gari tu tunauliza uliza mpaka Bibi ataulizwa je nikinunua Mazda BT 50 ntapata parts zake pindi ikiharibika ila ninyi Ndege mnanunua na hamjui mtapata Engine wapi pindi ikisumbua na navyojua ndege inavyokaa bila kutumika gharama zake ni kubwa sana na pia uchakavu unaendelea... ila naomba mfanikishe maana mwanzo ni mgumu..
Haoa bongo zimejaa Toyotabsio kwa sababu watu hawataki BMW au Benz au Audi, cha kwanza wanachoangalia wabongo ni spare parts tu, hata ukimuuzia Audi bei ya kutuoa atakataa, sababu spare ni nadra na ghali!
 
Kwahio tunalipwa kwa hizo kero na usumbufu ukizingatia ni engine zenyewe ndio zina matatizo ? (Yaani matatizo ya Boeing na sio Sisi wanunuzi)
 
Kimsingi tulihoji kwanini tununue ndege zenye engene makampuni mengine wanalalamikia ni mbovu? Tulishauri kampuni lianze na ndege ndogondogo aina ya bombadiar kabla ya kuhangaika na dreamliner ambazo KQ zimewatia umasikini
Walishachukua chao kwenye manunuzi na sasa wanachukua kwenye matengenezo.
Hiyo ndio Tanganyika.
 
Kwa maelezo ya ATCL wenyewe wanasema C-check ilifanyika 2021/22. Lakini ndege iliyokwama ni mpya wakati iliyoitangulia ndio inayofanya kazi ya punda....Haikushangazi hiyo mkuu?
Simple facts hapa, 787-8 ya kwanza ilifanyiwa matengenezo hayo 2021. Na hii ni ambayo ili arrive july 2018. Hii ya juzi ni ya 2019, matengezo ya kwanza 2022.

Na aina ya engine trent 1000 series, ICAO na manufacture wa engine. Wana rules kwamba lazima engine hizo zifanyiwe such maintanance after miruko 1000.
 
Haoa bongo zimejaa Toyotabsio kwa sababu watu hawataki BMW au Benz au Audi, cha kwanza wanachoangalia wabongo ni spare parts tu, hata ukimuuzia Audi bei ya kutuoa atakataa, sababu spare ni nadra na ghali!
Wabongo wanaangalia gari anayotumia jirani sio Parts...mkuu ila sasa hivi watu wanaagiza gari yeyote tu pana gari nimeziona Arusha na Daslm watu wanazo na hakuna hata duka la parts za hilo gari na maisha yanaenda niliwahi kuiona Chev Pick up karibu miaka 7 iliyopita na bado ipo Road..
 
Mkuu, ndege siyo kama magari. Sikatai kuwa kuna uzembe wa planning au business plan kwa ujumla kwenye shirika letu, ila hii comment yako hailengi kwenye kiini cha tatizo.
Utakua haujanielewa nimeongea hivyo ili uelewe kiurahisi na bado haujaelewa tofauti ya biashara ya magari na ndege ni nini au Meli? Engine ya Meli au Ndege ikifanyiwa matengenezo zipo kampuni zaidi ya nne zinaweka lebo kukagua kilichofanyika na ile kampuni ya kwanza sasa kama haujafanya visibility study ya kutosha utabaki kila siku unaona ndege ni kitu hatari sana na kubaki kuferi...magari yamekuja ya Mchina hapo Mwendokasi yanaharibika hovyo hovyo kwa safari fupi pana watu walikaa kweli kufanya hiyo tafiti aina gani za Engine zitadumu kwenye hii kazi ya safari fupi fupi...
 
Inahusiana nini na yeye kuharibika kwa ndege hayupo nyau we,🐒💩💩💩
Kuna jipya hapo?
Kabla ya kununuliwa sisi tulisema hayo mandege ni gharama, mengi mabovu na hayatengenezeki kirahisi.
Hayo mambo wataalamu walishasema, hatukuwa na sababu yoyote ile kuyanunua, tena kuyanunua kwa pupa na Cash. Sasa tunavuna upumbavu wa mwendazake. Kwanini kaburi lake lisitandikwe viboko kwa uwendawazimu wake wakutupa hasara?
 
Ili hayo mashirika yaanze kuendeshwa Kwa faida hatuna budi kuajiri ma-CEOs Kwa kuangalia merits na kuwapatia malengo ya kuyafikia (KPIs) na mwisho wa Mwaka tunawaita Kwa kuwahoji

Otherwise tutaendelea kupata hasara hadi Yesu arudi 🙌
Pana jamaa miaka ya nyuma kidogo walifungua kampuni ya usafirishaji wa Anga kutoka Jhb mpaka Cape Town walikua na watu wa kuwashauri kwenye vikao vyao nilikua naingia kama mtu wa Safety wale jamaa waliwatoa washauri wao UK waliwapa Elimu kama wiki nzima mwisho wakatoa suluhisho kwa aina ya ndege wanaozotumia watapata Hasara na walishauriwa aina ya ndege za kukodi ila Jamaa wakaona kama wale jamaa wanawadanganya kwa kuwa wao walishaingia mikataba kwa ile ndege wanayotaka kuanza nayo baadae wakawaita wengine hao walitaka pesa tu walienda kutokana na wanavyotaka wao baadae wakaanzisha hadi safari ya Cape Town moja kwa Moja mpana USA ila baada ya miaka miwili lile shirika lilifirisika ndio wakaja na hii Kulula.com wengine wapo huko AirLink wanakuja hadi Tanzania...toka hapo nikasema aisee Wataalamu kwenye mambo ya Anga wanatakiwa sana sio Ujanja ujanja..
 
Back
Top Bottom