Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Labda kajichanganya huyo ,inawezekana alivyobook economy ilikua imeshajaa zimebaki seat za business na yeye akajua nauli imepandaMkuu mbona kesho kuna ndege ya go and return mwanza kwa 341,600 (170,800x2) tena ni less ya hio 365,000 unayosema ni cheap..hio 420,000 unataka business class ama?km ndivyo then stop complaining and spread lies.
View attachment 1705645
Mambosasa badala kwenye maabara ya Taifa wanatupima COVID kwa $100 kutoka $12 anasumbua Agha Khan !! Wamepandisha kipimo kutoka Tzs 40,000 Mpaka Tzs 240,000 kwa vigezo vipi ? Wagonjwa wa Covid anataka Agha Khan wacheze now ili isambae sio? Tumewajua waovu nyieHabari za leo wanajanvi.... tokea jana ndege yetu penda Air Tanzania nauli zake zimepanda kwa asilimia kubwa sana kutoka zile za awali.
Nimejaribu kununua tiket online kama kawaida yangu lakini bei niliyokutana nayo tofauti na sikuzote.
Nikaona isiwe taabu nikaenda ofisi zao za town, kufika pale wakanambia nauli ni kweli zimepanda.
Kwenda Mwanza na kurudi nilishazoea kupata bei nafuu ya laki 365,000 lakini jana nikakutana na kitu cha laki 420,000.
Kuna haja ya mamlaka husika kupitia tena hivi viwango vya nauli, vina tuumiza sana sisi wananchi.
Hata economic hazijajaa...nimetoka kuchek sasa hivi bado zipo siti 4...huyo jamaa mzenguaji tu, i think anapenda attention tu ndo maana kakimbilia humu ndani kuanzisha thread based on fabricated info akidhani hatutafuatilia kujirizisha na anachokilalamikia.Labda kajichanganya huyo ,inawezekana alivyobook economy ilikua imeshajaa zimebaki seat za business na yeye akajua nauli imepanda
mkuu nna uzoefu na nachoongea.... sasa kukata mzizi wa fitna fanya full booking kwako halafu share nasi uone.... tatizo unaenda kwenye website na kuona tu. fanya full booking iwe reserved halafu uje na hiyo booking reference tuione. ukipata hiyo bei nafuta hii thread.Hata economic hazijajaa...nimetoka kuchek sasa hivi bado zipo siti 4...huyo jamaa mzenguaji tu, i think anapenda attention tu ndo maana kakimbilia humu ndani kuanzisha thread based on fabricated info akidhani hatutafuatilia kujirizisha na anachokilalamikia.
@Gobolemkuu nna uzoefu na nachoongea.... sasa kukata mzizi wa fitna fanya full booking kwako halafu share nasi uone.... tatizo unaenda kwenye website na kuona tu. fanya full booking iwe reserved halafu uje na hiyo booking reference tuione. ukipata hiyo bei nafuta hii thread.
Nipe tarehe zako za safari nikuchekieHabari za leo wanajanvi.... tokea jana ndege yetu penda Air Tanzania nauli zake zimepanda kwa asilimia kubwa sana kutoka zile za awali.
Nimejaribu kununua tiket online kama kawaida yangu lakini bei niliyokutana nayo tofauti na sikuzote.
Nikaona isiwe taabu nikaenda ofisi zao za town, kufika pale wakanambia nauli ni kweli zimepanda.
Kwenda Mwanza na kurudi nilishazoea kupata bei nafuu ya laki 365,000 lakini jana nikakutana na kitu cha laki 420,000.
Kuna haja ya mamlaka husika kupitia tena hivi viwango vya nauli, vina tuumiza sana sisi wananchi.
Kwahio wewe bei uliyowekewa kabla ya kufanya full booking ni tofauti na bei baada ya booking ?mkuu nna uzoefu na nachoongea.... sasa kukata mzizi wa fitna fanya full booking kwako halafu share nasi uone.... tatizo unaenda kwenye website na kuona tu. fanya full booking iwe reserved halafu uje na hiyo booking reference tuione. ukipata hiyo bei nafuta hii thread.
Ulijaribu kukata ticket ya kusafiri lini? Wakati unapata hizo ticket kwa TZS. 365,000/- ulikuwa umebook safari siku ngapi kabla ya safari yenyewe?Kwenda Mwanza na kurudi nilishazoea kupata bei nafuu ya laki 365,000 lakini jana nikakutana na kitu cha laki 420,000.
Haya mitano 5
Mpaka tunyooke mamaeee.
Kuna Sauli Dar es Salaam ~Mbeya Tshs 45000/= X 2 = 90000/=Hilo shirika la ATCL alina mda mrefu kwenye biashara kwasababu aliendani na hari halisi ya uchumi wa wananchi, Mtu aende Mbeya kuenda na kurudi kwa 520k kufanya nini kuna biashara gani huku ya kurudisha hiyo gharama. Watabaki na abiria watchache sana ili route zita anza kufa automatically