MZEE WA NDIM
Member
- Feb 19, 2021
- 6
- 2
upo sawa mkuu naona na kilo wamepunguza mpaka kilo 15Mkuu
Mkuu nimechek nao ATC hiyo promo class wameipa validity ya mwezi sahivi na hizo changes wamefanya leo. Kama unaendelea kubisha fanya booking ya over 31dayz ukipata pungufu ya laki 4 natoa hii thread leo leo kabla ya saa sita
Haichukui hata uzito wa gramu moja ya kutumia akili yako kuelewa nilichoandika. Wewe na wenzako wa ATCL ni mzigo kwa Taifa. Akili na ubunifu hamna.Mna-survive kwa machungu na jasho la Watanzania kwa kubebwa na mtu asiye na vision Wala uelewa wa biashara ya usafiri wa anga.ATCIL io ni kampuni inajihusisha na nn? Hii mada inahusisha ATCL io yako ifungulie thread yake tutakuja kuchangia huko.
Umechangia vizuri ila huo uandishi ni shiiidaHilo shirika la ATCL alina mda mrefu kwenye biashara kwasababu aliendani na hari halisi ya uchumi wa wananchi, Mtu aende Mbeya kuenda na kurudi kwa 520k kufanya nini kuna biashara gani huku ya kurudisha hiyo gharama. Watabaki na abiria watchache sana ili route zita anza kufa automatically
Mtaelewa tu.Habari za leo wanajanvi.... tokea jana ndege yetu penda Air Tanzania nauli zake zimepanda kwa asilimia kubwa sana kutoka zile za awali.
Nimejaribu kununua tiket online kama kawaida yangu lakini bei niliyokutana nayo tofauti na sikuzote.
Nikaona isiwe taabu nikaenda ofisi zao za town, kufika pale wakanambia nauli ni kweli zimepanda.
Kwenda Mwanza na kurudi nilishazoea kupata bei nafuu ya laki 365,000 lakini jana nikakutana na kitu cha laki 420,000.
Kuna haja ya mamlaka husika kupitia tena hivi viwango vya nauli, vina tuumiza sana sisi wananchi.
Kipindi cha precision air go and return dar to mwanza ilikuwa 520000/= sioni mnacholalamikia hiyo bei wala cyo mbaya sn.Hawa jamaa ni wajinga wangepunguza bei ili wapate full load na kuongeza routes,
naona ombi lako wamelisikia wamerudisha fare za zamani.Habari za leo wanajanvi.... tokea jana ndege yetu penda Air Tanzania nauli zake zimepanda kwa asilimia kubwa sana kutoka zile za awali.
Nimejaribu kununua tiket online kama kawaida yangu lakini bei niliyokutana nayo tofauti na sikuzote.
Nikaona isiwe taabu nikaenda ofisi zao za town, kufika pale wakanambia nauli ni kweli zimepanda.
Kwenda Mwanza na kurudi nilishazoea kupata bei nafuu ya laki 365,000 lakini jana nikakutana na kitu cha laki 420,000.
Kuna haja ya mamlaka husika kupitia tena hivi viwango vya nauli, vina tuumiza sana sisi wananchi.