Air Tanzania yapandisha nauli zake

Mkuu

Mkuu nimechek nao ATC hiyo promo class wameipa validity ya mwezi sahivi na hizo changes wamefanya leo. Kama unaendelea kubisha fanya booking ya over 31dayz ukipata pungufu ya laki 4 natoa hii thread leo leo kabla ya saa sita
upo sawa mkuu naona na kilo wamepunguza mpaka kilo 15
 
ATCIL io ni kampuni inajihusisha na nn? Hii mada inahusisha ATCL io yako ifungulie thread yake tutakuja kuchangia huko.
Haichukui hata uzito wa gramu moja ya kutumia akili yako kuelewa nilichoandika. Wewe na wenzako wa ATCL ni mzigo kwa Taifa. Akili na ubunifu hamna.Mna-survive kwa machungu na jasho la Watanzania kwa kubebwa na mtu asiye na vision Wala uelewa wa biashara ya usafiri wa anga.
 
Umechangia vizuri ila huo uandishi ni shiiida
 
Mtaelewa tu.

Ni hivi, ATCL imewekwa kimkakati kuua upinzani wa kibiashara uliokuwa unasababisha bei kuwa nzuri.

Upinzani unavyozidi kufa, ndivyo nauli za ATCL zitakavyozidi kupanda. Kwa sababu.

1. ATCL itazidi kuelekea kwenye monopoly. A monopoly industry company inajipangia bei yenyewe bila kuogopa upinzani.

2. ATCL inaendeshwa kisiasa, si kibiashara. Maamuzi makubwa yanatoka kwa wanasiasa, hususan Magufuli. Hapo kampuni kupata hasara ninjambo rahisi sana. Ikioata hasara itafidia vioi? Kwa kuongeza nauli.

Jiandae hata hiyo nauli mpya kuongezeka zaidi.

Tulipokuwa tunakemea ATCL kuendeshwa kisiasa wengi walikuwa hawaelewi. Walikuwa wanamsifia Magufuli.

Uzuri wa uchumi ni kwamba, in the long run, haufichi siri.
 
naona ombi lako wamelisikia wamerudisha fare za zamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…