Kwani ndege zingine za aina hii "dunia nzima" bado zinaruka ?Ungekuwa ni uamuzi wa manufacturer, obvious ndege zote zenye injini za aina hii zingekuwa grounded dunia nzima
Andiko la London liko wapi banah ?Kwanza asante kwa kuitikia wito...nimekupenda zaidu😄
Maandiko ni mengi mno.
Kuna Andiko limeandikwa na mwandishi flani London linasema huu ni mwendelezo wa uzembe wa ATCL na upigaji.
Lakini kuna mahala wanasema ni kweli injini ziliwahi kusumbua hasa shirika la ndege za Korea, Misri na baadhi za nchi chache lakini sio tatizo kubwa kuifanya ATCL ione kuwa injini hizo sio salama.
Mambo ni mengi buana aaah
..hii biashara haipaswi kufanywa na nchi masikini kama Tanzania.
..nchi tajiri zenye uwezo wa kumiliki mamia ya ndege ndio zinaweza kumiliki shirika la ndege na kupata faida.
..kwa afrika ni ethiopia peke yake ndio anaendesha shirika la ndege kwa faida, na wenyewe wana bahati kwasababu shirika lao lilianzishwa zamani sana mwaka 1945.
Mkuu SemperFI , asante sana kwa story hii, kwanza, ukiondoa gazeti la the Citizen na Mwananchi, hakuna media ya Tanzania ina vichwa vya kuandika kitu kama hii!.View attachment 2424740
Shirika la Ndege la Air Tanzania linatathmini hali ya Ndege zake ili kuziba pengo linalojitokeza katika kutoa huduma lililosababishwa na kusimamishwa kwa Ndege zake za Airbus A220 kutokana na matatizo ya injini.
Kwa mujibu wa taarifa, Ndege moja ya A220 ya ATCL iliruka mara ya mwisho Januari 3, mwaka huu na imeegeshwa katika Uwanja wa Ndege wa Maastricht Aachen nchini Uholanzi. Ndege ya pili iliruka mara ya mwisho Agosti 27. Ndege ya tatu A220 haijaruka tangu Novemba 5.
========================
NATION
Mara ngapi?, kwani kafara ile haijatosha?, au hujui kuwa ni kafara?.Hizi ndege zitamtoa mtu kafara.
Hahaha kuna viandiko vingi hebu pitia na hakaAndiko la London liko wapi banah ?
Ndio haya mambo nimeona kwenye TBC vitoto vya shule vinafundishwa kuimba London Bridge is falling down wakati hatujaliona hilo London Bridge na sisi tuna ma Wami Bridge na Mfugale Bridge yanazama kwenye mvua hatuyaimbi. Tusijadili article za London ambazo hatujaziona.
Andiko tulilo nalo hapa la bandiko la kwanza la mada hii limesemaje kuhusu fidia kutoka kwa manufacturer ????
Mara ngapi?, kwani kafara ile haijatosha?, au hujui kuwa ni kafara?.
P
Shirika lilishawahi kuwapa wawekezaji ndio likafa kabisaMashirika km haya waangalie namna ya kuwapa watanzania wawekeze tu wapigaji watashindwa
Huu umaskini na unyonge si tumekubaliana tuahane nao, tusiwe na mawazo ya kimaskini?..hii biashara haipaswi kufanywa na nchi masikini kama Tanzania.
..nchi tajiri zenye uwezo wa kumiliki mamia ya ndege ndio zinaweza kumiliki shirika la ndege na kupata faida.
..kwa afrika ni ethiopia peke yake ndio anaendesha shirika la ndege kwa faida, na wenyewe wana bahati kwasababu shirika lao lilianzishwa zamani sana mwaka 1945.
Wala sio suala la mkataba. ndege sio bus kwambaa ukinunua ikipata ajali utajua mwenyewe. Ndege ukinunua lazima manufacturer ahakikishe muda wote ni salama, tatizo dogo linaweza kuleta shida kubwa. Kumbuka hivi karibuni kisa Cha Boeing na zile MaxHili unalosema wwe lipo kwenye Mkataba wa manunuzi ya hizo Ndege!? Au ndiyo limejulikana Sasa!!??
Katika kitu namsifu Magufuli ni kununua hizo ndege cash. Angechukua kwa kukopeshwa Leo mngetukana matusi yote kuwa kaondoka kaiacha nchi na madeni ya ndege. Ni Kama alijua vileMkuu SemperFI , asante sana kwa story hii, kwanza, ukiondoa gazeti la the Citizen na Mwananchi, hakuna media ya Tanzania ina vichwa vya kuandika kitu kama hii!.
Humo kuna vitu Matinde hakusema ambavyo vinaligharimu taifa kwa ujuha tuu wa viongozi wetu, kununua ndege kwa cash kama unavyonunua nazi sokoni, wamama wa uswahilini wakinunua nazi wana ipasua pale pale kwa mnunuzi ili ikiwa mbovu inakuwa replaced, ukinunua nazi, ukaenda nayo nyumbani, ikotokea ni mbovu, imekula kwako!.
Manunuzi yote ya mitambo zikiwemo ndege hufanywa by order na kulipiwa by hire purchase, ili kutumika kama warranty na guarantee ya manufactures liability on defects, ukitokea kuna uharibifu wowote uliotokana na manufactures defect, ni manufacture ana gharimia. Ukinunua kwa cash, likitokea la kutokea, utajibeba!, hivyo ule ujinga wa kununua midege sokoni kama unanunua nazi, unai cost ATC na kutu cost Watanzania kwa ujuha tuu!.
Ujinga mwingine ni umiliki wa ndege kwa TGFA, halafu ATC inakodisha!. TGFA ni 100% government, ATCL ni 100% government, ATCL inakodisha ndege za TGFA, wakati wote midege hii iko grounded, yeye TGFA, anakula tuu kodi yake ya ukodishaji, ATCL inalipia midege iliyosimama, hivyo kwenye hesabu za ATCL kunaonekana ina operates on loss!.
Taarifa ya CAG ya mwaka huu imeonyesha ATC inaendeshwa kwa hasara na mpaka sasa deni la TGFA ni dola $132.77 milioni!. Halafu serikali inachota dola $194 milioni toka mfuku mkuu wa hazina kui bail out ATCL!, huu ni nini kama sio ujinga?!. Mama Samia asiukubali ujinga huu uendelee!. Mkataba wa ATC wa ukodishaji ndege za TGFA uvunjwe!, ATCL izitumie ndege bure, zikiwa kwenye operations na kuzalisha faida ndipo TGFA agaiwe faida, siku ndege ziko grounded hazizalishi kitu kama sasa, hizo Airbus, TGFA isilipwe chochote!.
Najua lengo la kuziweka ndege chini ya umiliki wa TGFA ni ku mitigate zisikamatwe na wadeni wa ATCL, nashauri, serikali yetu, lipeni madeni ya nchi, kuzuia ndege zetu kushikiliwa, kisha ipeni ATCL hiyo midege ili ATCL iwe huru kufanya chochote.
Ila pia tukubali tukatae ATCL bado kuna issues, mengine tusiseme kwa uzalendo, ila tusiendekeze ujinga kwa jina la uzalendo!.
P
Sasa hili tangazo kwetu lilisubiri nini kutolewa huko nyuma kwa wakati muafka, linakuja kutolewa wakati huu? Kama ndege zingine ziko Maastricht tangu January 2022, kwa nini hatukujulishwa tangu hiyo Januari, tunakuja kujulishwa sasa?Lakini si umeona mashirika mengine ya ndege yanayotumia hizo injini na yenyewe yametakuwa kufanya hivyo? Au ni Mimi lugha inanipiga chenga?
Sasa hili tangazo kwetu lilisubiri nini kutolewa huko nyuma kwa wakati muafka, linakuja kutolewa wakati huu? Kama ndege zingine ziko Maastricht tangu January 2022, kwa nini hatukujulishwa tangu hiyo Januari, tunakuja kujulishwa sasa?
Katika kitu namsifu Magufuli ni kununua hizo ndege cash. Angechukua kwa kukopeshwa Leo mngetukana matusi yote kuwa kaondoka kaiacha nchi na madeni ya ndege. Ni Kama alijua vile
Duuh! Yaani mnunuzi wa hizi ndege kwa cash ni juha na mjinga!Mkuu SemperFI , asante sana kwa story hii, kwanza, ukiondoa gazeti la the Citizen na Mwananchi, hakuna media ya Tanzania ina vichwa vya kuandika kitu kama hii!.
Humo kuna vitu Matinde hakusema ambavyo vinaligharimu taifa kwa ujuha tuu wa viongozi wetu, kununua ndege kwa cash kama unavyonunua nazi sokoni, wamama wa uswahilini wakinunua nazi wana ipasua pale pale kwa mnunuzi ili ikiwa mbovu inakuwa replaced, ukinunua nazi, ukaenda nayo nyumbani, ikotokea ni mbovu, imekula kwako!.
Manunuzi yote ya mitambo zikiwemo ndege hufanywa by order na kulipiwa by hire purchase, ili kutumika kama warranty na guarantee ya manufactures liability on defects, ukitokea kuna uharibifu wowote uliotokana na manufactures defect, ni manufacture ana gharimia. Ukinunua kwa cash, likitokea la kutokea, utajibeba!, hivyo ule ujinga wa kununua midege sokoni kama unanunua nazi, unai cost ATC na kutu cost Watanzania kwa ujuha tuu!.
Ujinga mwingine ni umiliki wa ndege kwa TGFA, halafu ATC inakodisha!. TGFA ni 100% government, ATCL ni 100% government, ATCL inakodisha ndege za TGFA, wakati wote midege hii iko grounded, yeye TGFA, anakula tuu kodi yake ya ukodishaji, ATCL inalipia midege iliyosimama, hivyo kwenye hesabu za ATCL kunaonekana ina operates on loss!.
Taarifa ya CAG ya mwaka huu imeonyesha ATC inaendeshwa kwa hasara na mpaka sasa deni la TGFA ni dola $132.77 milioni!. Halafu serikali inachota dola $194 milioni toka mfuku mkuu wa hazina kui bail out ATCL!, huu ni nini kama sio ujinga?!. Mama Samia asiukubali ujinga huu uendelee!. Mkataba wa ATC wa ukodishaji ndege za TGFA uvunjwe!, ATCL izitumie ndege bure, zikiwa kwenye operations na kuzalisha faida ndipo TGFA agaiwe faida, siku ndege ziko grounded hazizalishi kitu kama sasa, hizo Airbus, TGFA isilipwe chochote!.
Najua lengo la kuziweka ndege chini ya umiliki wa TGFA ni ku mitigate zisikamatwe na wadeni wa ATCL, nashauri, serikali yetu, lipeni madeni ya nchi, kuzuia ndege zetu kushikiliwa, kisha ipeni ATCL hiyo midege ili ATCL iwe huru kufanya chochote.
Ila pia tukubali tukatae ATCL bado kuna issues, mengine tusiseme kwa uzalendo, ila tusiendekeze ujinga kwa jina la uzalendo!.
P