Air Tanzania yasimamisha Ndege zote za Airbus A220 kutokana na matatizo ya injini

Air Tanzania yasimamisha Ndege zote za Airbus A220 kutokana na matatizo ya injini

Hili lilijulikana mapema kabisa kwamba hili shirika linaenda kufa,hasa baada ya mnunuzi wa hiyo mindege kufariki.

Binafsi namkubali sana Magu kwa mambo mengi ya maendeleo. Nilipingana nae kwenye kulifufua hili shirika kwa ununuzi wa hiyo mindege. Ona sasa sidhani hata kama kuna faida yoyote imepatikana badala ya hasara. Akachukiza kwa kuliua shirika la ndege la wanyonge FAST JET. Tuombe sasa hili shirika la ndege la Fast jet liombe kibali haraka,iwe mbadala wa ATC. Hata hayo mandege wayakope wayarekebishe

Na hapo ujue upo uwezekano mkubwa wa mafisadi kuingilia na kuitafuna shirika,hasa ksbb kwa sasa hakuna msimamizi kwenye mashirika mengi aliyoyasimamia vizuri Magu. Yanafunwa hatari na mchwa kwa sasa. Mama hana habari.
Mkuu aya ya mwisho ndilo jibu.

Rost tam ameingia kuwekeza kwenye midege tarajia shirika la ATCL kuzikwa.
Huyu jamaa huyu kaishika serikali kila kona
 
Sii kila kinachonunuliwa kimechukuliwa mkopo. Sasa tumelipia ndege 5 zingine na hakuna mkopo uliochukuliwa ili kununua hizo ndege.

Nb: mikopo inachukuliwa, Ila sio kweye kila kitu
Ok halafu unachukua mkopo mwingine kwa kujenga daraja la Jangwani na umeme wa Rea!

Hapa busara gani inatumika?
 
kama contract wakati wa purchasing inazungumzia limited liability incase of manufacturer fault/error sina tatizo hapo.

Lakini kuna warrant policy sidhani kama nayenyewe itasimama hapo kwenye limited liability inapotokea manufacturer error within warrant time ( sina uhakika kama hizi airbus zimemaliza warrant au hapana).

USHAURI: ATCL wanapaswa kuwa na service exchange contract na manufacturer wa hizi engine pamoja na airbus incase wanashida kama hizi maana wamemonopolize airline business Tanzania na wanapopata hizi breakdown hali inakuwa worse kwa wasafiri.

Unapokuwa na service exchange programs maana yake unaweza kupewa engine ukaswap haraka uendelee na operations wakati engine iliyotolewa inakwenda kwenye repair na huo muda wa repair wewe unakuwa kazini ( hapa tunapunguza downtime ya ndege na kuwa stable kwenye operation).
Mkuu seems unajua kitu.
 
Kwa kifupi paskali sasa umetamka wazi kama ambavyo tumetamka sana kwamba Magufuli alikuwa mfalme juha.
JPM hakuwa juha, aliona sisi tunataka ndege na kuna ndege sokoni zimepangwa kama nyanya, alipoulizwa akaelezwa una press order, tunakutengenezea and it will take time, huu mzigo ni wa mtu, ali order ila hajamaliza kulipia, kama una cash, tunakupa, na yeye tutamtengenezea nyingine. Akamuuliza mpwa vipi chungu kina cash, akaambiwa ipo, then akatoa oder chota cash piga tanchi midege itue!.

Wanaojua walipaswa kumsaidia, akina sisi tulishauri Wito kwa Bunge letu tukufu: Mkithibisha hii Nepotism ya ajabu na zile Boeing ni TT, then hatufai!.

Now its too late acha tuendelee kuvuna tulichopanda.
P
 
JPM hakuwa juha, aliona sisi tunataka ndege na kuna ndege sokoni zimepangwa kama nyanya, alipoulizwa akaelezwa una press order, tunakutengenezea and it will take time, huu mzigo ni wa mtu, ali order ila hajamaliza kulipia, kama una cash, tunakupa, na yeye tutamtengenezea nyingine. Akamuuliza mpwa vipi chungu kina cash, akaambiwa ipo, then akatoa oder chota cash piga tanchi midege itue!.

Wanaojua walipaswa kumsaidia, akina sisi tulishauri Wito kwa Bunge letu tukufu: Mkithibisha hii Nepotism ya ajabu na zile Boeing ni TT, then hatufai!.

Now its too late acha tuendelee kuvuna tulichopanda.
P
Waliomshauri hakuwasikiliza. Wewe mbona uliuliza tu swali ukaishia kupigwa na 'mayalla'?
 
Kwa nilivoelewa, shida ni injini. Na mtengeneza injini ambae ni Platt and Whitney aliepaswa kuzifanyia matengenezo ametingwa na kazi ratiba inakuwa ngumu kwake. Je wanapaswa kutulipa kwa muda wote ndege ziliosimama kwa uzembe wao?
Ametingwa na ratiba kwani hapo ni kwa mganga wa kienyeji kuwa unaipeleka bila ya taarifa? Au hajaalipwa gharama za matengenezo za nyuma? Sijawahi kusikia sababu hii kwa kampuni kubwa kama hizo.
 
Mafisadi wameisha andaa mpango kazi (ila nasikia Rostam kanunua ndege zake hataki ushindani kabisa 😭😭😭pole sana tanganyika yangu
combination ya RA na Karamagi - kaa mbali.

We're back, asiyetutaka atangulie Burundi.
 
Manunuzi ya hizi ndege yalikuwa ni maamuzi ya mtu mmoja. Hapa kama Taifa tulipigwa.

Mbaya zaidi aliyenunua hii midege kishajifia siku nyingi. Yaani hapo hamna kesi tena.

Yule jamaa kaliachia taifa hasara kubwa mno.
 
Mkuu aya ya mwisho ndilo jibu.

Rost tam ameingia kuwekeza kwenye midege tarajia shirika la ATCL kuzikwa.
Huyu jamaa huyu kaishika serikali kila kona
Kama Rostam kaingia basi lazima atumie mianya ya udhaifu wa serikali iliyopo kuliua kirahisi sana shirika analotarajia yeye litakuwa na upinzani kwake. Pia ujue kachungilia huko kaona fursa kubwa. Ujue yule ni jasusi mbobezi wa kiuchumi. Ukimruhusu huyu bwana kwenye uchumi. Lazima uwe makini sana na maeneo unayompatia ya kufanyia kazi. Magu alikuwa alikuwa anawaangalia hawa kwa hicho la pili.
 
Interesting....Kwahiyo ATCL inaanza kusuasua baada ya JPM kulala?
 
Manunuzi ya hizi ndege yalikuwa ni maamuzi ya mtu mmoja. Hapa kama Taifa tulipigwa.

Mbaya zaidi aliyenunua hii midege kishajifia siku nyingi. Yaani hapo hamna kesi tena.

Yule jamaa kaliachia taifa hasara kubwa mno.
Mbaazi ikikosa maua huwa ina tabia ya kusingizia jua. Ndege ziko grounded sababu ya hitilafu. Tusianze kudanganyana
 
Jamani ni kwamba kwa mujibu wa Mtengenezaji wa hizo Engines zikiruka a certain number of hours zinatakiwa kufanyiwa service kubwa. Wakati wa Zoezi hilo inatakiwa International certified Engines Maintenance Company ifanye kazi hiyo. Hivyo ATCL inalazimika kukodi Engines zingine ili Flight operations ziendelee. Siyo kwamba Engines ni mbovu. Ni utaratibu wa kawaida for security purposes. Unless mnataka akina Majaliwa wengine.
Hivi kwanini hustuki zote kwa mkupuo zinasimamishwa , ATCL manajua utaratibu wa kufanya maintance service .Ndege zote uizisimamisha kwa wakati mmoja huoni kwamba unaathiri ratiba za ndege zako. Hesabu kuanzia sasa ni miezi mingapi itapita kabla ya kupaa tena
 
Kwa mujibu wa taarifa, Ndege moja ya A220 ya ATCL iliruka mara ya mwisho Januari 3, mwaka huu na imeegeshwa katika Uwanja wa Ndege wa Maastricht Aachen nchini Uholanzi. Ndege ya pili iliruka mara ya mwisho Agosti 27. Ndege ya tatu A220 haijaruka tangu Novemba 5.

========================Zinataga

Ndege ya Air Tanzania inazunguka tu hapa Mwanza na inaonekana kama umeshindwa kutua
20221123_143608.jpg
 
Kwani ndege zingine za aina hii "dunia nzima" bado zinaruka ?

News report ya mada hii imesemaje kuhusu hali ya ndege nyingine kama hizo "dunia nzima" ?

Umesoma article yote mwanzo mpaka mwisho ????
Issue IkiSHAKUWA UPANDE wa injini ni ya manufacturer, na hivyo huhitajia kujishauri au kuchagua muda wako wa utekelezaji, huwa ni order inayotakiwa kutekelezwa na wahusika wote kwa pamoja, na kwa wakati mmoja
 
Tulisema hayo mandege ni chakavu na ni mzigo kwa taifa, mkatubishia
Tuendelee kutumia bombadia...!?
Bombardier nazo ni Airbus. Kaa ukijua hizo ndege zilizo doda zilitengenezwa Canada 🇨🇦 na kiwanda cha Bombardier, kabla hatujakabidhiwa, kiwanda kikauzwa kwa Airbus
 
Back
Top Bottom